Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: sensa sensa!!!!!!!

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 21
    1. #1
      sop sop's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd May 2012
      Posts : 522
      Rep Power : 421
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default sensa sensa!!!!!!!

      jaman mimi nmemaliza form six mwaka huu cna kazi yeyoye kwa hyo nilkwa nahtaji kazi wakati wa sensa,na jinsi ya kuapply ...mwenye info zozote anifahamishe!!!!!!

    2. Miaka 50

    3. #2
      Shekispia's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th February 2012
      Location : Dar es salaam
      Posts : 201
      Rep Power : 405
      Likes Received
      23
      Likes Given
      0

      Default Re: sensa sensa!!!!!!!

      Nenda website ya TBS ndo kuna full info.

    4. #3
      NGOGO CHINAVACH's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th April 2011
      Posts : 302
      Rep Power : 471
      Likes Received
      59
      Likes Given
      14

      Default Re: sensa sensa!!!!!!!

      Tafuta humu kuna thread inaelezea mambo yote,

    5. #4
      Kichasi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Posts : 36
      Rep Power : 397
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: sensa sensa!!!!!!!

      Mwisho tarehe 25/7.Nenda kachukue form wilayani au ukadownload kwenye website yao fasta.

    6. #5
      Mama Mdogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2007
      Posts : 1,352
      Rep Power : 857
      Likes Received
      671
      Likes Given
      72

      Default Re: sensa sensa!!!!!!!

      Quote By dogodogo91
      jaman mimi nmemaliza form six mwaka huu cna kazi yeyoye kwa hyo nilkwa nahtaji kazi wakati wa sensa,na jinsi ya kuapply ...mwenye info zozote anifahamishe!!!!!!
      Kijana, download document, jaza, peleka kwa mwenyekiti wako wa mtaa / mtendaji wa kata uthibitishwe / udhaminiwe, halafu peleka makao makuu ya wilaya yako kabla ya tarehe 25 July 2012. Zingatia deadline, hii ni Tanzania bwana!!!
      Attached Files
      Last edited by Mama Mdogo; 25th July 2012 at 19:01.
      Edgarcoco likes this.
      Anyone who has never made a mistake has never tried anything new - Albert Einstein
      No problem can be solved from the same level of consciousness that created it
      - Albert Einstein


    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      King2's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2011
      Posts : 1,280
      Rep Power : 635
      Likes Received
      159
      Likes Given
      0

      Default Re: sensa sensa!!!!!!!

      Nenda Office za afisa mtendaji kuna form utapewa jaza.

    9. #7
      Marsy's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th December 2011
      Posts : 42
      Rep Power : 383
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: sensa sensa!!!!!!!

      Wadau me naomba kuuliza aliyepata kiwango cha malipo cha uhakika anijuze mana wengne wanadai ni 10000 kwa ck,wngne elf35 kwa cku.Nipen uhakika mkuu.Hafu kwa aliye dar-kinondon twapeleka wapi mana cjui ofc zilipo.MSAADA PLZ!!
      Bundaza likes this.

    10. #8
      Mapujds's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th May 2011
      Location : Dar es salaam
      Posts : 1,282
      Rep Power : 666
      Likes Received
      118
      Likes Given
      6

      Default Re: sensa sensa!!!!!!!

      Quote By Marsy
      Wadau me naomba kuuliza aliyepata kiwango cha malipo cha uhakika anijuze mana wengne wanadai ni 10000 kwa ck,wngne elf35 kwa cku.Nipen uhakika mkuu.Hafu kwa aliye dar-kinondon twapeleka wapi mana cjui ofc zilipo.MSAADA PLZ!!
      yoyotesawa

    11. #9
      Kilahunja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2011
      Posts : 935
      Rep Power : 562
      Likes Received
      161
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By Mapujds
      yoyotesawa
      ndio walikua wanajadili kati ya 20 au iongezwe hadi 35.

    12. #10
      Ngarenaro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th November 2011
      Posts : 282
      Rep Power : 433
      Likes Received
      44
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Marsy
      Wadau me naomba kuuliza aliyepata kiwango cha malipo cha uhakika anijuze mana wengne wanadai ni 10000 kwa ck,wngne elf35 kwa cku.Nipen uhakika mkuu.Hafu kwa aliye dar-kinondon twapeleka wapi mana cjui ofc zilipo.MSAADA PLZ!!


      Kinondoni upo kata gani?

    13. #11
      zantos's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 7th April 2009
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: sensa sensa!!!!!!!

      goodmorning Africa

    14. #12
      pius maige's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd March 2012
      Posts : 21
      Rep Power : 368
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default

      30000 tu.kwa cku.

    15. #13
      Marsy's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th December 2011
      Posts : 42
      Rep Power : 383
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: sensa sensa!!!!!!!

      Kwani form zapokelewa wapi ndg?mna me napeleka kwa mtendaji wa mtaa anchukua na kuhifadhi anadai watazipeleka kata then tar 29 kata ndo watatoa majina.Hiyo ipo sawa kweli mana nahofia isijekuwa uchakachuzi waanzia hapo.Nijulishen wadau,,

    16. #14
      Kichasi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Posts : 36
      Rep Power : 397
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By pius maige
      30000 tu.kwa cku.
      mkuu umezitoa wapi hizo habari?

    17. #15
      Mudamali's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th June 2012
      Posts : 51
      Rep Power : 359
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Kichasi
      mkuu umezitoa wapi hizo habari?
      Jamani mwenye taarifa ya uhakika atujulishe.
      Naamini JF ina members ambao ni waratibu na wenyeviti wa sensa wa Wilaya.
      Hebu tusaidieni.

    18. #16
      magosha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2012
      Posts : 319
      Rep Power : 419
      Likes Received
      34
      Likes Given
      8

      Default Re: sensa sensa!!!!!!!

      kumekucha

    19. #17
      Mollel Lang'asani's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 5th July 2012
      Location : Arusha
      Posts : 5
      Rep Power : 347
      Likes Received
      0
      Likes Given
      3

      Default Re: sensa sensa!!!!!!!

      Nenda kajaze fomu maalum na uambatanishe na vyeti vyako, na pitisha mtendaji wako

    20. #18
      prakatatumba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2011
      Posts : 822
      Rep Power : 548
      Likes Received
      99
      Likes Given
      8

      Default

      Ukitoka mtaa peleka kata
      Quote By Marsy
      Kwani form zapokelewa wapi ndg?mna me napeleka kwa mtendaji wa mtaa anchukua na kuhifadhi anadai watazipeleka kata then tar 29 kata ndo watatoa majina.Hiyo ipo sawa kweli mana nahofia isijekuwa uchakachuzi waanzia hapo.Nijulishen wadau,,

    21. BAK
      #19
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,575
      Rep Power : 44960
      Likes Received
      8293
      Likes Given
      8292

      Default Re: sensa sensa!!!!!!!

      Hii sensa nayo inaweza kuborongwa kama kawaida ya uborongaji unaofanywa na Serikali DHAIFU, na Watanzania chungu nzima kulalamika kwamba hawakuhesabiwa.
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    22. #20
      Mama Mdogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2007
      Posts : 1,352
      Rep Power : 857
      Likes Received
      671
      Likes Given
      72

      Default Re: sensa sensa!!!!!!!

      Quote By Mollel Lang'asani
      Nenda kajaze fomu maalum na uambatanishe na vyeti vyako, na pitisha mtendaji wako
      Jaza section I ya fomu ya maombi ya kazi ya muda katika sensa ya watu na makazi 2012 items 1 hadi 8 halafu unaipeleka kwa kwa Mwajiri au kwa Mtendaji wa Kijiji/Mtaa ajaze section IIA e au IIB kwa uthibitisho. Mwajiri au Mtendaji wa Kijiji/Mtaa akishajaza kukuthibitisha, ichukue uipeleke Mwenyewe makao makuu ya Halmashauri ya Wilaya husika, usikubali kuiacha kwa Mwajiri au Mtendaji wa Kijiji/Mtaa, haitapelekwa katika muda muafaka au haitapelekwa, utachakachuliwa. Ukifika huko baada ya kukubaliwa utapewa Fomu_ya_KUKUBALI_Kazi-SENSA na utajaza!!! Amka!!!!
      Attached Files
      Anyone who has never made a mistake has never tried anything new - Albert Einstein
      No problem can be solved from the same level of consciousness that created it
      - Albert Einstein


    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...