Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Interview british high commission(bhc)

    Report Post
    Results 1 to 16 of 16
    1. #1
      Natafuta kazi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th May 2012
      Posts : 31
      Rep Power : 361
      Likes Received
      1
      Likes Given
      1

      Default Interview british high commission(bhc)

      Habari wakuu,

      naombeni msaada. nimeitwa kwenye interview BHC wamesema itakua ni written na pia discussion ya roles za hiyo kazi. naombeni mnipe angalau mwanga kuwa huwa inakuaje. plz plz nifumbueni macho wakuu. i ril need that job.

      thank you.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Don Mangi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,381
      Rep Power : 2927
      Likes Received
      381
      Likes Given
      201

      Default Re: Interview british high commission(bhc)

      Quote By Natafuta kazi
      Habari wakuu,

      naombeni msaada. nimeitwa kwenye interview BHC wamesema itakua ni written na pia discussion ya roles za hiyo kazi. naombeni mnipe angalau mwanga kuwa huwa inakuaje. plz plz nifumbueni macho wakuu. i ril need that job.

      thank you.
      Sasa hujasema hata kazi yenyewe tukusaidieje sasa? funguka then wadau watupie vyombo hapo...
      Fear and wonder, a powerful combination-Gracchus (Gladiator:2000 Epic Movie)

    4. #3
      Natafuta kazi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th May 2012
      Posts : 31
      Rep Power : 361
      Likes Received
      1
      Likes Given
      1

      Default Re: Interview british high commission(bhc)

      Quote By Don Mangi
      Sasa hujasema hata kazi yenyewe tukusaidieje sasa? funguka then wadau watupie vyombo hapo...
      asante mkuu, ni chancery support officer

    5. #4
      Natafuta kazi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th May 2012
      Posts : 31
      Rep Power : 361
      Likes Received
      1
      Likes Given
      1

      Default Re: Interview british high commission(bhc)

      msaada plz?

    6. #5
      musungu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Posts : 16
      Rep Power : 389
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Natafuta kazi
      msaada plz?
      jamani toeni msaada hata mimi wameniita


    7. #6
      Don Mangi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,381
      Rep Power : 2927
      Likes Received
      381
      Likes Given
      201

      Default Re: Interview british high commission(bhc)

      So far ninavyojua kazi za Chancery Support officer zinachezea hapa. . . planning and organising diplomatic events, coordinating travel logistics, setting up meetings; maintaining contact databases, taking minutes of meetings and drafting standard letters,
      Maswali yatakuwa kwenye competence ya mtu kwenye hizo kazi. Uwezo wa kujiamini na good communication skills because hii ni kazi ambayo utakua unakutana na diplomats wakubwa kwenye vikao na unatakiwa ujue sawia wanachosema na kunote down.. .
      Planning skills is another important skill you should have. . .
      Nyingine ni uwezo wa kuwa smart, presentable, suti zikukae. . .kama huna mwili nenda gym ukipata kazi hii. . .thats all I know. . .kama umeipenda gonga like.

    8. #7
      Nivea's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 5,706
      Rep Power : 16252
      Likes Received
      3155
      Likes Given
      4076

      Default Re: Interview british high commission(bhc)

      hujasem a kazi yenyewe unahitaji ushauri alafu acha uvivu google inatusaidia sana soma kwa bidii usikose kazi
      Kosea njia utaelekezwa,lakini usikosee mtu wakuoa /kuolewa naye,vinginevyo majuto yatakuwa sehemu ya maisha yako.tuliza kichwa unapochagua mwenzi wa maisha.

    9. #8
      musungu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Posts : 16
      Rep Power : 389
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Don Mangi
      So far ninavyojua kazi za Chancery Support officer zinachezea hapa. . . planning and organising diplomatic events, coordinating travel plogistics, setting up meetings; maintaining contact databases, taking minutes of meetings and drafting standard letters,
      Maswali yatakuwa kwenye competence ya mtu kwenye hizo kazi. Uwezo wa kujiamini na good communication skills because hii ni kazi ambayo utakua unakutana na diplomats wakubwa kwenye vikao na unatakiwa ujue sawia wanachosema na kunote down.. .
      Planning skills is another important skill you should have. . .
      Nyingine ni uwezo wa kuwa smart, presentable, suti zikukae. . .kama huna mwili nenda gym ukipata kazi hii. . .thats all I know. . .kama umeipenda gonga like.
      asante

    10. #9
      Tripo9's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2009
      Posts : 1,627
      Rep Power : 819
      Likes Received
      255
      Likes Given
      459

      Default Re: Interview british high commission(bhc)

      Quote By Don Mangi
      So far ninavyojua kazi za Chancery Support officer zinachezea hapa. . . planning and organising diplomatic events, coordinating travel logistics, setting up meetings; maintaining contact databases, taking minutes of meetings and drafting standard letters,
      Maswali yatakuwa kwenye competence ya mtu kwenye hizo kazi. Uwezo wa kujiamini na good communication skills because hii ni kazi ambayo utakua unakutana na diplomats wakubwa kwenye vikao na unatakiwa ujue sawia wanachosema na kunote down.. .
      Planning skills is another important skill you should have. . .
      Nyingine ni uwezo wa kuwa smart, presentable, suti zikukae. . .kama huna mwili nenda gym ukipata kazi hii. . .thats all I know. . .kama umeipenda gonga like.
      Nimegonga oh her behalf naona kachanganyikiwa
      "Smile though your heart is aching"...Me says

    11. #10
      KANCHI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2011
      Posts : 986
      Rep Power : 588
      Likes Received
      91
      Likes Given
      19

      Default

      Quote By Natafuta kazi
      Habari wakuu,

      naombeni msaada. nimeitwa kwenye interview BHC wamesema itakua ni
      written na pia discussion ya roles za hiyo kazi. naombeni mnipe angalau
      mwanga kuwa huwa inakuaje. plz plz nifumbueni macho wakuu. i ril need
      that job.

      thank you.
      M2 wang wameku2mia feedback kwa njia gani email au cmu? Halafu interview lini?

    12. #11
      Papizo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2008
      Location : What for??
      Posts : 3,310
      Rep Power : 1237
      Likes Received
      406
      Likes Given
      2270

      Default Re: Interview british high commission(bhc)

      Walikuwa kwamba ni formal au informal interview??

    13. #12
      Natafuta kazi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th May 2012
      Posts : 31
      Rep Power : 361
      Likes Received
      1
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By kanchi
      m2 wang wameku2mia feedback kwa njia gani email au cmu? Halafu interview lini?

      walituma email mkuu. Interview ilikuwa jana saa tano.

    14. #13
      Natafuta kazi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th May 2012
      Posts : 31
      Rep Power : 361
      Likes Received
      1
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By papizo
      walikuwa kwamba ni formal au informal interview??
      ilikuwa ni formal mkuu.

    15. #14
      Natafuta kazi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th May 2012
      Posts : 31
      Rep Power : 361
      Likes Received
      1
      Likes Given
      1

      Default Re: Interview british high commission(bhc)

      Good guys,nawashukuru sana kwa mchango wenu.

    16. #15
      Papizo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2008
      Location : What for??
      Posts : 3,310
      Rep Power : 1237
      Likes Received
      406
      Likes Given
      2270

      Default Re: Interview british high commission(bhc)

      Quote By Natafuta kazi
      Good guys,nawashukuru sana kwa mchango wenu.
      Hongera sana mkuu wangu, na vipi umefikia wapi na imeendaje??

    17. #16
      Natafuta kazi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th May 2012
      Posts : 31
      Rep Power : 361
      Likes Received
      1
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Papizo
      Hongera sana mkuu wangu, na vipi umefikia wapi na imeendaje??
      mkuu samahani nilipotea kidogo. nilifanya intavyuu, then wakanitumia email kuwa sijafanikiwa. leo wamenigia simu tu na kuuliza kwa sasa ninafanya wapi kazi basi. sasa hapa nimechanganyikiwa sielewi wanataka nn tana.. aah kichwa inauma.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...