jamani natafuta soko la asali wa nyuki wadogo kutoka tabora, bei ni maelewano. mimi nipo arusha kwa anaejua tujuzane jaman
jamani natafuta soko la asali wa nyuki wadogo kutoka tabora, bei ni maelewano. mimi nipo arusha kwa anaejua tujuzane jaman
we kijana hiyo unayohitaji lita moja ni Tsh 10,000 (Elf kumi tu) nayo ni kwa walinaji wenyewe kutoka kijiji cha Kitunda na Kipili wilaya Sikonge. Jaribu watu wa huko uongee nao.
"WHEN U GO PLACES, GO PLACES IN STYLE"
mimi ninayo natafuta soko la kuuzia my ndugu
Ni vyema ukasema unayo kiasi gani maana isije ikawa lita mbili tatu!
“If you can not get what you love, then love what you have”
Follow Us Here