Jaman nimetafuta kazi za IT nimekosa lakini ni muitimu wa Bsc Comp science UDSM,naweza fundisha masomo hayo na comp application kwa mtu anayejua wapi naweza pata kazi ya uwalimu pls ni PM.
Jaman nimetafuta kazi za IT nimekosa lakini ni muitimu wa Bsc Comp science UDSM,naweza fundisha masomo hayo na comp application kwa mtu anayejua wapi naweza pata kazi ya uwalimu pls ni PM.
Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo
[QUOTE=Kichuguu;4259963]Teh! teh ! teh!
Wewe kumbe ni bure kabisa kwa vile inelekea hujui theories nyingi unazotaka kuzitumia. In this case, theory ya elasticity; nitakusaidia.
katika elastic region, Hookes Law inasema kuwa stress is linearly proportional to strain, na constant of proportionality inajulikana kama youngs modulus au Modulus of elasticity (E). Kwa vile stress= F/A na strain= e/l, ndipo tunapata
F/A=Ee/l ambazo ukizichanganya unaishia kupata
F=(EA/l) e
Kwa hiyo elastic constant au stiffness constant k ni (EA/l). Value ya k ndiyo inayotakiwa katika maswali ya kinetics of particles. Kama ulikuwa umetoa E,ni lazima ulitakiwa utoe cross section ya hiyo wire yako (A) kusudi wanafunzi wako waweze kutafuta value ya k.
Kwa materials ambazo hazi-obey Hooke's law, zinajulikana kuwa na nonlinear stifness, ni lazim u-specify namna ambavyo k inavyohusiana na extension (e), kwa mfano k=2e
Ndugu yangu kichuguu naona unaijua kweli physics lakini kwenye hili naona kuna shida, for elastic string relationship btn T and x is
where T-tension, modulus of elasticity ,x is etension and l is natural length.Kwa maelezo zaidi unaweza kutembelea hapa, au Kasome kitabu hiki Physics for A-level by L. Bostock and S. Chandler page 185.
Last edited by Zeddicus Zu'l Zorander; 18th July 2012 at 02:34.
Na wewe ni mwalimu wa Phyiscs?
Kama ni mwalimu wa Phyiscs huenda utakuwa unafahamu tofauti ya quantities hizi EA, EI na EJ. Hiyo unayoongea wewe \lambda ni EA. Google term hiyo "Modulus of Elasticity" au soma vitabu mbalimbali vya Solid Mechanics au Continuum Mechanics utapata jibu sahihi. Sina uhakika kitabu ulichonipa link yake kiliandikwa na mtu mwenye upeo upi katika field hii kwa vile hakikufunguka kwangu. Una haki ya kukubaliana nami au kuachana nami, ila nina uhakika na ninachoongea; mimi ni mwalimu wa siku nyingi sana kwenye field hii.
Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo
Nakusubiri urudi
Kichuguu nmekupa test yenye full instructions tena kiingreza chake kimenyoka si kama nilitunga mtihani mwingine ule. Kwa kuwa wewe ni Mwanafizikia wa Daraja la kwanza tena unayeijua vizuri elementary particle mechanics huu ndio wanja wako bro/sister
KICHUGUU JIBU HUU WA FORM 5.pdf
...ha ha ha ha ha!! Si kweli kaka,si kila anaefundisha ni mwalimu!! na wala si kila anaetaka kufundisha Hesabu akashindwa basi hajui!! Knowing Mathematics is one thing and being able to let one understand Maths as u do is another!!!!! Being good at Mathematics starts from Within,si kila aliyesoma Hesabu basi anafaa kuwa mwalimu wa Hesabu!! Wengine hata sio walimu na hatuna taaluma hiyo ila tunagombewa na Headmasters!!! Watch out brothers!!
Nisubiri nitakuja kujibu maswali yoyote ya maana ila sitajibu upuuzi au ubishi usiokuwa na maana. kama una mswali ambayo huna uhakika nayo kuhusu mitihani unayowapa wanafunzi wako nitakusaidia kuyasahihisha . Sasa hivi niko najiandanaa na mkutano wa experimental mechanics na ukihitaji nitakuletea copy ya proceedings kwenye DVD. Fuatilia link hii kuangalia mada tutkazoeengea kwenye mkutano huo).
Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo
Mwanzo wa yote ni mtu kutafuta kazi ya ualimu jf.....
:D
Kuna jamaa hapo juu kadai eti wanaofundisha vyuo vikuu siyo walimu. Amejitahidi kusema namna wanavyopatikana ila naona anakosa maarifa mapana.Kama anakaa karibu na Dar AU DODOMA au MOROGORO fika Idara ya Physics, Hesabu. Ukawaulize walisoma nini kwenye undergraduate na Msc, PhD zao. Mmi mwenyewe ni one of them na nilisoma Bsc Education na walimu wangu ni Prof. Masawe, Dr. Kakiko, Dr, Rugeihyamu, Prof. Msaki, Dr.Makundi, Dr. Kainkwa;Dr. Koleleni, Dr. Samiji na Wengineo na sas nimeungana nao ktk kazi ya Uhadhiri. Uhadhiri ni Ualimu ktk Advanced Level. Ni kweli si wote wahadhiri walisomgemeana na field. Au labda mtu aseme baadhi ya walimu walipata marks ndogo wakati wakiwa sekondari japo hata ktk fani zingine wapo pia vilaza wengi maana sis tunaofundisha Hesabu hata kwa Mainjinia na wengineo japo hesabu zingine mara nyingine ni Basic ndo tunashuhudia walivyo wagumu wa kuelewa .Tuacheni kudharau Taaluma za watu hasa kama huijui kwa undani wake hiyo taaluma.
Last edited by CHIHAYA; 19th July 2012 at 15:45. Reason: TYPING ERRORS
Follow Us Here