Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: MWL wa Math na Physics

    Report Post
    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 41 to 60 of 65
    1. #1
      DON YAN's Avatar
      Member Array
      Join Date : 12th June 2012
      Posts : 21
      Rep Power : 354
      Likes Received
      3
      Likes Given
      1

      Default MWL wa Math na Physics

      Jaman nimetafuta kazi za IT nimekosa lakini ni muitimu wa Bsc Comp science UDSM,naweza fundisha masomo hayo na comp application kwa mtu anayejua wapi naweza pata kazi ya uwalimu pls ni PM.

    2. Miaka 50

    3. #41
      Kichuguu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2006
      Location : Popote Porini
      Posts : 6,836
      Rep Power : 3272
      Likes Received
      1315
      Likes Given
      916

      Default Re: MWL wa Math na Physics

      Quote By Head teacher
      We sema tu ni mweupe nitakuelewa, si kudanganya.
      Kuna aina ya watu ambao wana tabia ya kutokukubalia udhaifu wao hata wakiambiwaje; hilo ninalielewa sana katika psychology, ila nitajitahidi sana kukusaida ujue yale usiyojua hata kama ni against ego yako.
      Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo

    4. #42
      Zeddicus Zu'l Zorander's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th August 2011
      Posts : 98
      Rep Power : 411
      Likes Received
      11
      Likes Given
      5

      Default Re: MWL wa Math na Physics

      [QUOTE=Kichuguu;4259963]Teh! teh ! teh!

      Wewe kumbe ni bure kabisa kwa vile inelekea hujui theories nyingi unazotaka kuzitumia. In this case, theory ya elasticity; nitakusaidia.

      katika elastic region, Hookes Law inasema kuwa stress is linearly proportional to strain, na constant of proportionality inajulikana kama youngs modulus au Modulus of elasticity (E). Kwa vile stress= F/A na strain= e/l, ndipo tunapata

      F/A=Ee/l ambazo ukizichanganya unaishia kupata

      F=(EA/l) e

      Kwa hiyo elastic constant au stiffness constant k ni (EA/l). Value ya k ndiyo inayotakiwa katika maswali ya kinetics of particles. Kama ulikuwa umetoa E,ni lazima ulitakiwa utoe cross section ya hiyo wire yako (A) kusudi wanafunzi wako waweze kutafuta value ya k.

      Kwa materials ambazo hazi-obey Hooke's law, zinajulikana kuwa na nonlinear stifness, ni lazim u-specify namna ambavyo k inavyohusiana na extension (e), kwa mfano k=2e

      Ndugu yangu kichuguu naona unaijua kweli physics lakini kwenye hili naona kuna shida, for elastic string relationship btn T and x is
      where T-tension, modulus of elasticity ,x is etension and l is natural length.Kwa maelezo zaidi unaweza kutembelea
      hapa, au Kasome kitabu hiki Physics for A-level by L. Bostock and S. Chandler page 185.
      Last edited by Zeddicus Zu'l Zorander; 18th July 2012 at 02:34.

    5. #43
      Kichuguu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2006
      Location : Popote Porini
      Posts : 6,836
      Rep Power : 3272
      Likes Received
      1315
      Likes Given
      916

      Default Re: MWL wa Math na Physics

      Quote By Zeddicus Zu'l Zorander
      Ndugu yangu kichuguu naona unaijua kweli physics lakini kwenye hili naona kuna shida, for elastic string relationship btn T and x is
      where T-tension, modulus of elasticity ,x is etension and l is natural length.Kwa maelezo zaidi unaweza kutembelea
      hapa, au Kasome kitabu hiki Physics for A-level by L. Bostock and S. Chandler page 185.
      Na wewe ni mwalimu wa Phyiscs?
      Kama ni mwalimu wa Phyiscs huenda utakuwa unafahamu tofauti ya quantities hizi EA, EI na EJ. Hiyo unayoongea wewe \lambda ni EA. Google term hiyo "Modulus of Elasticity" au soma vitabu mbalimbali vya Solid Mechanics au Continuum Mechanics utapata jibu sahihi. Sina uhakika kitabu ulichonipa link yake kiliandikwa na mtu mwenye upeo upi katika field hii kwa vile hakikufunguka kwangu. Una haki ya kukubaliana nami au kuachana nami, ila nina uhakika na ninachoongea; mimi ni mwalimu wa siku nyingi sana kwenye field hii.
      Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo

    6. #44
      Nzowa Godat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2011
      Posts : 1,384
      Rep Power : 678
      Likes Received
      229
      Likes Given
      12

      Default

      Quote By Chambo81
      kweli babu...."point"...ualimu na upolisi ndo kimbilio lao hao failures!!!
      Na waliofaulu au ma genius wanakimbilia wapi? Ikulu? nini!! Nasikia marais na wabunge wote ni magenius, ni kweli?!

    7. #45
      Nzowa Godat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2011
      Posts : 1,384
      Rep Power : 678
      Likes Received
      229
      Likes Given
      12

      Default

      Quote By Kichuguu
      Mswali ya mtihani huo yana mamtatizo mawili:

      (a) Maswali mengine hayako specific; kwa mfano swali la kwanza linauliza direction, lakini haliko specific katika kuspecify direction relative to what: direction relative to horizantal axis or vertical axis or what.

      (b)Maswali mengi yanahuhisha gravity, lakini hayakueleza conditions za gravity. Kwa Tanzania acceleration due to gravity ni 9.85m/s^, wakati sehemu nyingi za Ulaya value hiyo ni 9.81m/s^2. Swali lingekamilila kwa kuspecify value ya g.

      (c) Baadhi ya maswali yameandikwa kwa kiingereza kibovu chenye makosa kinachoweza kusababisha mtahiniwa aelewe swali kinyume na anavyotakiwa kulielewa.
      Maswali ya form I yamekukamata mtu na degree yako ya UDSM? Follow the given instructions no alterations are allowed!

    8. RukaaJuu Final

    9. #46
      Head teacher's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2012
      Posts : 610
      Rep Power : 485
      Likes Received
      124
      Likes Given
      6

      Default Re: MWL wa Math na Physics

      [QUOTE=Zeddicus Zu'l Zorander;4260107]
      Quote By Kichuguu
      Teh! teh ! teh!

      Wewe kumbe ni bure kabisa kwa vile inelekea hujui theories nyingi unazotaka kuzitumia. In this case, theory ya elasticity; nitakusaidia.

      katika elastic region, Hookes Law inasema kuwa stress is linearly proportional to strain, na constant of proportionality inajulikana kama youngs modulus au Modulus of elasticity (E). Kwa vile stress= F/A na strain= e/l, ndipo tunapata

      F/A=Ee/l ambazo ukizichanganya unaishia kupata

      F=(EA/l) e

      Kwa hiyo elastic constant au stiffness constant k ni (EA/l). Value ya k ndiyo inayotakiwa katika maswali ya kinetics of particles. Kama ulikuwa umetoa E,ni lazima ulitakiwa utoe cross section ya hiyo wire yako (A) kusudi wanafunzi wako waweze kutafuta value ya k.

      Kwa materials ambazo hazi-obey Hooke's law, zinajulikana kuwa na nonlinear stifness, ni lazim u-specify namna ambavyo k inavyohusiana na extension (e), kwa mfano k=2e

      Ndugu yangu kichuguu naona unaijua kweli physics lakini kwenye hili naona kuna shida, for elastic string relationship btn T and x is
      where T-tension, modulus of elasticity ,x is etension and l is natural length.Kwa maelezo zaidi unaweza kutembelea
      hapa, au Kasome kitabu hiki Physics for A-level by L. Bostock and S. Chandler page 185.
      Usiseme bwana mtaalamu wa physics haoni tofauti kati ya gravitational field strength na acceleration due to gravity. Na baadae atasema ni sawa tu gravitational potential, nina mashaka naye huyu mwanasayansi wa kudesa

    10. #47
      Head teacher's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2012
      Posts : 610
      Rep Power : 485
      Likes Received
      124
      Likes Given
      6

      Default Re: MWL wa Math na Physics

      Quote By Kichuguu
      Na wewe ni mwalimu wa Phyiscs?
      Kama ni mwalimu wa Phyiscs huenda utakuwa unafahamu tofauti ya quantities hizi EA, EI na EJ. Hiyo unayoongea wewe \lambda ni EA. Google term hiyo "Modulus of Elasticity" au soma vitabu mbalimbali vya Solid Mechanics au Continuum Mechanics utapata jibu sahihi. Sina uhakika kitabu ulichonipa link yake kiliandikwa na mtu mwenye upeo upi katika field hii kwa vile hakikufunguka kwangu. Una haki ya kukubaliana nami au kuachana nami, ila nina uhakika na ninachoongea; mimi ni mwalimu wa siku nyingi sana kwenye field hii.
      Kilaza

    11. #48
      Head teacher's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2012
      Posts : 610
      Rep Power : 485
      Likes Received
      124
      Likes Given
      6

      Default Re: MWL wa Math na Physics

      [QUOTE=Kichuguu;4259922]
      Quote By Head teacher
      Elementary mechanics ni zile hatua za mwanzo mwanzo za Classical Newtonian Mechanics kulingana na maswali yako uliyoweka hapo ambayo hayahitaji hata Lagrangian Mechanics; ukitaka twende ndani zaidi ya hapo niko tayari tuongee.
      Hakuna classical mechanics ambayo siyo Langrangian, shame

    12. #49
      Head teacher's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2012
      Posts : 610
      Rep Power : 485
      Likes Received
      124
      Likes Given
      6

      Default Re: MWL wa Math na Physics

      Quote By Nzowa Godat
      Maswali ya form I yamekukamata mtu na degree yako ya UDSM? Follow the given instructions no alterations are allowed!
      Amesema na GPA ya 4.5, first class

    13. #50
      Head teacher's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2012
      Posts : 610
      Rep Power : 485
      Likes Received
      124
      Likes Given
      6

      Default Re: MWL wa Math na Physics

      [QUOTE=Kichuguu;4259922]
      Quote By Head teacher
      Elementary mechanics ni zile hatua za mwanzo mwanzo za Classical Newtonian Mechanics kulingana na maswali yako uliyoweka hapo ambayo hayahitaji hata Lagrangian Mechanics; ukitaka twende ndani zaidi ya hapo niko tayari tuongee.
      Hebu nipe na hatua za awali za kutreat classical problem as langrangian. Maana wewe ndo unanilead na nitaenda unapoenda, ili nikukamate hapa JF

    14. #51
      Head teacher's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2012
      Posts : 610
      Rep Power : 485
      Likes Received
      124
      Likes Given
      6

      Default Re: MWL wa Math na Physics

      Quote By Kichuguu
      .(b) Kudai kuwa mwanafunzi wa form two atafanya assumption ya g ndiko kunawakosesha elimu pana watoto wetu kwani nyie mnawafundisha kukariri kuwa g ni 10m/s^2 wakati siyo kweli. Value halisi ya g ni (GMe/R_e^2) wakati G ni universal gravitational constant, M_e ni mass of earth and R_e ni distance from the center of earth. Kwa vile R_e inabadilika kulingana na kina kutoka usawa wa bahari na vile vile kulingana na latitude (kwa vile dunia ni oval), huwezi kumkaririsha mtoto kuwa g=10 m/s^2 ukadai kuwa unajua. Experiment ikifanyikia Njombe kwenye nyanda za juu, haiwezi kuleta matokeo sawa na yale ya Dar es Salaam kwenye usawa wa bahari. Ni kawaida kwenye mitihani kuweka statement kuwa assume the value of g to be 9.81m/s^ au 10m/s^2; ulitakiwa ufanye hivyo ili kuzuia ambiguity kwenye mtihani wako.
      KWA maelezo yako g = GM/r2 ndio acceleration due to gravitysio?

    15. #52
      Head teacher's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2012
      Posts : 610
      Rep Power : 485
      Likes Received
      124
      Likes Given
      6

      Default Re: MWL wa Math na Physics

      Nakusubiri urudi

    16. #53
      Head teacher's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2012
      Posts : 610
      Rep Power : 485
      Likes Received
      124
      Likes Given
      6

      Default Re: MWL wa Math na Physics

      Kichuguu nmekupa test yenye full instructions tena kiingreza chake kimenyoka si kama nilitunga mtihani mwingine ule. Kwa kuwa wewe ni Mwanafizikia wa Daraja la kwanza tena unayeijua vizuri elementary particle mechanics huu ndio wanja wako bro/sister
      KICHUGUU JIBU HUU WA FORM 5.pdf

    17. #54
      tindikalikali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 3,082
      Rep Power : 1215
      Likes Received
      392
      Likes Given
      89

      Default

      Quote By Nzowa Godat
      Maswali ya form I yamekukamata mtu na degree yako ya UDSM? Follow the given instructions no alterations are allowed!
      degree ya udsm inakubabaisha eeh

    18. #55
      siwalaze's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th October 2010
      Posts : 120
      Rep Power : 462
      Likes Received
      11
      Likes Given
      160

      Default Re: MWL wa Math na Physics

      Quote By Mutta
      Ahsante kaka.Mimi ni mwl wa Physics na Math mwenye DIPLOMA.Wanaotoka Vyuo vikuu wakija kuanza kazi za kufundisha Maths wanashindwa.Mpaka wanaomba msaada.Akaombe kuwa DAKTARI,MHASIBU,POLISI.n.k.Wot e wanaomsuport wanasahau wamefundishwa na qualified teacher?

      ...ha ha ha ha ha!! Si kweli kaka,si kila anaefundisha ni mwalimu!! na wala si kila anaetaka kufundisha Hesabu akashindwa basi hajui!! Knowing Mathematics is one thing and being able to let one understand Maths as u do is another!!!!! Being good at Mathematics starts from Within,si kila aliyesoma Hesabu basi anafaa kuwa mwalimu wa Hesabu!! Wengine hata sio walimu na hatuna taaluma hiyo ila tunagombewa na Headmasters!!! Watch out brothers!!

    19. #56
      Kichuguu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2006
      Location : Popote Porini
      Posts : 6,836
      Rep Power : 3272
      Likes Received
      1315
      Likes Given
      916

      Default Re: MWL wa Math na Physics

      Quote By Head teacher
      Kichuguu nmekupa test yenye full instructions tena kiingreza chake kimenyoka si kama nilitunga mtihani mwingine ule. Kwa kuwa wewe ni Mwanafizikia wa Daraja la kwanza tena unayeijua vizuri elementary particle mechanics huu ndio wanja wako bro/sister
      KICHUGUU JIBU HUU WA FORM 5.pdf
      Nisubiri nitakuja kujibu maswali yoyote ya maana ila sitajibu upuuzi au ubishi usiokuwa na maana. kama una mswali ambayo huna uhakika nayo kuhusu mitihani unayowapa wanafunzi wako nitakusaidia kuyasahihisha . Sasa hivi niko najiandanaa na mkutano wa experimental mechanics na ukihitaji nitakuletea copy ya proceedings kwenye DVD. Fuatilia link hii kuangalia mada tutkazoeengea kwenye mkutano huo).
      Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo

    20. RR
      #57
      RR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2007
      Location : Close
      Posts : 5,605
      Rep Power : 1744
      Likes Received
      1020
      Likes Given
      481

      Default

      Mwanzo wa yote ni mtu kutafuta kazi ya ualimu jf.....
      :D

    21. #58
      CHIHAYA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Posts : 84
      Rep Power : 379
      Likes Received
      19
      Likes Given
      15

      Default Re: MWL wa Math na Physics

      Kuna jamaa hapo juu kadai eti wanaofundisha vyuo vikuu siyo walimu. Amejitahidi kusema namna wanavyopatikana ila naona anakosa maarifa mapana.Kama anakaa karibu na Dar AU DODOMA au MOROGORO fika Idara ya Physics, Hesabu. Ukawaulize walisoma nini kwenye undergraduate na Msc, PhD zao. Mmi mwenyewe ni one of them na nilisoma Bsc Education na walimu wangu ni Prof. Masawe, Dr. Kakiko, Dr, Rugeihyamu, Prof. Msaki, Dr.Makundi, Dr. Kainkwa;Dr. Koleleni, Dr. Samiji na Wengineo na sas nimeungana nao ktk kazi ya Uhadhiri. Uhadhiri ni Ualimu ktk Advanced Level. Ni kweli si wote wahadhiri walisomgemeana na field. Au labda mtu aseme baadhi ya walimu walipata marks ndogo wakati wakiwa sekondari japo hata ktk fani zingine wapo pia vilaza wengi maana sis tunaofundisha Hesabu hata kwa Mainjinia na wengineo japo hesabu zingine mara nyingine ni Basic ndo tunashuhudia walivyo wagumu wa kuelewa .Tuacheni kudharau Taaluma za watu hasa kama huijui kwa undani wake hiyo taaluma.
      Last edited by CHIHAYA; 19th July 2012 at 15:45. Reason: TYPING ERRORS

    22. #59
      watu8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2010
      Location : Juu ya Tukutuku
      Posts : 15,274
      Rep Power : 31328
      Likes Received
      7556
      Likes Given
      7615

      Default Re: MWL wa Math na Physics

      Quote By Head teacher
      Fanya huu mtihani nikupe kazi
      Attachment 58947
      mkuu sio unatafuta solution ya hayo maswali kijanja...hahahah
      "Ingawa tunatumia AVATARS na USERNAMES ambazo ni FAKE, bado haibadilishi uhalisia wa MIOYO YETU"



    23. #60
      Chambo81's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th June 2012
      Posts : 54
      Rep Power : 359
      Likes Received
      14
      Likes Given
      2

      Default Re: MWL wa Math na Physics

      Quote By Nzowa Godat
      Na waliofaulu au ma genius wanakimbilia wapi? Ikulu? nini!! Nasikia marais na wabunge wote ni magenius, ni kweli?!
      Albert Eistein kweli alikua ticha mkali nyie wenzangu na mimi vilaza tu...mnaungaunga tu hauchi kunakucha!!

    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...