Ckuwah kuimagn kuwa unaweza kunyang'anywa kaz hv hv, nilipata kaz kwny kampun moja ya cm cha ajabu cku ya kuanza training 2kaambiwa 2fanye interview jaman kazi hzi, kumbe walishatuchakachua.
Ckuwah kuimagn kuwa unaweza kunyang'anywa kaz hv hv, nilipata kaz kwny kampun moja ya cm cha ajabu cku ya kuanza training 2kaambiwa 2fanye interview jaman kazi hzi, kumbe walishatuchakachua.
pole mwaya...![]()
Pole, haikuwa riziki.
Pole sana walishapata watu wao ndio maana wamefanya hivyo
umenyang'anywa au umekosa?
Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!
Kampuni gani hiyo ya cm??
Si uitaje?
HAHAHAHAHAH SISI MAJOBLESS TUNAPITIA MISUKOSUKO MINGI KAMA WAGUMBA.![]()
HEBREWS 12:14
Pole, Usikate tamaa!
Usijali, utakuja kupata kazi ambayo wenyewe watashangaa!! Naimaini mungu atakulipa zaidi!! Just move on!!
"Never argue with stupid people, they will drag you down to their level and then beat you with experience" Mark Twain
Dah!..anh
Follow Us Here