Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: TUME YA AJIRA: Mnamaanisha nini hapa???

    Report Post
    Results 1 to 15 of 15
    1. GP
      #1
      GP's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2009
      Location : every where
      Posts : 1,951
      Rep Power : 918
      Likes Received
      76
      Likes Given
      96

      Default TUME YA AJIRA: Mnamaanisha nini hapa???

      "Applicants for entry levels currently employed in the Public Service should not apply, they have to adhere to Government Circular Na. CAC. 45/257/01/D/140 dated 30th November 2010"

      AU
      "Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika utumishi wa umma wasiombe na wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyo katika Waraka Na CAC. 45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba 2010"
      wakuu,
      mara nyingi tume ya ajira katika utumishi wa umma huwa wanaweka vipengele hivyo hapo juu,
      sasa sijui walikua wanamaanisha nini hapa?, na hii CIRCULAR kama kuna mtu anayo basi naomba anisaidie nijionee mwenyewe.

    2. Study Abroad

    3. #2
      Kilahunja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2011
      Posts : 935
      Rep Power : 561
      Likes Received
      161
      Likes Given
      3

      Default Re: TUME YA AJIRA: Mnamaanisha nini hapa???

      Sasa usichoelewa nini? Maana yake USIOMBE kama unaangukia hapo, na 7bu ndo hyo, katafute maelezo zaidi kwenye waraka kumbukumbu hyo hapo walokuandikia/ambatanisha.

    4. GP
      #3
      GP's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2009
      Location : every where
      Posts : 1,951
      Rep Power : 918
      Likes Received
      76
      Likes Given
      96

      Default Re: TUME YA AJIRA: Mnamaanisha nini hapa???

      Quote By Kilahunja
      Sasa usichoelewa nini? Maana yake USIOMBE kama unaangukia hapo, na 7bu ndo hyo, katafute maelezo zaidi kwenye waraka kumbukumbu hyo hapo walokuandikia/ambatanisha.
      ishu ni kwamba kuna watu ambao wao wameajiriwa sehemu kama vibarua au tempo yani hawana ajira ya kudumu kwenye taasisi za serikali. kwa mfano utakuta mtu kamaliza shule na kaomba sehemu kama tfda tempo akapata na akawa anafanya kazi akilipwa kama mfanyakazi wa muda mfupi.
      je mtu kama huyu kifungu hiki kinamuhusu??

    5. #4
      mamboko's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th June 2012
      Posts : 14
      Rep Power : 350
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: TUME YA AJIRA: Mnamaanisha nini hapa???

      we omba tu jamaa hawana kumbu*2

    6. #5
      Pasco_jr_ngumi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Posts : 1,543
      Rep Power : 700
      Likes Received
      184
      Likes Given
      42

      Default Re: TUME YA AJIRA: Mnamaanisha nini hapa???

      serikali haina akili
      mimi nimeajiriwwa kwa DIP ya Ualimu.......
      sasa nina SHAHADA YA UHASIBU NA FEDHA......................


      they are fuxxxiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiinnn nnnnnnnnnnnnnnnngggggggggggggg ggggg
      Ndumbayeye likes this.
      Maisha Ni Lazima Yaendelee, iwe kwa mapanga, sulululu, visu....

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Kilahunja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2011
      Posts : 935
      Rep Power : 561
      Likes Received
      161
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By GP
      ishu ni kwamba kuna watu ambao wao wameajiriwa sehemu kama vibarua au tempo yani hawana ajira ya kudumu kwenye taasisi za serikali. kwa mfano utakuta mtu kamaliza shule na kaomba sehemu kama tfda tempo akapata na akawa anafanya kazi akilipwa kama mfanyakazi wa muda mfupi.
      je mtu kama huyu kifungu hiki kinamuhusu??
      huyo mtu serikali haimtambui, kwahiyo anatakiwa aombe ili apate ajira nakisha serikali imtambue.

    9. #7
      Mzalendo JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Posts : 899
      Rep Power : 529
      Likes Received
      274
      Likes Given
      212

      Default Re: TUME YA AJIRA: Mnamaanisha nini hapa???

      Ni upepo tu wa kaskaz

    10. #8
      Ulimakafu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Itabanya Balasi
      Posts : 10,905
      Rep Power : 2595
      Likes Received
      690
      Likes Given
      1609

      Default Re: TUME YA AJIRA: Mnamaanisha nini hapa???

      Yote yawezekana.

    11. GP
      #9
      GP's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2009
      Location : every where
      Posts : 1,951
      Rep Power : 918
      Likes Received
      76
      Likes Given
      96

      Default Re: TUME YA AJIRA: Mnamaanisha nini hapa???

      Quote By Kilahunja
      huyo mtu serikali haimtambui, kwahiyo anatakiwa aombe ili apate ajira nakisha serikali imtambue.
      there you are mkuu!,
      ndio sasa yeye anataka kupata ajira sasa iliyo rasmi hapo hapo kwenye hiyo taasisi.
      sasa hawa jamaa wa tume ya ajira kuna kipengele kingine wanaruhu mtu ambae ameajiriwa lakini anataka kubadili fani tofauti na ile aliyopo kitu ambacho naona sio sawa sana kivile.

    12. #10
      Las Mas Bobos's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2012
      Posts : 885
      Rep Power : 526
      Likes Received
      292
      Likes Given
      78

      Default Re: TUME YA AJIRA: Mnamaanisha nini hapa???

      Quote By GP
      ishu ni kwamba kuna watu ambao wao wameajiriwa sehemu kama vibarua au tempo yani hawana ajira ya kudumu kwenye taasisi za serikali. kwa mfano utakuta mtu kamaliza shule na kaomba sehemu kama tfda tempo akapata na akawa anafanya kazi akilipwa kama mfanyakazi wa muda mfupi.
      je mtu kama huyu kifungu hiki kinamuhusu??
      Kwa hiyo kiingereza hujaelewa na kiswahili hakipandi?

      Kama wewe ni mwajiriwa wa serikali au idara zake, USITUME MAOMBI. Hii ni kupunguza kero ya vijitu vinavyohama hama bila msingi kwa kazi ile ile. Kama wewe ni messenger wizara ya afya unaomba u-messenger wizara ya kilimo ili iwe nini wakati kuna watu hawana ajira? Pili, unapoacha kazi kule wizara ya afya unaisumbua serikali ile ile kuajiri messenger mwingine.

      Sasa kama tempo ni ajira utajua wewe na uzito wako wa kuelewa
      Ndumbayeye likes this.
      By the time a man comes to realize that his father was right, he usually has a son who think he is wrong.

    13. #11
      NasDaz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2009
      Location : Ushenzini
      Posts : 3,029
      Rep Power : 5338
      Likes Received
      1400
      Likes Given
      1623

      Default Re: TUME YA AJIRA: Mnamaanisha nini hapa???

      Quote By GP
      ishu ni kwamba kuna watu ambao wao wameajiriwa sehemu kama vibarua au tempo yani hawana ajira ya kudumu kwenye taasisi za serikali. kwa mfano utakuta mtu kamaliza shule na kaomba sehemu kama tfda tempo akapata na akawa anafanya kazi akilipwa kama mfanyakazi wa muda mfupi.
      je mtu kama huyu kifungu hiki kinamuhusu??
      Ndugu yangu,
      Hicho kipengele ni muhimu sana na ni msaada kwetu tusio na ajira. Nini maana ya kipengele hbicho?! Assume wewe umemaliza BCom Accoounts na ukaajiriwa kama Accountant II (Hiyo ndo Entry Level yenyewe) Halmashauri ya Misungwi. Kisha, serikali wanatangaza nafasi za kazi Accontant II Wizara ya Fedha....na wewe kwa kuona huko kuna deal, unaamua kuomba ili ukimbie Misungwi....kutokana na kipengele hicho maana yake ni kwamba hauruhusiwi kwavile huku mtaani kuna watu wanaitafuta hata hiyo ya Misungwi lakini hawajaipata!!! Alternatively, inawezekana umeajiriwa kama Mhasibu II anywhere serikalini, na mara serikali inatangaza nafasi za Wkaguzi wa Mahesabu (Auditors II)....wewe kwa kuona kwamba Auditor ni deal kuliko Mhasibu; unaamua ku-apply hiyo nafasi ya U-Auditor wakati tayari ni Mhasibu....Kwa mujibu wa kipengele hicho; hairuhusiwi!

      IN addition, huyo kibarua au wa tempo, haguswi na kipengele hicho! Je, hicho kipengele ni muhimu au sio muhimu?!
      Ndumbayeye and GP like this.
      I am a free thinker! It's only my free thinking that leads me, to what am commenting. Thus, I've no doubt that today I can be your fellow but tomorrow your enemy, and the agent between us being my comments!! So, If today we agree with cheers, tomorrow we'd not disagree with jeers!


    14. #12
      NasDaz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2009
      Location : Ushenzini
      Posts : 3,029
      Rep Power : 5338
      Likes Received
      1400
      Likes Given
      1623

      Default Re: TUME YA AJIRA: Mnamaanisha nini hapa???

      Quote By GP
      there you are mkuu!,
      ndio sasa yeye anataka kupata ajira sasa iliyo rasmi hapo hapo kwenye hiyo taasisi.
      sasa hawa jamaa wa tume ya ajira kuna kipengele kingine wanaruhu mtu ambae ameajiriwa lakini anataka kubadili fani tofauti na ile aliyopo kitu ambacho naona sio sawa sana kivile.
      Hata hapa ndugu yangu bado haupo sahihi!!!
      Maana ya kipengele hicho ni kwamba.....Uhalisia wake ni huu.....Assume uliajiriwa kama Afisa Kilimo wakati ukiwa na Diploma in Agriculture. Lakini, ukaenda SUA na kuchukua BSc. AgroEconomics na baada ya ku-graduate na kurudi kazini kwako bado ukaendelea kutumikia kama Afisa Kilimo! Mara, Tume ya Ajira wakatangaza nafasi za Economist II, ambapo mtu wa BSc. AgroEconomics ana sifa za kuomba! Kutokana na kipengele hicho; ha;po huyo mtu ni ruksa kuomba hiyo post ya Economist II ! Lakini Say, uliajiriwa kama Afisa Kilimo (Agricultural Officer III) mwenye Diploma; kisha zikatoka nafasi za Extension Officer III....hapo, HAPANA!!! Lakini kama ni wewe ni Agricultural Officer III (ulikuwa na Diploma) kisha ukaenda kusoma na kupata degree na zikatangazwa nafasi ama za Agricultural Officer II OR Extension Officer II....HAPO, RUKSA KUOMBA!
      NGOJA nikuambie kitu kimoja! Kabla ya utaratibu huu; kulikuwa na idadi kubwa tu ya wafanyakazi wa serikali ambao walikuwa wanazunguka tu kutoka idara moja hadi nyingine; au wizara moja hadi nyingine! Unakuta mtu ameajiriwa kama Economist II Wizara ya Jinsia; kisha anaona nafasi Wizara ya Fedha; basi anaamua kuomba Wizara ya Fedha wakati tayari ana ajira !!
      Ndumbayeye and GP like this.
      I am a free thinker! It's only my free thinking that leads me, to what am commenting. Thus, I've no doubt that today I can be your fellow but tomorrow your enemy, and the agent between us being my comments!! So, If today we agree with cheers, tomorrow we'd not disagree with jeers!


    15. #13
      Kilahunja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2011
      Posts : 935
      Rep Power : 561
      Likes Received
      161
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By GP
      there you are mkuu!,
      ndio sasa yeye anataka kupata ajira sasa iliyo rasmi hapo hapo kwenye hiyo taasisi.
      sasa hawa jamaa wa tume ya ajira kuna kipengele kingine wanaruhu mtu ambae ameajiriwa lakini anataka kubadili fani tofauti na ile aliyopo kitu ambacho naona sio sawa sana kivile.
      jaman kwanin m2 usibadili? Mi naona sawa, mfano nlikuwa afisa maendeleo bt kazi nliobobea sana ni afisa habari na zimetoka mayb nying tu, sasa ndipo hapo napata chance ya ku apply ili nfanye kaz nliobobea zaidi.

    16. GP
      #14
      GP's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2009
      Location : every where
      Posts : 1,951
      Rep Power : 918
      Likes Received
      76
      Likes Given
      96

      Default Re: TUME YA AJIRA: Mnamaanisha nini hapa???

      Quote By Las Mas Bobos
      ...........
      Sasa kama tempo ni ajira utajua wewe na uzito wako wa kuelewa
      asante kwa kunielewesha mkuu mimi ni bonge la KILAZA, kingereza sijui wala kiswahili hakipandi.

    17. GP
      #15
      GP's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2009
      Location : every where
      Posts : 1,951
      Rep Power : 918
      Likes Received
      76
      Likes Given
      96

      Default Re: TUME YA AJIRA: Mnamaanisha nini hapa???

      Quote By NasDaz
      ................
      NGOJA nikuambie kitu kimoja! Kabla ya utaratibu huu; kulikuwa na idadi kubwa tu ya wafanyakazi wa serikali ambao walikuwa wanazunguka tu kutoka idara moja hadi nyingine; au wizara moja hadi nyingine! Unakuta mtu ameajiriwa kama Economist II Wizara ya Jinsia; kisha anaona nafasi Wizara ya Fedha; basi anaamua kuomba Wizara ya Fedha wakati tayari ana ajira !!
      asante sana ndugu yangu kwa kunipa shule moja nzuri kwa maelezo yako mazuri nimekupata mwanzo mwisho!.
      NasDaz likes this.

    18. Miaka 50

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...