Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nafasi za Kazi ya kuuza bidhaa mtaani

    Report Post
    Results 1 to 7 of 7
    1. #1
      mwajiri's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 17th February 2012
      Posts : 7
      Rep Power : 367
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Nafasi za Kazi ya kuuza bidhaa mtaani

      Tunahitaji vijana kwa ajili ya kuuza bidhaa zetu (vitabu) kwa kutembeza mtaani ( kwenye maofisi, mabaa, vyuoni, barabarani, njiani nk). Kwa wanahitaji , tafadhali wasiliana nasi kwa:
      La VIVA BOOK PROJECT
      P.O BOX 79119
      Dar Es Salaam
      Mob : 0657 10 12 14

      Mshahara : Tsh 300,000 kwa mwezi.

      Sifa za mwombaji:
      - Awe mtanzania
      - Ajue kusoma na kuandika kwa ufasaha
      - Awe na umri usiopungua miaka 18
      - Awe muaminifu
      - Awe na wadhamini wawili
      - Awe tayari kufuata taratibu za kazi atakazopewa.

      NB: Mwombaji anatakiwa kuja na vitu vifuatavyo:
      • Picha moja ya rangi
      • Nakala ya vyeti vya shule / vyuo alivyosoma
      • Barua ya uthibitisho kutoka serikali za mitaa
      • Barua za wadhamini wawili zenye picha moja moja
      Last edited by mwajiri; 6th July 2012 at 12:04.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Kilahunja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2011
      Posts : 935
      Rep Power : 561
      Likes Received
      161
      Likes Given
      3

      Default Re: Nafasi za Kazi ya kuuza bidhaa mtaani

      Laki 3 naitaka, ila kutembea mitaani jua kali kama kuku siwezi..HABARI NATOKEA KAMPUN YA BLAH BLAH, NIMEWALETEA FURAHA YA AJABU, NAUZA TOOTHPICK, UKIJICHOKONOA INAKUPA UBARID KAMA AC, INA BLOOTOOTH, COLGATE, INA MEMORY CARD..kabla hata hujamalizia unasikia ASANTE DADA , mwingne NITOKEE HAPA BWANA WEE, hahaha kazi kwelikweli.

    4. #3
      Catherine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Location : Dar
      Posts : 1,241
      Rep Power : 595
      Likes Received
      739
      Likes Given
      208

      Default

      Quote By Kilahunja
      Laki 3 naitaka, ila kutembea mitaani jua kali kama kuku siwezi..HABARI NATOKEA KAMPUN YA BLAH BLAH, NIMEWALETEA FURAHA YA AJABU, NAUZA TOOTHPICK, UKIJICHOKONOA INAKUPA UBARID KAMA AC, INA BLOOTOOTH, COLGATE, INA MEMORY CARD..kabla hata hujamalizia unasikia ASANTE DADA , mwingne NITOKEE HAPA BWANA WEE, hahaha kazi kwelikweli.
      teh teh teh! KILAunja, kazi ni kazi ilimradi mkono uende kinywani.

    5. #4
      Kilahunja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2011
      Posts : 935
      Rep Power : 561
      Likes Received
      161
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By Catherine
      teh teh teh! KILAunja, kazi ni kazi ilimradi mkono uende kinywani.
      haha asante catherine bt hapo nimejitoa.

    6. #5
      ummu kulthum's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th February 2012
      Location : singida
      Posts : 2,521
      Rep Power : 6985
      Likes Received
      1155
      Likes Given
      577

      Default Re: Nafasi za Kazi ya kuuza bidhaa mtaani

      Du!inahitaji uwe na mioyo miwili

    7. Study Abroad

    8. #6
      bona's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2009
      Location : tanzania
      Posts : 981
      Rep Power : 681
      Likes Received
      85
      Likes Given
      233

      Default Re: Nafasi za Kazi ya kuuza bidhaa mtaani

      hii si kazi ya kuja tangaza apa jf huo ni umachinga na wala haina uhusiano wowote na ujasiriamali!
      ... if it is a Miracle, any sort of evidence will answer, but if it is a Fact, proof is necessary.

    9. #7
      mwajiri's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 17th February 2012
      Posts : 7
      Rep Power : 367
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Nafasi za Kazi ya kuuza bidhaa mtaani

      Quote By bona
      hii si kazi ya kuja tangaza apa jf huo ni umachinga na wala haina uhusiano wowote na ujasiriamali!
      1. kazi gani zinapaswa kutangazwa na zipi hazifai kutangazwa mkuu????
      2. umachinga ni ugonjwa kusema ukifanya utakufa??? hao wengine wanaofanya wana nini??
      3. ujasiriamali ukoje mkuu utujuze wengine tujifunze.

      Nb: Najua jua lishawapiga sana mtaani kwa kuhangaika kutafuta kazi kwenye makampuni yenye majina makubwa na kutaka mishahara mizuri ili muwalingishie na kuwabeza wengine kama mnavyofanya humu. Usiyoilamba inakuwashia nini??? kama tangazo halikuhusu kuna umuhimu gani wa kubeza, kukandia, kuponda, na kuwadhalilisha wengine???

      Kwa kukusaidia, neno MACHINGA halijatokana na kabila la watu wa kusini kama unavyozani, limetokana na neno "matching- guys" ambao ni watu wa mauzo wanaotembeza bidhaa, sema kwa sababu miaka mingi biashara hii ilikuwa inafanywa na watu wengi ambao hawana elimu ya darasani ambao wengi wao ni watu wa kusini hasa wamachinga basi kulakulala kama nyie msioelewa likawakaa kichwani hadi leo na kudhani kuwa umachinga umetokana na kabila. Tena badala ya kuwapa support vijana wenzenu kwa kuamua kujiajiri na kuachana na wizi, utumiajai wa madawa ya kulevya na umalaya mnaanza kuwabeza na kuwadharau.

      Hii ni mifumo ya taaluma ya Sales and Marketing.(Door-to-door is a sales technique in which a salesperson walks from the door of one house to the door of another trying to sell a product or service to the general public.

      Direct selling is the marketing and selling of products directly to consumers away from a fixed retail location. Peddling is the oldest form of direct selling.Modern direct selling includes sales made through the party plan, one-on-one demonstrations, and other personal contact arrangements as well as internet sales. A textbook definition is: "The direct personal presentation, demonstration, and sale of products and services to consumers, usually in their homes or at their jobs."

    10. FemaTV & Radio

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...