Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: kazi ya ushauri wa kodi

    Report Post
    Results 1 to 9 of 9
    1. #1
      Voice of Wisdom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2011
      Location : heaven
      Posts : 377
      Rep Power : 465
      Likes Received
      137
      Likes Given
      6

      Default kazi ya ushauri wa kodi

      heshima nyingi kwa wakuu wote mliopo humu jamvini, na poleni na majukumu ya kitaifa na kifamilia. Mimi ni kijana wa kitanzania ninayetarajia kuhitimu masomo yangu agosti mwaka huu kutoka taasisi ya usimamizi wa kodi "institute of tax administration" ngazi ya stashahada "diploma in customs and tax administration". Katika kozi yangu nimepata utaalam kuhusu maswala ya kodi za ndani na usimamizi wa forodha, na kutokana na ujuzi huo nilioupata naweza kufanya kazi katika nafasi kama vile,:
      ushauri wa kodi
      kwenye kampuni za "clearing"
      mhasibu msaidizi.
      kutokana na maelezo hayo wakuu naomba mtu anayehitaji au anayefahamu sehemu wanahitaji mtu mwenye sifa zangu asisite kuwasiliana nami kupitia [email protected]
      nawasilisha ombi langu


    2. #2
      salvatory mushi's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 8
      Rep Power : 357
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Post Re: kazi ya ushauri wa kodi

      hongera sn ndugu yng,nikumwomba mungu mana ajira zmeshakuwa kimeo sisi 2po ktaa mwaka wa2 sasa ila bado chenga ,usitegemee sana kuajiriwa ni vzr ukawa na altanative,,,,,,kwa ifupi jipange maisha ya chuo na kitaa n v2 vwili tofaut kabisa
      Von Mo likes this.

    3. #3
      Kilahunja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2011
      Posts : 935
      Rep Power : 566
      Likes Received
      161
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By salvatory mushi View Post
      hongera sn ndugu yng,nikumwomba mungu mana ajira zmeshakuwa kimeo sisi 2po ktaa mwaka wa2 sasa ila bado chenga ,usitegemee sana kuajiriwa ni vzr ukawa na altanative,,,,,,kwa ifupi jipange maisha ya chuo na kitaa n v2 vwili tofaut kabisa
      dah ngoma 2 yearz, hata mimi aixee, atafute mtaji ajiegemeza kwanza kwenye ujasiriamali.

    4. #4
      Voice of Wisdom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2011
      Location : heaven
      Posts : 377
      Rep Power : 465
      Likes Received
      137
      Likes Given
      6

      Default

      Quote By salvatory mushi View Post
      hongera sn ndugu yng,nikumwomba mungu mana ajira zmeshakuwa kimeo sisi 2po ktaa mwaka wa2 sasa ila bado chenga ,usitegemee sana kuajiriwa ni vzr ukawa na altanative,,,,,,kwa ifupi jipange maisha ya chuo na kitaa n v2 vwili tofaut kabisa
      nashukuru mkuu, mi binafsi si kwamba nafurahia sana kuajiriwa, ila akili yangu iko zaidi kwenye kujiajiri, ila changamoto kubwa nayoipata ni wapi pa kuanzia ndugu. Huko kwenye ajira naenda kwa malengo mawili 1. Kupata mtaji kwa mshahara kidogo nitakaodunduliza
      2. Kupata uzoefu na kuelewa mazingira

    5. #5
      Voice of Wisdom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2011
      Location : heaven
      Posts : 377
      Rep Power : 465
      Likes Received
      137
      Likes Given
      6

      Default

      Quote By Kilahunja View Post
      dah ngoma 2 yearz, hata mimi aixee, atafute mtaji ajiegemeza kwanza kwenye ujasiriamali.
      wazo zuri, huo mtaji ndo nautafuta wapi na vp! Maana ishu si kutafuta mtaji, ishu ni wapi huo mtaji unapatikana na unapatikana vp, nina "business idea" zaidi ya tatu na zote zikipata mtaji ndani ya miaka miwili nitakuwa natengeneza ajira. Swali linakuja pale pale, ni wape nitapata mtaji na kivip!


    6. #6
      Congo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th March 2008
      Posts : 460
      Rep Power : 667
      Likes Received
      49
      Likes Given
      40

      Default Re: kazi ya ushauri wa kodi

      Ushauri wangu ni huu. 1. Vumilia kama kamishna wa fordha atatangaza kuanzisha makampuni mapya mwaka huu. Jiandindikishe ufanya mtihani ufaulu upewe leseni ya uwakala wa makampuni ya uwakala wa forodha. kama suala ni ushauri, wapo wengi na hawana kazi. vinginevyo tafuta kazi kwenye makampuni ya uwakala wa forodha.

    7. #7
      Voice of Wisdom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2011
      Location : heaven
      Posts : 377
      Rep Power : 465
      Likes Received
      137
      Likes Given
      6

      Default

      Quote By Congo View Post
      Ushauri wangu ni huu. 1. Vumilia kama kamishna wa fordha atatangaza kuanzisha makampuni mapya mwaka huu. Jiandindikishe ufanya mtihani ufaulu upewe leseni ya uwakala wa makampuni ya uwakala wa forodha. kama suala ni ushauri, wapo wengi na hawana kazi. vinginevyo tafuta kazi kwenye makampuni ya uwakala wa forodha.
      heshima mkuu congo, kama umefuatilia majibu yangu kwamba nina "business plan" zaidi ya tatu, na kuanzisha kampuni ya kutoa mizigo bandarini ni mojawapo, ila tatizo linakuja hapa ili uanzishe kampuni utahtaji ofisi vitendea kazi ambavyo vinahtaji pesa pia nina wazo la kuingia ubia na mtu mwenye mtaji achangie pango la ofisi na vitendea kazi na mimi nifanye mtihani na nina.
      Pia wazo lao la kufanya katika kampuni la uwakala wa forodha nalikubali asilimia mia, kama unamfaham mtu au unahtaji kunipa hyo nafasi mkuu sibhagui kazi.

    8. #8
      Congo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th March 2008
      Posts : 460
      Rep Power : 667
      Likes Received
      49
      Likes Given
      40

      Default Re: kazi ya ushauri wa kodi

      Quote By Voice of Wisdom View Post
      heshima mkuu congo, kama umefuatilia majibu yangu kwamba nina "business plan" zaidi ya tatu, na kuanzisha kampuni ya kutoa mizigo bandarini ni mojawapo, ila tatizo linakuja hapa ili uanzishe kampuni utahtaji ofisi vitendea kazi ambavyo vinahtaji pesa pia nina wazo la kuingia ubia na mtu mwenye mtaji achangie pango la ofisi na vitendea kazi na mimi nifanye mtihani na nina.
      Pia wazo lao la kufanya katika kampuni la uwakala wa forodha nalikubali asilimia mia, kama unamfaham mtu au unahtaji kunipa hyo nafasi mkuu sibhagui kazi.
      Usihofu sana. Nakushauri kabisa kama una uwezo wa kufanya mtihani kuanzisha kampuni ya uwakala wa forodha achana kabisa na ubia. Unawatesa sana watu kwenye biashara hii. Ni-pm nikuelekeze.

    9. #9
      Voice of Wisdom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2011
      Location : heaven
      Posts : 377
      Rep Power : 465
      Likes Received
      137
      Likes Given
      6

      Default

      Quote By Congo View Post
      Usihofu sana. Nakushauri kabisa kama una uwezo wa kufanya mtihani kuanzisha kampuni ya uwakala wa forodha achana kabisa na ubia. Unawatesa sana watu kwenye biashara hii. Ni-pm nikuelekeze.
      nimeku-pm mkuu angalia inbox utaona

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...