Hawa marefa naweza weka relatives wangu. Does it matter. Like ma dad, uncle, bro, mum you name it.??.
mi nafikiri referees lazima awe mtu mwenye uelewa wa mambo na awe anakufaham.
mwanajiri anaweza wasiliana nae na kumwambie akuandikie rikomendesheni sasa akiwa mtu asie weza kukuelezea vizuri na kuonyesha uwezo wako kaz yaweza kuwa hatihati.
(haya ni mawazo yangu tu)
Referee anapaswa kuwa mtu uliyefanya nae kazi kiasi (labda kukusimamia research/desertation, supervisor wa field practicals etc). Na unaandika jina lake na cheo chake.
By Tripo9
Hawa marefa naweza weka relatives wangu. Does it matter. Like ma dad, uncle, bro, mum you name it.??.
Follow Us Here