Jaman kwa yeyote mwenye taarifa za uhamiaji naomba anijuze hapa jf tafadhali maana wengine tupo kijijini kweli hata magazeti hatupati....nawasilisha wana jf..
Jaman kwa yeyote mwenye taarifa za uhamiaji naomba anijuze hapa jf tafadhali maana wengine tupo kijijini kweli hata magazeti hatupati....nawasilisha wana jf..
Mkuu watu tayari washaanza kazi huu unaenda mwezi wa pili sasa, we bado unasubiria tu.
Kama huwezi kulipa 200/= PIGA MBIZI
duhh wameanza kazi...
Hata hivyo hivyo kuna taarifa kwamba wantahitajika graduate si muda mrefu hivyo wambie wanzako wajiandae popote walipo
wametoa gazeti la mtanzania la 26/06/2012
Mkuu gazeti la mtanzania la leo naona majina kibao wameitwa kwa intavyuu kuanzia julai 9 mpaka 18.sijui nikusaidieje ...
Nusumutu,umsaidie nani
Follow Us Here