Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mwenye taarifa kuhusu nafasi za uhamiaji....vp wameshatoa majina???

    Report Post
    Results 1 to 9 of 9
    1. #1
      KONGOTO's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 48
      Rep Power : 369
      Likes Received
      4
      Likes Given
      11

      Unhappy Mwenye taarifa kuhusu nafasi za uhamiaji....vp wameshatoa majina???

      Jaman kwa yeyote mwenye taarifa za uhamiaji naomba anijuze hapa jf tafadhali maana wengine tupo kijijini kweli hata magazeti hatupati....nawasilisha wana jf..

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Nyaubwii's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th September 2011
      Posts : 149
      Rep Power : 417
      Likes Received
      27
      Likes Given
      28

      Default Re: Mwenye taarifa kuhusu nafasi za uhamiaji....vp wameshatoa majina???

      Mkuu watu tayari washaanza kazi huu unaenda mwezi wa pili sasa, we bado unasubiria tu.
      Kama huwezi kulipa 200/= PIGA MBIZI

    4. #3
      Mkwanda's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Posts : 123
      Rep Power : 383
      Likes Received
      14
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Nyaubwii
      Mkuu watu tayari washaanza kazi huu unaenda mwezi wa pili sasa, we bado unasubiria tu.
      Mkuu jiheshimu basi hata kidogo,bado hawajaita but soon shortlist itatoka keep intouch.
      KONGOTO likes this.

    5. #4
      zubedayo_mchuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2011
      Posts : 3,345
      Rep Power : 1059
      Likes Received
      588
      Likes Given
      43

      Default Re: Mwenye taarifa kuhusu nafasi za uhamiaji....vp wameshatoa majina???

      duhh wameanza kazi...

    6. #5
      Kilahunja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2011
      Posts : 935
      Rep Power : 562
      Likes Received
      161
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By Nyaubwii
      Mkuu watu tayari washaanza kazi huu unaenda mwezi wa pili sasa, we bado unasubiria tu.
      unapata faida gani, kuongopea watu, kwakutoa taarifa isiyo sahihi? Think big n grow up!
      Nyaubwii likes this.

    7. Miaka 50

    8. #6
      SIKAUKA MHAPA's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 11th June 2012
      Posts : 8
      Rep Power : 351
      Likes Received
      2
      Likes Given
      2

      Default Re: Mwenye taarifa kuhusu nafasi za uhamiaji....vp wameshatoa majina???

      Hata hivyo hivyo kuna taarifa kwamba wantahitajika graduate si muda mrefu hivyo wambie wanzako wajiandae popote walipo

    9. #7
      zubedayo_mchuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2011
      Posts : 3,345
      Rep Power : 1059
      Likes Received
      588
      Likes Given
      43

      Default Re: Mwenye taarifa kuhusu nafasi za uhamiaji....vp wameshatoa majina???

      wametoa gazeti la mtanzania la 26/06/2012

    10. #8
      NusuMutu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Mpulungu
      Posts : 421
      Rep Power : 471
      Likes Received
      74
      Likes Given
      20

      Default

      Mkuu gazeti la mtanzania la leo naona majina kibao wameitwa kwa intavyuu kuanzia julai 9 mpaka 18.sijui nikusaidieje ...

    11. #9
      zubedayo_mchuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2011
      Posts : 3,345
      Rep Power : 1059
      Likes Received
      588
      Likes Given
      43

      Default Re: Mwenye taarifa kuhusu nafasi za uhamiaji....vp wameshatoa majina???

      Nusumutu,umsaidie nani

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...