wadau kuna watu tulifanya interviw ya kuongea ya treh 19 marchh 2012,wale wenzetu tumefanya nao wameitwa kwenye post zao bt sisi yetu ya investigation officer bado kweli iyo hakiiiiiiiiiiiii??????????
wadau kuna watu tulifanya interviw ya kuongea ya treh 19 marchh 2012,wale wenzetu tumefanya nao wameitwa kwenye post zao bt sisi yetu ya investigation officer bado kweli iyo hakiiiiiiiiiiiii??????????
They must av their reason..patient is a secret of fortune, kip on waitin!
Ukiona haujaitwa jua haujachaguliwa.
Mvumilivu hula mbivu,kuwa mvumilivu mkuu mtaitwa tu!
hahaha tatizo la shule na vyuo vyetu vinatufundisha kumfanyia kazi mtu au shirika na hatufundishwi jinsi ya kufanya kazi zetu binafsi owning your big biz....pole mwenzio siko huko nowdays i am owning my life
hapo kipi kimekufanya ucheke mkuu? watu wana ndoto zao maishani, na ndoto izo zinatimia pale tu, atapokua kazini, leo hii Ndama mtoto wa n'gombe, chief kiumbe, Ray kigosi, ndo wanapesa na niwafanya biashara wakubwa KAMWE hawawezi kua CAG, GOVERNOR, CHIEF ACCOUNTANT etc, kwaiyo acha watu watimize ndoto zao maishani, ww ndoto yako ni pesa, siwezi shangaa leo tukiskia Cameroon kaingia mkataba na ww coz ndoto yako ni pesa.
Vuta subira.
HAlafu hao tume ya ajira iwe akini na vyeti feki aaa wamerundika ajira zimetoka nyingi kwa wingi na watashindwa kujua feki au si feki. Wawe makii saa wataajiri mabomu
Follow Us Here