Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kwa wajasiriamali wafugaji wa kuku Dar

    Report Post
    Results 1 to 13 of 13
    1. #1
      damcon's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th February 2011
      Posts : 37
      Rep Power : 425
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default Kwa wajasiriamali wafugaji wa kuku Dar

      heshima kwenu ndugu zangu wajasiriamali wenzangu,nimetuma hii post kuwasaidia kuepukana na wezi wa kuku ambao wameibuka hapa mjini.

      Hawa jamaa wanatabia ya kufuatilia wafugaji na mara nyingi hawakatai Bei ukiwaambia 5000,mara nyingi wanatumia pick up na hupenda kuchukua kuku zaidi ya mia na kuahidi kurudi kesho yake.mtu asiyeamini inabidi uamini kwa sababu ni kitu kimemtokea mke wangu ambaye anafuga.siri kubwa ya hawa wezi ni mazingaumbwe katika kuhesabu ambapo anakupumbaza kwa madawa.
      kuweni makini mke wangu kalizwa zaidi ya kuku 200 ambapo wamemlipa na aliwahesabia kuku 70 tu na wakamlipa hao 70.walipoondoka ndo akastukia banda lake limepungua kuku 200.
      kuweni makini ndugu zangu ni jambo lililitokea last two days

    2. Miaka 50

    3. #2
      Biohazard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,366
      Rep Power : 991
      Likes Received
      308
      Likes Given
      210

      Default Re: Kwa wajasiriamali wafugaji wa kuku Dar

      Tunashukuru

    4. #3
      Mama Joe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th March 2009
      Posts : 601
      Rep Power : 1042
      Likes Received
      166
      Likes Given
      214

      Default Re: Kwa wajasiriamali wafugaji wa kuku Dar

      ni kweli hao wezi wapo sana mie walilipa 20 tu wamekuja na pickup sikuwepo binti kurudi kucheck kuku 150 hamna!
      nilichofanya nikumfundusha kuomba wakati anauza, pia usiruhusu mtu bandani waishie mlangoni,

    5. #4
      Mandingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd September 2011
      Posts : 927
      Rep Power : 572
      Likes Received
      186
      Likes Given
      52

      Default Re: Kwa wajasiriamali wafugaji wa kuku Dar

      Jamani maombi ni muhimu katika
      bisahara hebu tujitahidi kumshirikisha Mungu naamini siku wakikutana na moto wa maombi lazima wanase tu.

    6. #5
      Narubongo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 1,886
      Rep Power : 810
      Likes Received
      842
      Likes Given
      680

      Default Re: Kwa wajasiriamali wafugaji wa kuku Dar

      poleni sana damcon & Mama Joe, kwakweli inasikitisha sana ukizingatia ugumu wa kumtunza kifaranga mpaka kufikia hatua ya kumuza. Asanteni kwa taarifa
      "Chadema kinatumia alama ya vidole viwili kama manati, manati kamwe haiwezi kuua tembo" Livingstone Lusinde (2012)

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Kifulambute's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th May 2011
      Posts : 1,729
      Rep Power : 752
      Likes Received
      453
      Likes Given
      176

      Default Re: Kwa wajasiriamali wafugaji wa kuku Dar

      kuna dawa akiondoka atatembea nao begani hadi akurudie
      Ukikuta kuna njia inapitika jua kuna aliyeianzisha

    9. #7
      ze encyclopedia's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th November 2011
      Posts : 224
      Rep Power : 423
      Likes Received
      58
      Likes Given
      65

      Default Re: Kwa wajasiriamali wafugaji wa kuku Dar

      Ahsanteni kwa taarifa, ila tutawajuaje? Au kila atakaekuja na pick up tusiuze?

    10. #8
      Popompo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2010
      Posts : 305
      Rep Power : 494
      Likes Received
      33
      Likes Given
      34

      Default Re: Kwa wajasiriamali wafugaji wa kuku Dar

      ahsante kwa taarifa

    11. #9
      pettymarcel's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th June 2012
      Posts : 160
      Rep Power : 381
      Likes Received
      24
      Likes Given
      1

      Default Re: Kwa wajasiriamali wafugaji wa kuku Dar

      Pole sana jaman

    12. #10
      mopaozi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Posts : 2,446
      Rep Power : 757
      Likes Received
      258
      Likes Given
      49

      Default

      Quote By damcon
      heshima kwenu ndugu zangu wajasiriamali wenzangu,nimetuma hii post kuwasaidia kuepukana na wezi wa kuku ambao wameibuka hapa mjini.

      Hawa jamaa wanatabia ya kufuatilia wafugaji na mara nyingi hawakatai Bei ukiwaambia 5000,mara nyingi wanatumia pick up na hupenda kuchukua kuku zaidi ya mia na kuahidi kurudi kesho yake.mtu asiyeamini inabidi uamini kwa sababu ni kitu kimemtokea mke wangu ambaye anafuga.siri kubwa ya hawa wezi ni mazingaumbwe katika kuhesabu ambapo anakupumbaza kwa madawa.
      kuweni makini mke wangu kalizwa zaidi ya kuku 200 ambapo wamemlipa na aliwahesabia kuku 70 tu na wakamlipa hao 70.walipoondoka ndo akastukia banda lake limepungua kuku 200.
      kuweni makini ndugu zangu ni jambo lililitokea last two days
      Wapemba ndo zao hao kuna jamaa mmoja barabara ya sayansi ndo zake hizo analipia anauza chips kuku 50 anabeba mia3

    13. #11
      Las Mas Bobos's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2012
      Posts : 911
      Rep Power : 531
      Likes Received
      297
      Likes Given
      84

      Default Re: Kwa wajasiriamali wafugaji wa kuku Dar

      Jamani huo sio uchawi ni wizi tu wa kawaida. Wao ni wataalam wa kuficha vichwa vya kuku na kwa kuwa hujifanya kuchagua haraka hakara huwa wanabeba kuku 6 badala ya wa5 kwa kila mkono mmoja wanaokuonesha uhesabu.

      Walimfanyia hivyo dada yangu naye akaamini ni uchawi, lkn siku walipokuja tena niliwabaini namna wanavyomzuga kule bandani. Mimi nikawaacha wakaanza mpaka wakamaliza walipotaka kupakia kwenye pick-up yao nikawaambia nimeghairi kwa hiyo tuanze kuwahesabu kurudi bandani, loh! Ulikuwa mzozo mpaka majirani wakajaa nyumbani.

      Baada ya kuwaeleza nini kinaendelea wakashinikiza kuku wahesabiwe, loh, walishampiga kuku 50 katika 200 waliolipia. Nikawaambia biashara imekwisha na nilichowafanyia ni kukata hela ya kuku 70 waliowaiba wiki iliyopita na kuwapa chenji yao. Wakataka kuanza mzozo mpya lakini majirani waka-suggest kuwa wezi ni wezi tu kwa hiyo hakuna haja ya kukiuka taratibu zetu za mtaa na ukizingatia matairi wamekuja nayo wenyewe na pick-up.

      Katika hali ya kushangaza jirani yangu mmoja ambaye ni mchaga mwenzao aliwasihi majirani wengine kuwa badala ya kufanya kazi ya hasara na dhambi kwa nini tusibargain nao. Mwisho wa mchezo ilibidi waache laki moja na nusu za bia kunywewa na majirani ili waondoke na roho zao.

      Nendeni mkawaulize pale shekilango kiliwakuta nini KAJIMA, hawana hamu na mtaa wetu wale wachaga wezi sana pambaf zao.

      USHAURI WANGU: Adhabu ya kutoa hela haijawauma sana kwa hiyo mtu mwingine akiwafuma asiwatoe mchuzi, waliwe tiGO ndio watashika adabu.
      By the time a man comes to realize that his father was right, he usually has a son who think he is wrong.

    14. #12
      Yamwana's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 35
      Rep Power : 437
      Likes Received
      3
      Likes Given
      2

      Default Re: Kwa wajasiriamali wafugaji wa kuku Dar

      nashukuru kwa taarifa sisi tumeibiwa kuku 248 juzi tu na ndo mara ya kwana kufanya mauzo, tulikuwa bado tunajiuliza ni nani aliyetuibia kuku wetu na kwa namna gani pasipi kupata jibu, sasa nimepata jibu kwani watu hawa walikuja na kununua kuku miatatu hivi.....aahsanteni kwa taarifa hizi hapa JF

    15. #13
      chilubi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Posts : 988
      Rep Power : 8079
      Likes Received
      195
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By mopaozi
      Wapemba ndo zao hao kuna jamaa mmoja barabara ya sayansi ndo zake hizo analipia anauza chips kuku 50 anabeba mia3
      Labda tumuulize jamaa alilizwa na mpemba au mtu kama wewe

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...