Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nafazi za kazi tulawaka

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 37
    1. #1
      musa john's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th April 2012
      Posts : 16
      Rep Power : 747
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Nafazi za kazi tulawaka

      wadau mgodi wa tulawaka wametangaza nafasi za kazi kama ifuatavyo
      - operators (post 10)
      - security (post 15)
      - supervisor (post 7)


      wenye vigezo kazi kwenu tumeni kwa email hii
      [email protected] au mawasiliano zaidi 0766920604
      mwisho wa kutuma maombi ni 30/6/2012
      wakuu nimeshindwa kuliscan tangazo lote sababu nimeliona wakati naingia kazin asubuhi na mda wa kutoka nijioni imebedi niwape kwa ufupi tu ila kwa maelezo nimewaibia hiyo namba muwasiliane na mhusika mkuu
      tusaidianeni jamani maisha ni magumu kitaaa.

    2. Miaka 50

    3. #2
      neema pita's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th April 2012
      Posts : 26
      Rep Power : 362
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: Nafazi za kazi tulawaka

      asante mkuu ila tunaomba utusaidie email ya hapo mgodini kwani hiyo ulioitoa ni ya makao makuu yao na email hiyo ni ngum sana kupata kazi kwani maombi hayo yanapitia dar mimi naifaham ni email ya migodi karibu 4. najua unatujali tusaidie email ya hapo mgodini au ya mhusika kabisa tutashukuru sana mkuu
      Sizinga and Baba Mtu like this.

    4. #3
      Sizinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2007
      Location : Mars
      Posts : 3,944
      Rep Power : 1433
      Likes Received
      1511
      Likes Given
      1619

      Default Re: Nafazi za kazi tulawaka

      Hata hizo information ulizotoa ni muhimu sana kamanda!! Ngoja hiyo namba mie nitaipiga then atanipa correct email ya hapo mgodini. Thanks again
      GESI KWANZA KOROSHO BAADAE!!

    5. #4
      Sizinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2007
      Location : Mars
      Posts : 3,944
      Rep Power : 1433
      Likes Received
      1511
      Likes Given
      1619

      Default Re: Nafazi za kazi tulawaka

      Quote By neema pita
      asante mkuu ila tunaomba utusaidie email ya hapo mgodini kwani hiyo ulioitoa ni ya makao makuu yao na email hiyo ni ngum sana kupata kazi kwani maombi hayo yanapitia dar mimi naifaham ni email ya migodi karibu 4. najua unatujali tusaidie email ya hapo mgodini au ya mhusika kabisa tutashukuru sana mkuu
      Ndugu unaonaje hizo email za migodi hiyo mi4 ungetushirikisha ukazimwaga hapa jamvini. Nitakushuru sana binafsi ukiziweka hewani. Thanks
      GESI KWANZA KOROSHO BAADAE!!

    6. #5
      Crucial Man's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2011
      Posts : 1,248
      Rep Power : 673
      Likes Received
      238
      Likes Given
      16

      Default Re: Nafazi za kazi tulawaka

      operators wa plant au underground machines?dadavua mkuu.

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      musa john's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th April 2012
      Posts : 16
      Rep Power : 747
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Re: Nafazi za kazi tulawaka

      Quote By Crucial Man
      operators wa plant au underground machines?dadavua mkuu.
      niupande wa plant jaman alafu mimi sio msemaji mkuu

    9. #7
      musa john's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th April 2012
      Posts : 16
      Rep Power : 747
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Re: Nafazi za kazi tulawaka

      ngoja niitafute email ya mhusika mkuu nitawapatia ila ni mwanamke mkiongea nae vizuri atawapa email anaroho nzuri sana alafu mkimpigia msiseme mmeona tangazo humu atawaelewa sema umeona tangazo limebandikwa au umetumiwa namba na ndugu yako yupo hapa mgodini kwetu mkijichanganya hawezi kuwaelewa

    10. #8
      TIQO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Posts : 4,585
      Rep Power : 6850
      Likes Received
      1037
      Likes Given
      131

      Default Re: Nafazi za kazi tulawaka

      Kazi kwenu
      Mwisho wa Ubaya Aibu.

    11. #9
      Mudamali's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th June 2012
      Posts : 51
      Rep Power : 359
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By musa john
      wadau mgodi wa tulawaka wametangaza nafasi za kazi kama ifuatavyo
      - operators (post 10)
      - security (post 15)
      - supervisor (post 7)


      wenye vigezo kazi kwenu tumeni kwa email hii
      [email protected] au mawasiliano zaidi 0766920604
      mwisho wa kutuma maombi ni 30/6/2012
      wakuu nimeshindwa kuliscan tangazo lote sababu nimeliona wakati naingia kazin asubuhi na mda wa kutoka nijioni imebedi niwape kwa ufupi tu ila kwa maelezo nimewaibia hiyo namba muwasiliane na mhusika mkuu
      tusaidianeni jamani maisha ni magumu kitaaa.
      Vipi zile kazi za (Masumbwe) Bukombe ulizotuletea tar. 25/04/2012 saa 15:42 mbona kupo kimya na watu wakipiga ile namba wanaombwa pesa?
      au huu mmeshabuni ni mradi wa kuwaingizia pesa?
      Jumanho likes this.

    12. #10
      Mudamali's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th June 2012
      Posts : 51
      Rep Power : 359
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By neema pita
      asante mkuu ila tunaomba utusaidie email ya hapo mgodini kwani hiyo ulioitoa ni ya makao makuu yao na email hiyo ni ngum sana kupata kazi kwani maombi hayo yanapitia dar mimi naifaham ni email ya migodi karibu 4. najua unatujali tusaidie email ya hapo mgodini au ya mhusika kabisa tutashukuru sana mkuu
      Ulishatuambia mdogo wako aliombwa lak 1 na HR na akamwambia akianza kazi ampe lak 2 (kwa mujibu wa post yako ya tar. 26/04/2012 saa 12:20 kwenye uzi wa "kazi mgodi mpya).
      Vp leo mbona unafuatilia tena kazi hiz et hiyo email unaifahamu ni ya makao makuu. Na umeanza kuchangia uzi huu saa 1 baada ya Musa John kuupost hapa JF.

      Ninyi inaonekana ni ki2 kimoja.
      Naendelea kufanya uchunguzi.

      Kama wezi mtajulikana 2.

    13. #11
      musa john's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th April 2012
      Posts : 16
      Rep Power : 747
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Re: Nafazi za kazi tulawaka

      Quote By Mudamali
      Ulishatuambia mdogo wako aliombwa lak 1 na HR na akamwambia akianza kazi ampe lak 2 (kwa mujibu wa post yako ya tar. 26/04/2012 saa 12:20 kwenye uzi wa "kazi mgodi mpya).
      Vp leo mbona unafuatilia tena kazi hiz et hiyo email unaifahamu ni ya makao makuu. Na umeanza kuchangia uzi huu saa 1 baada ya Musa John kuupost hapa JF.

      Ninyi inaonekana ni ki2 kimoja.
      Naendelea kufanya uchunguzi.

      Kama wezi mtajulikana 2.

      wema wangu unaniponzaeee ndugu kama unajamaa unaemfaham muulize kuhusu hiyo email au kama kuna mtu anafanya tulawaka muulizie kuhusu hizi post atakuelewesha au kama unaweza njoo tulawaka uangalie kama hakuna post hizi siwezi kubishana na wewe na email hiyo ifatilie kama ni uongo utajulikana tu

    14. #12
      musa john's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th April 2012
      Posts : 16
      Rep Power : 747
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Re: Nafazi za kazi tulawaka

      ukiniuliza hilo swali siwezi kujibu tangazo hilo lilibandikwa kahama nadhan kama kuna mkazi wa kahama hum atakua shahidi karibia kila nguzo ya umeme nyumba za biashara kulikua na tangazo hilo, sijui kosa nikuwajulisha au kosa kuliweka hum sina taarifa zozote sababu niliona tangazo ni nikalileta hum ndani

    15. #13
      magosha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2012
      Posts : 324
      Rep Power : 421
      Likes Received
      36
      Likes Given
      8

      Default Re: Nafazi za kazi tulawaka

      sawa mkuu

    16. #14
      Crucial Man's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2011
      Posts : 1,248
      Rep Power : 673
      Likes Received
      238
      Likes Given
      16

      Default

      Quote By musa john
      ukiniuliza hilo swali siwezi kujibu tangazo hilo lilibandikwa kahama nadhan kama kuna mkazi wa kahama hum atakua shahidi karibia kila nguzo ya umeme nyumba za biashara kulikua na tangazo hilo, sijui kosa nikuwajulisha au kosa kuliweka hum sina taarifa zozote sababu niliona tangazo ni nikalileta hum ndani
      barrick hawabandiki matangazo ya ajira kwenye nguzo,au baa. Alafu pale tulawaka kazi zimepungua walikuwa na mpango wa kupunguza wafanyakazi.ilifikia kipindi sag mill haifanyi kazi siku mbili,kutokana na upungufu wa ORE.alafu kuna tetesi kwamba kuna mine closer.
      Acha kuchezea watu wewe.

    17. #15
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,199
      Rep Power : 28905
      Likes Received
      11681
      Likes Given
      4819

      Default Re: Nafazi za kazi tulawaka

      Mmeshapewa tip, acheni uvivu vijana! Mnashindwa kuingia kwenye website yao na kuchukua namba ama kuwatumia email ku-inquire? Mnaweza kutuma email pia ya recruitment mtakayoona kwa web! Kama ni issue ya kitapeli yeye ajulie wapi, kwani ana recruitment agency?

    18. #16
      Mudamali's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th June 2012
      Posts : 51
      Rep Power : 359
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By musa john
      ukiniuliza hilo swali siwezi kujibu tangazo hilo lilibandikwa kahama nadhan kama kuna mkazi wa kahama hum atakua shahidi karibia kila nguzo ya umeme nyumba za biashara kulikua na tangazo hilo, sijui kosa nikuwajulisha au kosa kuliweka hum sina taarifa zozote sababu niliona tangazo ni nikalileta hum ndani
      Kuna jamaa yangu alimpigia simu yule dada uliyesema ni msimamizi wa mgodi Bukombe akapewa namba hiyo uliyotoa hapo juu akaambiwa ni ya HR wa pale mgodini atume laki 1.

      Swali: Je huyu HR ni wa CHIWACO INVESTMENT LIMITED na BARRICK kwa ujumla?

      Wasiwasi mwingine ni kuwa namba hiyo haijasajiliwa.

    19. #17
      papason's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2010
      Location : Choma Cha Nkola
      Posts : 875
      Rep Power : 616
      Likes Received
      154
      Likes Given
      164

      Default Re: Nafazi za kazi tulawaka

      Hivi yule mama HR 'mkuda mkuda' bado yupo Tulawaka? migodi inaharibiwa sana na hawa ma HR 'wakibongo' wasio na qulifications

    20. #18
      Mudamali's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th June 2012
      Posts : 51
      Rep Power : 359
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By King'asti
      Mmeshapewa tip, acheni uvivu vijana! Mnashindwa kuingia kwenye website yao na kuchukua namba ama kuwatumia email ku-inquire? Mnaweza kutuma email pia ya recruitment mtakayoona kwa web! Kama ni issue ya kitapeli yeye ajulie wapi, kwani ana recruitment agency?
      Ukiingia kwenye website ya ABG kazi zilizotangazwa tar 12/06/2012 ni hizi zifuatazo:

      1. Organizational Effectiveness Manager (Bulyanhulu Gold Mine)
      2. Mechanical Foreman (Buzwagi Gold Mine)
      3. System Coordinator (North Mara Gold Mine)
      4. Alimak Mechanic/Trainer (Bulyanhulu Gold Mine)
      5. Supply Superintendent (Bulyanhulu Gold Mine)
      6. Security Manager (Dar Region Office)
      7. Underground Drill Rig Electrician
      (Bulyanhulu Gold Mine)
      8. Safety & Emmergence Response Superintent (Bulyanhulu Gold Mine)
      9. HR Manager (Kagera region - Tulawaka Gold Mine)

      Post zote alizotoa huyu jamaa hazipo.

      je nani katoa hilo tangazo lililobandikwa?

    21. #19
      Crucial Man's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2011
      Posts : 1,248
      Rep Power : 673
      Likes Received
      238
      Likes Given
      16

      Default

      Quote By papason
      Hivi yule mama HR 'mkuda mkuda' bado yupo Tulawaka? migodi inaharibiwa sana na hawa ma HR 'wakibongo' wasio na qulifications
      yule mama alishaondoka mkuu,hr ni mzungu,wasaidizi ni wabongo,msidanganyike hakuna kazi tulawaka.
      papason likes this.

    22. #20
      Mudamali's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th June 2012
      Posts : 51
      Rep Power : 359
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Crucial Man
      yule mama alishaondoka mkuu,hr ni mzungu,wasaidizi ni wabongo,msidanganyike hakuna kazi tulawaka.
      Tunashukuru kwa kutuhakikishia utapeli wa hawa jamaa.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...