Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tusaidiane! Yana ukweli ndani yake?????????

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 28
    1. #1
      JUDITH MGASSE's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Posts : 17
      Rep Power : 354
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Tusaidiane! Yana ukweli ndani yake?????????

      wadau! Morning!

      jamani hebu tusaidiane! hivi ni kweli kuwa kazi huwa zinatangazwa lkn hiyo Organisation tayari inakuwa na mtu! yaani wanatangaza ili tu kutimiza sera ya recruitment lakini mtu wa ku cover hiyo nafasi anauwepo! kama ni kweli huu ni ukatili wa aina yake! unajua ku apply kazi inachukua muda mrefu na akili nyingi! mfano mimi natafuta kazi sana na naona nina vigezo lakini siitwi kwa interview! nakata tamaa hasa nikisikia maneno kama hayo! hasa ukizingatia natumia muda mwingi takribanni masaa 8 kila siku ku apply kazi! nisaidieni nisikate tamaa!

      Lkn pia, jamani hii serikali iko wapi kuhusu swala la experience! inakuwaje kila kazi experience miaka 3 na kuendelea! nisaidieni watu wa haki za binadamu na watu wa utumishi! kazi zinatangazwa sana unakuta exp 3 yrs sheria zinasemaje jamani!na kama ni kinyume watu wa utumishi na haki za binadamu wanazionaga hizo kazi ktk magazeti? nisijekuwa nalaumu vitu ambavyo vinakubalika kisheria!

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      uttoh2002's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 579
      Rep Power : 483
      Likes Received
      195
      Likes Given
      8

      Default Re: Tusaidiane! Yana ukweli ndani yake?????????

      Pole, naona umekata tamaa, mwamini Mungu jitahidi utapata kazi, kazi Yako Ipo tu.
      Baba Mtu likes this.

    4. #3
      DullyJr's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 10th April 2011
      Location : Mbeya
      Posts : 200
      Rep Power : 0
      Likes Received
      24
      Likes Given
      3

      Default Re: Tusaidiane! Yana ukweli ndani yake?????????

      Ukiona huitwi ujue kuna wenye sifa zaidi yako!
      Nakushauri jaribu kuomba orgnstn ambz qualfctn zako zitaonekana zipo juu!
      Suala la exprnce kiukwel linawakwaza wengi sana,limekaa kirushwarushwa mno!
      Baba Mtu likes this.

    5. #4
      Mu-sir's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Posts : 1,262
      Rep Power : 689
      Likes Received
      326
      Likes Given
      345

      Default Re: Tusaidiane! Yana ukweli ndani yake?????????

      Quote By JUDITH MGASSE
      wadau! Morning!

      jamani hebu tusaidiane! hivi ni kweli kuwa kazi huwa zinatangazwa lkn hiyo Organisation tayari inakuwa na mtu! yaani wanatangaza ili tu kutimiza sera ya recruitment lakini mtu wa ku cover hiyo nafasi anauwepo! kama ni kweli huu ni ukatili wa aina yake! unajua ku apply kazi inachukua muda mrefu na akili nyingi! mfano mimi natafuta kazi sana na naona nina vigezo lakini siitwi kwa interview! nakata tamaa hasa nikisikia maneno kama hayo! hasa ukizingatia natumia muda mwingi takribanni masaa 8 kila siku ku apply kazi! nisaidieni nisikate tamaa!

      Lkn pia, jamani hii serikali iko wapi kuhusu swala la experience! inakuwaje kila kazi experience miaka 3 na kuendelea! nisaidieni watu wa haki za binadamu na watu wa utumishi! kazi zinatangazwa sana unakuta exp 3 yrs sheria zinasemaje jamani!na kama ni kinyume watu wa utumishi na haki za binadamu wanazionaga hizo kazi ktk magazeti? nisijekuwa nalaumu vitu ambavyo vinakubalika kisheria!
      Mimi nakushauri usikate tamaa ku-apply hata kama experience miaka inatakiwa kumi na wewe huna Sometimes anakosekana mwenye experience unaitwa wewe.
      Hilo swala la kujuana usiliweke kichwani coz kuna jamaa yangu mmoja aliapply sehemu wanapojuana sana lakini mwisho wa siku anapiga kazi mpaka leo.
      BE POSITIVE NA UTAFANIKIWA BIDADA.
      kidman likes this.
      Dont BREAK the Law Just Bend it.

    6. #5
      Lidaku's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Posts : 71
      Rep Power : 365
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Mu-sir
      Mimi nakushauri usikate tamaa ku-apply hata kama experience miaka inatakiwa kumi na wewe huna Sometimes anakosekana mwenye experience unaitwa wewe.
      Hilo swala la kujuana usiliweke kichwani coz kuna jamaa yangu mmoja aliapply sehemu wanapojuana sana lakini mwisho wa siku anapiga kazi mpaka leo.
      BE POSITIVE NA UTAFANIKIWA BIDADA.
      mkuu unacopy post ndeeeeefu,unatupa tabu tunaotumia simu kuscrol
      Mu-sir likes this.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Mu-sir's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Posts : 1,262
      Rep Power : 689
      Likes Received
      326
      Likes Given
      345

      Default Re: Tusaidiane! Yana ukweli ndani yake?????????

      Sorry mkuu Lidaku nimejifunza kutokopy post ndefu. We learn through mistakes.
      Dont BREAK the Law Just Bend it.

    9. #7
      JUDITH MGASSE's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Posts : 17
      Rep Power : 354
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: Tusaidiane! Yana ukweli ndani yake?????????

      asanteni kwa kunitia Moyo! lkn huu uzi unatamani umpate mkunaji! natamini kujua! haya mambo yapo?????????? na km yapo nini suluhusho! tujadili jamani wana JF

    10. #8
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,731
      Rep Power : 10179
      Likes Received
      5675
      Likes Given
      12666

      Default Re: Tusaidiane! Yana ukweli ndani yake?????????

      sio kweli kama ni kweli ni % 10 na epuka maneno ya watu wanapenda sana kukatisha tamaa..wewe apply kazi yoyote unayoiona na pia andika cv ako vizuri tafuta hata washauri waione cv yako
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    11. #9
      JUDITH MGASSE's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Posts : 17
      Rep Power : 354
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

    12. #10
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,731
      Rep Power : 10179
      Likes Received
      5675
      Likes Given
      12666

    13. #11
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,731
      Rep Power : 10179
      Likes Received
      5675
      Likes Given
      12666

      Default Re: Tusaidiane! Yana ukweli ndani yake?????????

      Quote By Saint Ivuga
      sio kweli kama ni kweli ni % 10 na epuka maneno ya watu wanapenda sana kukatisha tamaa..wewe apply kazi yoyote unayoiona na pia andika cv ako vizuri tafuta hata washauri waione cv yako
      i mean inayoendana na qualifications zako
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    14. #12
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,389
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      1209
      Likes Given
      1253

      Default Re: Tusaidiane! Yana ukweli ndani yake?????????

      mimi kila siku nina theory moja kuwa kama ipo ipo tu hakuna cha experience wala kubebana na hii imenisaidia sana
      nimekua nikapply kazi yoyote ambayo ninadhani naiweza cha ajabu nimekua naitwa kwenye interview nyingi sana ..suala la experience mara nyingi huwa ni kufuata protocal tuu lakini in real sense kazi nyingi haziitaji experience kiivyo
      Mu-sir likes this.

    15. #13
      King2's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2011
      Posts : 1,280
      Rep Power : 636
      Likes Received
      159
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By DullyJr
      Ukiona huitwi ujue kuna wenye sifa zaidi yako!
      Nakushauri jaribu kuomba orgnstn ambz qualfctn zako zitaonekana zipo juu!
      Suala la exprnce kiukwel linawakwaza wengi sana,limekaa kirushwarushwa mno!
      wewe vigezo unavyo? Na uandikaji wako Kama bata anaye hara.

    16. #14
      King2's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2011
      Posts : 1,280
      Rep Power : 636
      Likes Received
      159
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By asigwa
      mimi kila siku nina theory moja kuwa kama ipo ipo tu hakuna cha experience wala kubebana na hii imenisaidia sana
      nimekua nikapply kazi yoyote ambayo ninadhani naiweza cha ajabu nimekua naitwa kwenye interview nyingi sana ..suala la experience mara nyingi huwa ni kufuata protocal tuu lakini in real sense kazi nyingi haziitaji experience kiivyo
      ndio maana Serikali imefuta suala la Experience kwenye uombaji kwenye sekta zake.

    17. #15
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,389
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      1209
      Likes Given
      1253

      Default Re: Tusaidiane! Yana ukweli ndani yake?????????

      Quote By King2
      ndio maana Serikali imefuta suala la Experience kwenye uombaji kwenye sekta zake.
      yes ni kweli na ninadhani itasaidia japo sio kihiiiivyo

    18. #16
      chuki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Posts : 519
      Rep Power : 519
      Likes Received
      49
      Likes Given
      36

      Default Re: Tusaidiane! Yana ukweli ndani yake?????????

      Quote By JUDITH MGASSE
      wadau! Morning!

      jamani hebu tusaidiane! hivi ni kweli kuwa kazi huwa zinatangazwa lkn hiyo Organisation tayari inakuwa na mtu! yaani wanatangaza ili tu kutimiza sera ya recruitment lakini mtu wa ku cover hiyo nafasi anauwepo! kama ni kweli huu ni ukatili wa aina yake! unajua ku apply kazi inachukua muda mrefu na akili nyingi! mfano mimi natafuta kazi sana na naona nina vigezo lakini siitwi kwa interview! nakata tamaa hasa nikisikia maneno kama hayo! hasa ukizingatia natumia muda mwingi takribanni masaa 8 kila siku ku apply kazi! nisaidieni nisikate tamaa!

      Lkn pia, jamani hii serikali iko wapi kuhusu swala la experience! inakuwaje kila kazi experience miaka 3 na kuendelea! nisaidieni watu wa haki za binadamu na watu wa utumishi! kazi zinatangazwa sana unakuta exp 3 yrs sheria zinasemaje jamani!na kama ni kinyume watu wa utumishi na haki za binadamu wanazionaga hizo kazi ktk magazeti? nisijekuwa nalaumu vitu ambavyo vinakubalika kisheria!
      Nenda TRA kama we sio MCHAGA uone kama utapata kazi.
      CHADEMA NI FREEMASON.
      WAMEANZISHA MTANDAO WA KIGAIDI.

    19. #17
      tindikalikali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 3,080
      Rep Power : 1214
      Likes Received
      392
      Likes Given
      89

      Default Re: Tusaidiane! Yana ukweli ndani yake?????????

      mkuu naona wadau wameamua kukufariji tu, hata uwe na qualification usipomjua mtu ni kazi bure.
      Last edited by tindikalikali; 13th June 2012 at 14:33.

    20. #18
      Man KKK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Location : Ndani ya Laptop
      Posts : 788
      Rep Power : 517
      Likes Received
      94
      Likes Given
      45

      Default Re: Tusaidiane! Yana ukweli ndani yake?????????

      mambo ya kujuana yapo kataeni kubalini na mifano ni mingi watu tunayo, ni sawa mpeni moyo lakini vitu vipo sana ivo
      Agrodealer likes this.

    21. #19
      Quirine's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th July 2011
      Posts : 64
      Rep Power : 411
      Likes Received
      10
      Likes Given
      6

      Default Re: Tusaidiane! Yana ukweli ndani yake?????????

      Quote By DullyJr
      Ukiona huitwi ujue kuna wenye sifa zaidi yako!
      Nakushauri jaribu kuomba orgnstn ambz qualfctn zako zitaonekana zipo juu!
      Suala la exprnce kiukwel linawakwaza wengi sana,limekaa kirushwarushwa mno!
      nimeipenda hii

    22. #20
      Quirine's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th July 2011
      Posts : 64
      Rep Power : 411
      Likes Received
      10
      Likes Given
      6

      Default Re: Tusaidiane! Yana ukweli ndani yake?????????

      Quote By chuki
      Nenda TRA kama we sio MCHAGA uone kama utapata kazi.
      Kwa hili huna ukweli wowote ule, umekosa sera jaribu fikra nyingine ndugu

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...