Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 38
    1. #1
      Sizinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2007
      Location : Mars
      Posts : 4,035
      Rep Power : 1456
      Likes Received
      1541
      Likes Given
      1651

      Default Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

      Baada ya kuapply tangazo lao la kazi huko Uranium Songea,fasta wakanipigia simu wakadai wapo kwenye mchakato wa kuita watu kwenye interview lakini tutangulize kwanza laki 2 kwa M-PESA, nikawakubalia...nikaja hapa jamvini kuhoji uhalali wa hii kampuni kwa kiasi kikubwa hivyo kabla hata hatuajiriwa. Nikachukua mawazo yote ya wanaJF, nikatengeneza maswali yangu kadhaa naomba uyajibu.

      Halafu nikampandia hewani yule jamaa aliyejitambulisha kama Ishe Mboma, simu ikaitaaaa weeee, hadi ikakatika haikupokelewa. Baada ya kama dakika 5simu yangu ikaaza kuita, kucheki yule jamaa ananipigia. Nikapokea!!

      Maongezi yakaanza kama ifuatavyo: Nilianza kumwambia kwamba nina fedha mkononi na nipo dukani Mpesa tayari kuzituma, ila nina mawali matatu tu naomba uyajibu kabla sijatuma.

      Swali la kwanza nilimuuliza, Je hiyo ni kampuni au ni Recruitment Agent(RA)? Akanijibu yeye ni HR wa ndani ya kampuni na sio RA.
      Nikamuuliza huo mgodi unaochimba Uranium upo wapi? Akanijibu upo songea na mpaka kijiji akanitajia...Nikamuuliza Wewe mwenyewe na hiyo kampuni mpo wapi(nikajua wapo dar)..akanijibu wapo Songea mjini 2 km kutoka pale mjini.
      Nikamwambia kama upo Songea basi na mie nipo hapohapo Songea unaonaje tukionana halafu nikakukabidhi mzigo ana kwa ana....!!


      Hapo jamaa aliniachia vumbi baya!! Akaniambia ''This thing is very confidential and we are not allowed to have personal meeting'' Nikamwambia NIMEKUKAMATA MWIZI MKUBWA WEWE. AKAKATA SIMU.

      SO TUWENI MAKINI JAMANI NA HAWA JAMAA WANAOTOA KAZI HALAFU WANATAKA FEDHA KWANZA, BILA KUJA HAPA JF NISINGEPATA MAWAZO YA KUULIZA STRONG QESTION YULE BWANA,MANAKE ALISHANIBAMBA.
      GESI KWANZA KOROSHO BAADAE!!


    2. #2
      Man KKK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Location : Ndani ya Laptop
      Posts : 789
      Rep Power : 521
      Likes Received
      94
      Likes Given
      46

      Default Re: Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

      big up
      Sizinga likes this.

    3. #3
      Purple's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2012
      Location : mjini
      Posts : 1,795
      Rep Power : 730
      Likes Received
      607
      Likes Given
      415

      Default Re: Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

      Hongera kwa kumbamba mwizi!
      Sizinga likes this.

    4. #4
      Nivea's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 5,986
      Rep Power : 16312
      Likes Received
      3401
      Likes Given
      4346

      Default Re: Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

      yes !!!!!!!!!!!!!!qualified great thinker
      Sizinga likes this.
      Kosea njia utaelekezwa,lakini usikosee mtu wakuoa /kuolewa naye,vinginevyo majuto yatakuwa sehemu ya maisha yako.tuliza kichwa unapochagua mwenzi wa maisha.

    5. #5
      BornTown's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2008
      Location : ???
      Posts : 1,484
      Rep Power : 867
      Likes Received
      283
      Likes Given
      104

      Default Re: Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

      ungetoa na namba zao za simu kabisa ili watu wengine wkipigiwa simu wajue kuwa huyo anayepiga ni tapeli
      Sizinga and Uswe like this.
      "DONT BE A WOMAN THAT NEEDS A MAN BE A WOMAN A MAN NEEDS!!!!"


    6. #6
      Kalumbesa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2010
      Location : Shamba
      Posts : 878
      Rep Power : 610
      Likes Received
      271
      Likes Given
      123

      Default Re: Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

      Hiyo ndio inaitwa kamata mwizi men! Big up
      Sizinga and TWIZAMALLYA like this.

    7. #7
      Kalumbesa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2010
      Location : Shamba
      Posts : 878
      Rep Power : 610
      Likes Received
      271
      Likes Given
      123

      Default Re: Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

      Quote By BornTown View Post
      ungetoa na namba zao za simu kabisa ili watu wengine wkipigiwa simu wajue kuwa huyo anayepiga ni tapeli
      Nadhani umewasahau matapeli,huwa wanakuwa na line tofauti tofauti kibao hiyo waliyompigia jamaa wanaweza hata wasiitumie tena kwa siku za usoni

    8. #8
      njiwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2009
      Location : ax^2+bx+c=0
      Posts : 5,190
      Rep Power : 2419
      Likes Received
      997
      Likes Given
      173

      Default Re: Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

      hahaha ulimshika pababaya akamua kukimbia .. Safi sana
      Sizinga likes this.
      Pure Matrimony >> Purity starts here (Quran 24:26)
      My loyalty is to reason,and as a reasonable person I reserve the right to change my mind when presented with new information that alters my perspective" Njiwa"ᵀᴴᴱ'ᴼᴿᴵᴳᴵᴻᴬᴸ✯


    9. #9
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Mtanzania Imara View Post
      Nadhani umewasahau matapeli,huwa wanakuwa na line tofauti tofauti kibao hiyo waliyompigia jamaa wanaweza hata wasiitumie tena kwa siku za usoni
      its beta ikawekwa hiyohiyo ambayo ilitumiwa
      Sizinga likes this.

    10. #10
      ummu kulthum's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th February 2012
      Location : singida
      Posts : 2,596
      Rep Power : 7005
      Likes Received
      1189
      Likes Given
      587

      Default Re: Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

      warerere!!!!yaani imekula kwake angejipatia fuba ki ulaini na usawa wenyewe huu wa kulenga kwa manati.asante kwa kutufahamisha hili.
      Sizinga likes this.

    11. #11
      Sizinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2007
      Location : Mars
      Posts : 4,035
      Rep Power : 1456
      Likes Received
      1541
      Likes Given
      1651

      Default Re: Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

      Quote By BornTown View Post
      ungetoa na namba zao za simu kabisa ili watu wengine wkipigiwa simu wajue kuwa huyo anayepiga ni tapeli
      Wazo zuri madame....namba yenyewe ni ya voda..hii hapa 0752410715.
      GESI KWANZA KOROSHO BAADAE!!

    12. #12
      Sizinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2007
      Location : Mars
      Posts : 4,035
      Rep Power : 1456
      Likes Received
      1541
      Likes Given
      1651

      Default Re: Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

      Quote By njiwa View Post
      hahaha ulimshika pababaya akamua kukimbia .. Safi sana
      Agh nilimshika nyeti...manake kuna muda nilimwambia kwanini asinipe hiyo akira halafu tufanye arrangement mshahara wangu wa kwanza nikamkatia kiasi anachotaka...akakataa!! Nikaona huyu jmaa ni magumashi!!
      GESI KWANZA KOROSHO BAADAE!!

    13. #13
      mummyjimmy's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th May 2011
      Posts : 13
      Rep Power : 412
      Likes Received
      3
      Likes Given
      2

      Default Re: Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

      Jamani kazi tunayo sasa hivi tunaotafuta kazi inabidi tuwe makini sana mi mwenyewe imenikuta ivyoivyo hapa arusha baada ya kumpigia jamaa akarusha nikamshtukia ni jambawazi.But iwish ningenkamata live ili tuwakomeshe.
      Sizinga likes this.

    14. #14
      Mpangamji's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th May 2010
      Posts : 484
      Rep Power : 558
      Likes Received
      118
      Likes Given
      70

      Default Re: Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

      weka namba ya simu hapa tuone amejiandikisha kwa jina gani mpesa. kwa mfano, kama ni namba ya voda ukawa huna salio kwenye m-pesa fuata maelekezo yote kama vile unatuma pesa hadi mwisho, meseji utakayopata itakuambia huna salio la kutosha kumtumia so and so salio lako ni 0, au kama una salio, tuma salio ambalo ni zaidi ya kiwango ulichonacho, mfano kama una laki 2, tuma laki 4, utapata jina lake alilojiandikisha na unaweza kulileta hapa JF tukamsaka.

      Jina la laini amejiandikisha CURTIS IBINZA

      Unaweza kumcheki facebook kama alitumia jina lake sahihi.
      Sizinga likes this.
      The truth speaks for itself, it is always in 3-D

    15. #15
      Sizinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2007
      Location : Mars
      Posts : 4,035
      Rep Power : 1456
      Likes Received
      1541
      Likes Given
      1651

      Default Re: Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

      Quote By Mpangamji View Post
      weka namba ya simu hapa tuone amejiandikisha kwa jina gani mpesa. kwa mfano, kama ni namba ya voda ukawa huna salio kwenye m-pesa fuata maelekezo yote kama vile unatuma pesa hadi mwisho, meseji utakayopata itakuambia huna salio la kutosha kumtumia so and so salio lako ni 0, au kama una salio, tuma salio ambalo ni zaidi ya kiwango ulichonacho, mfano kama una laki 2, tuma laki 4, utapata jina lake alilojiandikisha na unaweza kulileta hapa JF tukamsaka.
      Wazo zuri, nimejaribu mwenyewe kutuma imeniletea jina la CURTIS IBINZA.....Ila yeye alinitajia anaitwa ISHE MBOMA....Kazi kwelikweli hapa bongo
      GESI KWANZA KOROSHO BAADAE!!

    16. #16
      Mpangamji's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th May 2010
      Posts : 484
      Rep Power : 558
      Likes Received
      118
      Likes Given
      70

      Default Re: Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

      Quote By Sizinga View Post
      Wazo zuri madame....namba yenyewe ni ya voda..hii hapa 0752410715.
      Hii namba imesajiliwa kwa jina la Curtis Ibinza
      Sizinga likes this.
      The truth speaks for itself, it is always in 3-D

    17. #17
      Cha Moto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Location : Kijijini
      Posts : 937
      Rep Power : 590
      Likes Received
      131
      Likes Given
      247

      Default Re: Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

      Anaweza kutafutwa kwenye Facebook au hata kujaribu ku google hilo jina pia,
      Safi sana ulimshika pabaya
      Sizinga likes this.
      “Mtu anaweza kuzini kwa siri lakini hawezi kuugua ukimwi kwa siri”

    18. #18
      Mafuluto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th August 2009
      Posts : 812
      Rep Power : 2980
      Likes Received
      170
      Likes Given
      312

      Default Re: Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

      kukomesha watu kama hawa, kwa nn usimripoti polisi, hoping watamshughulikia au watamtoa upepo- vyote ni adhabu tosha !!
      ....Interesting katumia jina la Mboma, kumbuka huyu m-meremeta ana miradi ya machimbo... mmmmhh !! Hapa kuna pazuri pa kuanzia...
      Sizinga likes this.

    19. #19
      Fmewa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2009
      Posts : 276
      Rep Power : 543
      Likes Received
      68
      Likes Given
      35

      Default Re: Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

      Hongera sana hiyo ndiyo dawa yao hawa wezi.......... umefanya jambo la maana sana ndugu yangu
      Keep it up
      Sizinga likes this.
      Pasipo maono watu huangamia

    20. #20
      kekuwetu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th October 2010
      Location : home
      Posts : 120
      Rep Power : 463
      Likes Received
      16
      Likes Given
      42

      Default Re: Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

      hongera, watu wanalizwa sana, tunashukuru kwa kutujulisha tutakuwa makini na hizo nafasi za kazi hewa.
      Sizinga likes this.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...