Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 38 of 38
    1. #1
      Sizinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2007
      Location : Mars
      Posts : 3,946
      Rep Power : 1434
      Likes Received
      1511
      Likes Given
      1619

      Default Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

      Baada ya kuapply tangazo lao la kazi huko Uranium Songea,fasta wakanipigia simu wakadai wapo kwenye mchakato wa kuita watu kwenye interview lakini tutangulize kwanza laki 2 kwa M-PESA, nikawakubalia...nikaja hapa jamvini kuhoji uhalali wa hii kampuni kwa kiasi kikubwa hivyo kabla hata hatuajiriwa. Nikachukua mawazo yote ya wanaJF, nikatengeneza maswali yangu kadhaa naomba uyajibu.

      Halafu nikampandia hewani yule jamaa aliyejitambulisha kama Ishe Mboma, simu ikaitaaaa weeee, hadi ikakatika haikupokelewa. Baada ya kama dakika 5simu yangu ikaaza kuita, kucheki yule jamaa ananipigia. Nikapokea!!

      Maongezi yakaanza kama ifuatavyo: Nilianza kumwambia kwamba nina fedha mkononi na nipo dukani Mpesa tayari kuzituma, ila nina mawali matatu tu naomba uyajibu kabla sijatuma.

      Swali la kwanza nilimuuliza, Je hiyo ni kampuni au ni Recruitment Agent(RA)? Akanijibu yeye ni HR wa ndani ya kampuni na sio RA.
      Nikamuuliza huo mgodi unaochimba Uranium upo wapi? Akanijibu upo songea na mpaka kijiji akanitajia...Nikamuuliza Wewe mwenyewe na hiyo kampuni mpo wapi(nikajua wapo dar)..akanijibu wapo Songea mjini 2 km kutoka pale mjini.
      Nikamwambia kama upo Songea basi na mie nipo hapohapo Songea unaonaje tukionana halafu nikakukabidhi mzigo ana kwa ana....!!


      Hapo jamaa aliniachia vumbi baya!! Akaniambia ''This thing is very confidential and we are not allowed to have personal meeting'' Nikamwambia NIMEKUKAMATA MWIZI MKUBWA WEWE. AKAKATA SIMU.

      SO TUWENI MAKINI JAMANI NA HAWA JAMAA WANAOTOA KAZI HALAFU WANATAKA FEDHA KWANZA, BILA KUJA HAPA JF NISINGEPATA MAWAZO YA KUULIZA STRONG QESTION YULE BWANA,MANAKE ALISHANIBAMBA.
      GESI KWANZA KOROSHO BAADAE!!

    2. RukaaJuu Final

    3. #21
      nyandaojiloleli's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Posts : 196
      Rep Power : 425
      Likes Received
      13
      Likes Given
      35

      Default Re: Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

      umejitahidi
      Sizinga likes this.

    4. #22
      Sizinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2007
      Location : Mars
      Posts : 3,946
      Rep Power : 1434
      Likes Received
      1511
      Likes Given
      1619

      Default Re: Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

      Quote By Mafuluto
      kukomesha watu kama hawa, kwa nn usimripoti polisi, hoping watamshughulikia au watamtoa upepo- vyote ni adhabu tosha !!
      ....Interesting katumia jina la Mboma, kumbuka huyu m-meremeta ana miradi ya machimbo... mmmmhh !! Hapa kuna pazuri pa kuanzia...
      Wazo zuri ngoja niangalia utaratibu wa kumripoti huyu bwana...mwivi mkubwa
      GESI KWANZA KOROSHO BAADAE!!

    5. #23
      Sizinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2007
      Location : Mars
      Posts : 3,946
      Rep Power : 1434
      Likes Received
      1511
      Likes Given
      1619

      Default Re: Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

      Quote By Mafuluto
      kukomesha watu kama hawa, kwa nn usimripoti polisi, hoping watamshughulikia au watamtoa upepo- vyote ni adhabu tosha !!
      ....Interesting katumia jina la Mboma, kumbuka huyu m-meremeta ana miradi ya machimbo... mmmmhh !! Hapa kuna pazuri pa kuanzia...
      Wazo zuri ngoja niangalia utaratibu wa kumripoti huyu bwana...mwivi mkubwa
      GESI KWANZA KOROSHO BAADAE!!

    6. #24
      TIQO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Posts : 4,607
      Rep Power : 6854
      Likes Received
      1039
      Likes Given
      131

      Default Re: Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

      Umekoswa koswa mzazi
      Sizinga likes this.
      Mwisho wa Ubaya Aibu.

    7. #25
      Sizinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2007
      Location : Mars
      Posts : 3,946
      Rep Power : 1434
      Likes Received
      1511
      Likes Given
      1619

      Default Re: Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

      Quote By TIQO
      Umekoswa koswa mzazi
      Ndo mana ake mzazi
      GESI KWANZA KOROSHO BAADAE!!

    8. Miaka 50

    9. #26
      mzee wa njaa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2011
      Posts : 1,340
      Rep Power : 670
      Likes Received
      194
      Likes Given
      107

      Default Re: Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

      Kuna wengine wako arusha wana tabia hiyo hiyo wezi wakubwa.
      Sizinga likes this.

    10. #27
      Sizinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2007
      Location : Mars
      Posts : 3,946
      Rep Power : 1434
      Likes Received
      1511
      Likes Given
      1619

      Default Re: Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

      Quote By mzee wa njaa
      Kuna wengine wako arusha wana tabia hiyo hiyo wezi wakubwa.
      Hawa dawa yao sasa ni kuwaanika tu
      GESI KWANZA KOROSHO BAADAE!!

    11. #28
      mzee wa njaa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2011
      Posts : 1,340
      Rep Power : 670
      Likes Received
      194
      Likes Given
      107

      Default Re: Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

      Wengine wa Arusha wanaitwa KIBACHA. Wezi usipime.

    12. #29
      Caroline Danzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2008
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 2,719
      Rep Power : 1075
      Likes Received
      652
      Likes Given
      214

      Default Re: Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

      Shida yako ndogo inaweza kukuzalia kiama. tuwe makini sana. Ila ukiwa makini hata anavyoongea tu unaweza mkamata.
      Sizinga likes this.

    13. #30
      Sizinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2007
      Location : Mars
      Posts : 3,946
      Rep Power : 1434
      Likes Received
      1511
      Likes Given
      1619

      Default Re: Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

      Quote By Caroline Danzi
      Shida yako ndogo inaweza kukuzalia kiama. tuwe makini sana. Ila ukiwa makini hata anavyoongea tu unaweza mkamata.
      Aagh hiyo ni ngumu,kwa mfano huyu mshkaji akijifanya kama kiswahili hajakizoea vizuri ingwa anaongea na anachanganya na kidhungu!!!
      GESI KWANZA KOROSHO BAADAE!!

    14. #31
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,785
      Rep Power : 795
      Likes Received
      440
      Likes Given
      437

      Default Re: Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

      Quote By BornTown
      ungetoa na namba zao za simu kabisa ili watu wengine wkipigiwa simu wajue kuwa huyo anayepiga ni tapeli

      yes, weka namba hapa! si tu ili watu wengine wajua ila ikiwezekana tuifanyie kazi
      mbona sioni umeme, maji wala barabara, 30% PAYE na Kodi nyingine katika bidhaa, zinaenda wapi?

    15. #32
      Caroline Danzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2008
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 2,719
      Rep Power : 1075
      Likes Received
      652
      Likes Given
      214

      Default Re: Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

      Quote By Sizinga
      Aagh hiyo ni ngumu,kwa mfano huyu mshkaji akijifanya kama kiswahili hajakizoea vizuri ingwa anaongea na anachanganya na kidhungu!!!
      Dumu kwenye maombi uone kama utatapeliwa.
      neemamushi likes this.

    16. #33
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 14,976
      Rep Power : 3704
      Likes Received
      3581
      Likes Given
      5771

      Default Re: Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

      good watu wamezidi kutaka bjia rahisi sana
      Sizinga likes this.
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..

    17. #34
      dav22's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 670
      Rep Power : 500
      Likes Received
      47
      Likes Given
      47

      Default Re: Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

      ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha utaanza vipi kutoa pesa kabla ya kazi na hata mtu mwenyewe hajuani??jaribu uliwe he he he he
      Sizinga likes this.

    18. #35
      Sizinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2007
      Location : Mars
      Posts : 3,946
      Rep Power : 1434
      Likes Received
      1511
      Likes Given
      1619

      Default Re: Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

      Quote By dav22
      ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha utaanza vipi kutoa pesa kabla ya kazi na hata mtu mwenyewe hajuani??jaribu uliwe he he he he
      Nlisepa kama Lowassa man.......
      GESI KWANZA KOROSHO BAADAE!!

    19. #36
      Sizinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2007
      Location : Mars
      Posts : 3,946
      Rep Power : 1434
      Likes Received
      1511
      Likes Given
      1619

      Default Re: Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

      Quote By FirstLady1
      good watu wamezidi kutaka bjia rahisi sana
      Njaa mbaya sana sister.....
      GESI KWANZA KOROSHO BAADAE!!

    20. #37
      Chatumkali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Location : DOM
      Posts : 1,384
      Rep Power : 974
      Likes Received
      184
      Likes Given
      166

      Default Re: Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

      Du!Hongera sana.Ila kimsingi hujamkamata ila umemstukia!
      Sizinga likes this.

    21. #38
      Jodoki Kalimilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Location : Ihayabuyaga
      Posts : 2,284
      Rep Power : 894
      Likes Received
      783
      Likes Given
      1484

      Default Re: Nimewakamata wezi wa ajira mtandaoni!

      Quote By Sizinga
      Wazo zuri madame....namba yenyewe ni ya voda..hii hapa 0752410715.
      Ameisajilri namba hiyo kwa jina la CURTIS IBINZA, hapa unaweza anza nae maana kuna watu wanaweza wakatapeli wajisahau wakatumia line zao wakidhani hawawezi julikana
      Sizinga likes this.

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...