Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Re: THANKS TO JF

    Report Post
    Page 2 of 6 FirstFirst 1234 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 108
    1. #1
      bombu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th June 2011
      Posts : 1,036
      Rep Power : 879
      Likes Received
      497
      Likes Given
      592

      Default Re: THANKS TO JF

      Wapendwa Sina jinsi ya kuielezea furaha yangu. Nimekuwa member wa JF kwa takriban mwaka sasa. Mie huwa si msomaji wa magazeti, na taarifa nyingi muhmu huzipata kupitia hapa JF. Kwa mara ya kwanza hii forum imenisaidia na nimeyaona matunda yake.

      Nimefanikiwa kupata kazi, amabayo kwa mara ya kwanza niliiona hapa JF, katika forum ya "Nafasi za Kazi na Tenda". Mwanzoni sikuamini kama nami naweza pata kazi serikalini bila kuwa na mtu wa kunishika mkono, lakini leo imewezekana. Ni kweli kuna uwazi na ukweli na usawa kupitia Sekretariatiya Ajira na Utumishi. Tuliitwa watu saba na nafasi ilikuwa moja tuu.

      Nimepata,

      Namshukuru Mungu na WanaJF, Tuendelee kulijenga Taifa letu. Big up JF, LIVE LONGER.

      Kwa wengine, Msikate tamaa, endeleeni kuomba kazi bila kuchoka, ipo siku mtafanikiwa, na tusipuuze kazi, na tufanye kazi kwa bidii na kutumia nafasi zetu kwa manufaa ya umma.

      Asanteni.
      Ogah, Sizinga, Asprin and 15 others like this.
      Knowledge is knowing that a tomato is a fruit, but Wisdom is knowing not to put it in a fruit salad

    2. FemaTV & Radio

    3. SG8
      #21
      SG8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th December 2009
      Location : DSM
      Posts : 2,555
      Rep Power : 4177
      Likes Received
      771
      Likes Given
      730

      Default Re: THANKS TO JF

      KIla siku tukisema sekretarieti iko fair ila watu ndio wazembe mnatubishia, sisi wengine tulibahatika kupata zamani wakti sekretarieti inaanzishwa. Usisahu kutoa shukrani ya pekee kwa Mungu wako... If you trust in GOD
      "Tumefika hapa kutokana na udhaifu wa Rais Kikwete,Uzembe wa Bunge na Upuuzi wa CCM"

    4. #22
      bombu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th June 2011
      Posts : 1,036
      Rep Power : 879
      Likes Received
      497
      Likes Given
      592

      Default

      Quote By Gerrard
      KIla siku tukisema sekretarieti iko fair ila watu ndio wazembe mnatubishia, sisi wengine tulibahatika kupata zamani wakti sekretarieti inaanzishwa. Usisahu kutoa shukrani ya pekee kwa Mungu wako... If you trust in GOD
      Ni kweli mkuu Gerrard, mie mwenyewe nlifanya kujaribu tuu. Kwanza kitendo cha kuitwa kwa intavyuu nliona kama muujiza. Lakini after the interview I knew this time it gonna be a fair play. Thanks to God almighty

    5. #23
      Doreen22's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Posts : 478
      Rep Power : 604
      Likes Received
      69
      Likes Given
      7

      Default Re: THANKS TO JF

      Hongera sana Mheshimiwa

    6. #24
      ndyoko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 4,505
      Rep Power : 1706
      Likes Received
      1199
      Likes Given
      1916

      Default Re: THANKS TO JF

      Duuuuuuuuuuu! Na mimi usaili wa kazi niloifumania humu JF utafanyika tarehe 13/06/2012 pande za Ifakara. Niombeeni jamani niipate hiyo kazi.
      “If you can not get what you love, then love what you have”

    7. #25
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,146
      Rep Power : 21612
      Likes Received
      13485
      Likes Given
      17781

      Default Re: THANKS TO JF

      hongera saana
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    8. Miaka 50

    9. #26
      Baba Mtu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2008
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 848
      Rep Power : 716
      Likes Received
      93
      Likes Given
      634

      Default Re: THANKS TO JF

      Quote By bombu
      Wapendwa Sina jinsi ya kuielezea furaha yangu. Nimekuwa member wa JF kwa takriban mwaka sasa. Mie huwa si msomaji wa magazeti, na taarifa nyingi muhmu huzipata kupitia hapa JF. Kwa mara ya kwanza hii forum imenisaidia na nimeyaona matunda yake.

      Nimefanikiwa kupata kazi, amabayo kwa mara ya kwanza niliiona hapa JF, katika forum ya "Nafasi za Kazi na Tenda". Namshukuru Mungu na WanaJF, Tuendelee kulijenga Taifa letu. Big up JF, LIVE LONGER.

      Asanteni.
      Hongera na endelea na moyo huohuo wa kushukuru kwani wengi huwa wanaona tabu kusema asante.
      Uliomba kazi na sasa umepata kazi, basi nenda kafanye ipasavyo. Kumbuka mjenga nchi ni mwanachi namvunja nchi ni mwananchi.
      MIMI SIMO! MIMI SIMO! IKO SIKU NA WEWE UTAKUWEMO!
      (I'M NOT CONCERNED! I'M NOT CONCERNED! ONE DAY YOU WILL BE CONCERNED!)

    10. #27
      Man KKK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Location : Ndani ya Laptop
      Posts : 788
      Rep Power : 517
      Likes Received
      94
      Likes Given
      45

      Default Re: THANKS TO JF

      Hongera...ni mganga gani uliemtumia ebu tupeane maujuzi bana

    11. #28
      Man KKK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Location : Ndani ya Laptop
      Posts : 788
      Rep Power : 517
      Likes Received
      94
      Likes Given
      45

      Default Re: THANKS TO JF

      ila nahisi kama wewe ni mfanyakazi wa Secretariat ya ajira unataka kutuzuga tu apa ili msionekane kama mnachakachua maana hisia zangu zinaniambia ivyo
      mmmmh wizi mtupu

    12. #29
      Ndechumia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2011
      Posts : 772
      Rep Power : 551
      Likes Received
      136
      Likes Given
      304

      Default Re: THANKS TO JF

      Quote By Man KKK
      Hongera...ni mganga gani uliemtumia ebu tupeane maujuzi bana
      mkuu sio kila kitu kinausisha waganga, acha iman potofu.

      omba mungu iko siku na sie tutaajiriwa.
      hakuna lisilowezekana mbele ya Mungu hata kama wanachakachua iko siku watashindwa na tutapata ajira.

    13. #30
      Likwanda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2011
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 2,507
      Rep Power : 902
      Likes Received
      509
      Likes Given
      74

      Default Re: THANKS TO JF

      Dah, na mimi natamani siku moja nishukuru kama wewe, kila la kheri ila zingatia maadili ya utumishi wa uma.
      salosalo likes this.

    14. #31
      bombu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th June 2011
      Posts : 1,036
      Rep Power : 879
      Likes Received
      497
      Likes Given
      592

      Default

      Quote By Man KKK
      ila nahisi kama wewe ni mfanyakazi wa Secretariat ya ajira unataka kutuzuga tu apa ili msionekane kama mnachakachua maana hisia zangu zinaniambia ivyo
      mmmmh wizi mtupu
      Endelea kuamini hivyo, utafia kijiweni, lol. Wenzio ndo tushatoka ivoo

    15. #32
      n00b's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th April 2008
      Posts : 768
      Rep Power : 9824
      Likes Received
      1427
      Likes Given
      166

      Default Re: THANKS TO JF

      Quote By bombu
      Wapendwa Sina jinsi ya kuielezea furaha yangu. Nimekuwa member wa JF kwa takriban mwaka sasa. Mie huwa si msomaji wa magazeti, na taarifa nyingi muhmu huzipata kupitia hapa JF. Kwa mara ya kwanza hii forum imenisaidia na nimeyaona matunda yake.

      Nimefanikiwa kupata kazi, amabayo kwa mara ya kwanza niliiona hapa JF, katika forum ya "Nafasi za Kazi na Tenda". Mwanzoni sikuamini kama nami naweza pata kazi serikalini bila kuwa na mtu wa kunishika mkono, lakini leo imewezekana. Ni kweli kuna uwazi na ukweli na usawa kupitia Sekretariatiya Ajira na Utumishi. Tuliitwa watu saba na nafasi ilikuwa moja tuu.

      Nimepata,

      Namshukuru Mungu na WanaJF, Tuendelee kulijenga Taifa letu. Big up JF, LIVE LONGER.

      Kwa wengine, Msikate tamaa, endeleeni kuomba kazi bila kuchoka, ipo siku mtafanikiwa, na tusipuuze kazi, na tufanye kazi kwa bidii na kutumia nafasi zetu kwa manufaa ya umma.

      Asanteni.

      Hongera sana!!! Tunafarijika kuona vitu vya aina hii...
      I seriously mean it when I say, 'Get a life'

    16. #33
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,342
      Rep Power : 7768
      Likes Received
      1545
      Likes Given
      1793

      Default Re: THANKS TO JF

      Hongera zako! Nafasi gani mlikuwa mnagombania?
      bombu likes this.

    17. #34
      bombu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th June 2011
      Posts : 1,036
      Rep Power : 879
      Likes Received
      497
      Likes Given
      592

      Default Re: THANKS TO JF

      Quote By Remmy
      Hongera zako! Nafasi gani mlikuwa mnagombania?
      Asante Mkuu, ila nikusahihishe hatukuwa tukigombania. By the way nikisema nafasi hapa si ina maana ntakuwa nimedisclose identity yangu? Lol, anyways Nashukuru kwa pongezi
      Knowledge is knowing that a tomato is a fruit, but Wisdom is knowing not to put it in a fruit salad

    18. #35
      Sizinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2007
      Location : Mars
      Posts : 3,938
      Rep Power : 1432
      Likes Received
      1509
      Likes Given
      1619

      Default Re: THANKS TO JF

      Dah hongera Boy...mi mwenyewe nilipata shavu kupitia humuhumu ndani...So JF is more than what other people think
      bombu likes this.
      GESI KWANZA KOROSHO BAADAE!!

    19. #36
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,342
      Rep Power : 7768
      Likes Received
      1545
      Likes Given
      1793

      Default Re: THANKS TO JF

      Quote By bombu
      Asante Mkuu, ila nikusahihishe hatukuwa tukigombania. By the way nikisema nafasi hapa si ina maana ntakuwa nimedisclose identity yangu? Lol, anyways Nashukuru kwa pongezi
      Kweli Kiswahili kigumu. Kama mko watu 7 kwa nafasi moja si kugombabia huko? Au unafikiri kwa ugomvi, hahahaaaaa, jamani...
      bombu likes this.

    20. #37
      matumbo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th July 2011
      Posts : 2,337
      Rep Power : 1445
      Likes Received
      648
      Likes Given
      498

      Default Re: THANKS TO JF

      Changia basi mshiko kidogo,utapewa na upremium member.

    21. #38
      mtemvu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th March 2012
      Posts : 37
      Rep Power : 367
      Likes Received
      4
      Likes Given
      3

      Default Re: THANKS TO JF

      kama una nia kusaidia kitu kama barua nzuri uliotuma unaiweka hapa CV muhim futa majina na privacy zako..then upload hapa jf..nwy congrsana sana
      bombu likes this.

    22. #39
      mtemvu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th March 2012
      Posts : 37
      Rep Power : 367
      Likes Received
      4
      Likes Given
      3

      Default Re: THANKS TO JF

      Quote By Sizinga
      Dah hongera Boy...mi mwenyewe nilipata shavu kupitia humuhumu ndani...So JF is more than what other people think
      hahah ! ukala alone

    23. #40
      bombu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th June 2011
      Posts : 1,036
      Rep Power : 879
      Likes Received
      497
      Likes Given
      592

      Default Re: THANKS TO JF

      Quote By Sizinga
      Dah hongera Boy...mi mwenyewe nilipata shavu kupitia humuhumu ndani...So JF is more than what other people think
      Mh..! hapo kweny blue hapo...umejuaje? lol. Haya bana asante, ila mbona ulikaa kimya? wape moyo na wengine, kuna walioanza kuponda kuwa kazi zinazotangazwa humu sio Real
      Knowledge is knowing that a tomato is a fruit, but Wisdom is knowing not to put it in a fruit salad

    Page 2 of 6 FirstFirst 1234 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...