Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nilivurunda interview yao lkn bado waliniita kazini

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 22
    1. #1
      mmteule's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Posts : 238
      Rep Power : 433
      Likes Received
      53
      Likes Given
      4

      Default Nilivurunda interview yao lkn bado waliniita kazini

      wanajamvi wenzangu najua sote tutafutao kazi ipo siku tutapata na haya yoote yanayotupata kipindi hiki kigumu yatabaki stori, hata sisi ambao tulishapata bado tunaangalia green pasture ndo maana kutafuta kazi kwa msomi ni safari isiyo na mwisho..... katika harakati zangu za kutafuta kazi niliitwa interview na Jeshi la Polisi kufanya Interview Kule Kilwa Road, kwakweli sitasahau wadau.....nilikuwa natoa majibu ambayo yamebeba ujumbe ambao unamchoma mwajili yaani polisi.
      swali la kwanza .... kwanini wewe ndiye hauko smart umevaa fulana chafu halafu chini umevaa sendoz unamaanisha nini.... honestlly nilijibu...Jeshi la Polisi lina sare zake, kwahiyo namaanisha niko tayari kuvaa magwanda hata leo, over..... woooote watano wakacheka sana... wakakaa kimia kwa muda.
      swali la pili....... wewe vyeti vyako vinaonesha ulikuwa kiongozi wa serikali ya wanafunzi chuoni kwako, then chuo chako kimegubikwa na migomo mingi sana.... je hiyo inaaashiria nini? nikaanza kutiririka siku zote haki na usawa haviji bila kulichimba kwa nchi zetu hizi za dunia ya tatu zilizojaa ufisadi, rushwa na ukiukwaji wa haki za binadamu likiwemo jeshi lenu la polisi...... duh.... kidogo wanitie pingu....ukawa mzozo mle ndani. then ukaisha tukaendelea.....

      inshort nilikuwa najibuu kwa kuwachoma.....amini usiamini mwisho wa siku niliiitwa kazini kwenda CCP moshi, ingawa nilikacha. sasa nimekuwa nikijiuliza walinipate nafasi kwa majibu hayo ya kifedhuli????
      Last edited by X-PASTER; 11th June 2012 at 18:34. Reason: font size

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Kilahunja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2011
      Posts : 935
      Rep Power : 562
      Likes Received
      161
      Likes Given
      3

      Default Re: Nilivurunda interview yao lkn bado waliniita kazini

      mh MAGUMASHI HAYA LIVE EATV

    4. #3
      Bushbaby's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Posts : 1,461
      Rep Power : 722
      Likes Received
      283
      Likes Given
      148

      Default Re: Nilivurunda interview yao lkn bado waliniita kazini

      waliozunguka miaka zaidi ya mitatu wanatafuta kazi...hata kibarua au Kujitolea wakiona Post yako na jinsi ulivyochezea nafasi.....Wakikulaani mi nitaona poa tu!!!!
      Baba Mtu likes this.
      Never Judge any one because you never know how their life is and what they are going through

    5. #4
      Asterisk's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Posts : 215
      Rep Power : 394
      Likes Received
      49
      Likes Given
      107

      Default Re: Nilivurunda interview yao lkn bado waliniita kazini

      Quote By mmteule
      wanajamvi wenzangu najua sote tutafutao kazi ipo siku tutapata na haya yoote yanayotupata kipindi hiki kigumu yatabaki stori, hata sisi ambao tulishapata bado tunaangalia green pasture ndo maana kutafuta kazi kwa msomi ni safari isiyo na mwisho..... Katika harakati zangu za kutafuta kazi niliitwa interview na jeshi la polisi kufanya interview kule kilwa road, kwakweli sitasahau wadau.....nilikuwa natoa majibu ambayo yamebeba ujumbe ambao unamchoma mwajili yaani polisi.
      Swali la kwanza .... Kwanini wewe ndiye hauko smart umevaa fulana chafu halafu chini umevaa sendoz unamaanisha nini.... Honestlly nilijibu...jeshi la polisi lina sare zake, kwahiyo namaanisha niko tayari kuvaa magwanda hata leo, over..... Woooote watano wakacheka sana... Wakakaa kimia kwa muda.
      Swali la pili....... Wewe vyeti vyako vinaonesha ulikuwa kiongozi wa serikali ya wanafunzi chuoni kwako, then chuo chako kimegubikwa na migomo mingi sana.... Je hiyo inaaashiria nini? Nikaanza kutiririka siku zote haki na usawa haviji bila kulichimba kwa nchi zetu hizi za dunia ya tatu zilizojaa ufisadi, rushwa na ukiukwaji wa haki za binadamu likiwemo jeshi lenu la polisi...... Duh.... Kidogo wanitie pingu....ukawa mzozo mle ndani. Then ukaisha tukaendelea.....

      Inshort nilikuwa najibuu kwa kuwachoma.....amini usiamini mwisho wa siku niliiitwa kazini kwenda ccp moshi, ingawa nilikacha. Sasa nimekuwa nikijiuliza walinipate nafasi kwa majibu hayo ya kifedhuli????
      mkuu font size ni ndogo sana.
      Aine likes this.

    6. #5
      KakaJambazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2009
      Posts : 4,300
      Rep Power : 2739
      Likes Received
      1084
      Likes Given
      935

      Default Re: Nilivurunda interview yao lkn bado waliniita kazini

      Interview ya kiswahili au kiingereza?? labda ndo mana ulijiamini.

      Vinginevyo,,ze ,ze ,zingekua nyingi.
      ,,,,,,,,Jisachi

    7. Miaka 50

    8. #6
      yaser's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd January 2012
      Posts : 949
      Rep Power : 634
      Likes Received
      137
      Likes Given
      2

      Default Re: Nilivurunda interview yao lkn bado waliniita kazini

      kuna msanii mmoja marehemu kwa sasa alishawahi kuimba nyimbo inaitwa SIFA ZA KIJINGA..naomba mdau anayefuata anipe jina la huyu msanii.

    9. #7
      DullyJr's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 10th April 2011
      Location : Mbeya
      Posts : 200
      Rep Power : 0
      Likes Received
      24
      Likes Given
      3

      Default Re: Nilivurunda interview yao lkn bado waliniita kazini

      Mr Ebbo...!
      Alifu akaongezaga na moja inaiywa "ganja bana"

    10. #8
      Man KKK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Location : Ndani ya Laptop
      Posts : 788
      Rep Power : 517
      Likes Received
      94
      Likes Given
      45

      Default Re: Nilivurunda interview yao lkn bado waliniita kazini

      Alafu aliongeza Maneno mbofumbofu nachanganya....
      Ebu tutolee maneno mbofumbofu apa we kamongo

    11. #9
      Ndechumia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2011
      Posts : 773
      Rep Power : 551
      Likes Received
      136
      Likes Given
      304

      Default Re: Nilivurunda interview yao lkn bado waliniita kazini

      sas weye wajiona mjanja sana?, kwa dunia ya sasa hiv usichezee kazi, kama hiyo kazi ulikuwa unamahitaji nayo usingeomba ili wapewe wenye mahitaji si kama ulivyofanya ww.

    12. #10
      Kilahunja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2011
      Posts : 935
      Rep Power : 562
      Likes Received
      161
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By Ndechumia
      sas weye wajiona mjanja sana?, kwa dunia ya sasa hiv usichezee kazi, kama hiyo kazi ulikuwa unamahitaji nayo usingeomba ili wapewe wenye mahitaji si kama ulivyofanya ww.
      best usimsikilize huyo ni muongo sana, familia yake imemtenga kwa tabia zake za umagumashi.

    13. #11
      Syosaamenye's Avatar
      Member Array
      Join Date : 7th June 2012
      Posts : 70
      Rep Power : 364
      Likes Received
      4
      Likes Given
      36

      Default Re: Nilivurunda interview yao lkn bado waliniita kazini

      we chizi kweli hautafuti kazi unatuzingua tu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

    14. #12
      Sizinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2007
      Location : Mars
      Posts : 3,939
      Rep Power : 1432
      Likes Received
      1510
      Likes Given
      1619

      Default Re: Nilivurunda interview yao lkn bado waliniita kazini

      Haa Arooooo turikuwa tunakutafura..rireee rijitu rimeenda wapi...aise tumekukamata!!
      GESI KWANZA KOROSHO BAADAE!!

    15. #13
      Kipimbwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th July 2011
      Posts : 269
      Rep Power : 449
      Likes Received
      29
      Likes Given
      20

      Default Re: Nilivurunda interview yao lkn bado waliniita kazini

      Kanjibayi bana

    16. #14
      Aine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Location : Tz
      Posts : 1,141
      Rep Power : 662
      Likes Received
      263
      Likes Given
      524

      Default Re: Nilivurunda interview yao lkn bado waliniita kazini

      uswahilini kuna vitukoooo!! ebwana ee uswahili kuna vituko!!!!!!!!

    17. #15
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,480
      Rep Power : 19785
      Likes Received
      4300
      Likes Given
      1248

      Default Re: Nilivurunda interview yao lkn bado waliniita kazini

      Uli teuliwa tu.

    18. #16
      georgeallen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Location : Seattle, WA, USA
      Posts : 2,052
      Rep Power : 0
      Likes Received
      516
      Likes Given
      260

      Default Re: Nilivurunda interview yao lkn bado waliniita kazini

      Based on your stupid/straight forward answers .......You probably were the lesser of the bunch hooligans interviewed.

    19. #17
      NDAMANDOO's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th May 2012
      Location : Pemba
      Posts : 119
      Rep Power : 377
      Likes Received
      20
      Likes Given
      27

      Default Re: Nilivurunda interview yao lkn bado waliniita kazini

      kutoa majibu ya kijinga ndio ujanja????????????? hacha hizo we!!!!!!!!!!!!!
      "ACHA KAZI UONE ILIVYO KAZI KUPATA KAZI"
      " MTAANI"

    20. #18
      s.fm's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th July 2009
      Posts : 661
      Rep Power : 635
      Likes Received
      101
      Likes Given
      31

      Default Re: Nilivurunda interview yao lkn bado waliniita kazini

      Pengine walikua wanahitaji mtu kama wewe...! haukujibu ki fedhuli hata kidogo..., kama sikosei wangekuweka magereza ukawe nyapara

    21. #19
      Leonard Robert's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2011
      Posts : 4,247
      Rep Power : 1262
      Likes Received
      522
      Likes Given
      175

      Default Re: Nilivurunda interview yao lkn bado waliniita kazini

      wewe ungeenda ukajua nini lengo.. Si ajabu ungepata kilema cha kudumu

    22. #20
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,342
      Rep Power : 7768
      Likes Received
      1545
      Likes Given
      1793

      Default Re: Nilivurunda interview yao lkn bado waliniita kazini

      Peleka huu Uzi chitchat hapa si mahali pake. Usiharibu Jukwaa tafadhali.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...