application zimetosha.
application zimetosha.
Last edited by lola; 5th June 2012 at 20:37.
hizo contact tunazimekia wapi.........?
Life is too short to waste time hating anyone.........
"Mchakato wa vazi la taifa kwenye nchi ya wavaaa mitumba"
mmmh! Sijui nyny mliosomea kuajiriwa!
Kwa walio interested, ni inbox haba JF,
include your email in your message, then i will send you instructions.
Kwa walio interested, ni
inbox haba JF,
include your email in your
message, then i will send
you instructions.
Weka instructions hapa watu wote waone, naweza kua interested sasa hivi nikakuinbox lakini instructions zikanishinda....kwani tatizo ninini kuweka instructions hapa? napata wasiwasi na hizo kazi zenyewe.
Kwa ulimwengu huu tulionao si kuficha mambo kiasi hicho....... This is no longer a global village but it is now a global room, nowhere, othing to hide.
Thanks
Pasipo maono watu huangamia
shida ni spam,
afterall, every thing is optional.
position available include: hotel waiter/res, car washers, room cleaners, cooks, baker,hairdresser, barber, drivers ,security ,nurses...etc.
Haaahaaa! Kwanini siri si uweke information zote wazi? Kuna kuingizana mjini siku hizi
We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
Ralph Waldo Emerson
Niambi info gani wataka fahamu?,zipo nyingi.
nchi gani? be careful job seekers.. these people may dumb you into sex slave business in Middle east & far east
"Chadema kinatumia alama ya vidole viwili kama manati, manati kamwe haiwezi kuua tembo" Livingstone Lusinde (2012)
Achaneni na '@./",...Huyo,anatupotezea muda ,au hajui sheria za JF ngoja tumpigie campaign wam-ban.
inchi ni canada,
Ur not sure about wot ur talking about why are you hiding things kuwa muwazi hata kama upo serious hutaaminiwa hapa JF
Follow Us Here