Mimi ni mmojawapo wa watu tuliofanya interview huko wilaya ya Iramba na walidai kuwa wangetujulisha baada ya wiki moja kupita. Naona wiki imepita na bado kimya, kama kuna mtu ana taarifa zozote naomba anijuze basi.
Mimi ni mmojawapo wa watu tuliofanya interview huko wilaya ya Iramba na walidai kuwa wangetujulisha baada ya wiki moja kupita. Naona wiki imepita na bado kimya, kama kuna mtu ana taarifa zozote naomba anijuze basi.
Umekosa mkuu,jaribu sehemu nyingine
pole mkuu bahati mbaya nadhani umekosa, dada yangu kapewa hiyo kazi km nafasi ilikuwa moja, alipigiwa majuzi.
pole mjomba ndiyo maisha yalivyo
Follow Us Here