Re: Kampuni mpya ya kuajiri imefunguliwa

By
AMARIDONG
UTAKUWA UNATUMIA MODEM WEWE NA MODEM IMESIHA HELA MIMI NIKO KWA WEBSITE SASA NAANGALIA OFISI MPYA YA PATAKAZI ILIVYOPANGIKA ,
ACHA UTANI KWA MAMBO YA MSINGi
Acha utani wewe. Hizo totuvi hazipatikani. Hazipo hewani.

By
patakazi
MMESHATOKA KUOSHA VYOMBO SASA MNAKUJA KIVINGINE EEEH??CHEK NA HUYO MHINDI WA IT HAPO AKUSAIDiE
Mhm ndio treatment ya potential customer? Kaazi kweli kweli.
Mie nimeuliza kwa wema kabisa mbona hizo websites hazipo hewani.
“Wanaotaka kuhashua wanatoa rushwa. Wanaotaka kuhashukwa nao wanataka rushwa. Hahashukwi mtu bila rushwa, na mtu hahashui bila rushwa na hapo ndipo tatizo lilipo.” - Mie mwenyewe.
Follow Us Here