Guardian la Ijumaa 4-May-2012 kuna tetesi wametangaza kazi za Bandari Tanzania......
Mwenye gazeti atujulishe je hizo kazi zipo kwenye gazeti hilo au aliyeniambia hakuwa na uhakika?
Tusaidiane hii taarifa.
Guardian la Ijumaa 4-May-2012 kuna tetesi wametangaza kazi za Bandari Tanzania......
Mwenye gazeti atujulishe je hizo kazi zipo kwenye gazeti hilo au aliyeniambia hakuwa na uhakika?
Tusaidiane hii taarifa.
ni kweli nimeziona
Wametangaza nafasi za:
1 Senior network admnistrator.
2 Senior system admninstrator.
3 Senier database adminstrator.
Kwa habari zaid tembelea Tayoa employment portal.
Nimeshindwa namna ya kukopi na kuleta humu si unajua tena hi tech.
VUA GAMBA,PASUA GWANDA,VAA UZALENDO! HAKUNA MBWEMBWE KATIKA UKOMBOZI WA RASILIMALI ZA NCHI!
USIMMWAGIE CHUMVI KONOKONO ASIYE NA GAMBA!!!
Follow Us Here