Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Niletee CV yako haraka!!!! nikafurahi

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 30
    1. #1
      msani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : Kitaa
      Posts : 307
      Rep Power : 467
      Likes Received
      53
      Likes Given
      95

      Default Niletee CV yako haraka!!!! nikafurahi

      katika harakati za kutafuta kazi nilikutana na rafiki yangu ambaye tulisoma naye shule moja olevel,akaamua kunipigia pande kwa jamaa mmoja benki!!
      nikaambiwa nipelekee cv haraka,kweli siku ya j3 30/4/2012 mchana huku mvua ikininyeshea nilijikuta maeneo ya posta nikitafuta hiyo benki niweze kumpa jamaa cv yangu,mie nina degree ya finance and investment!!!
      jioni yake nilipigiwa simu na rafiki yangu kuwa sijakidhi vigezo vyao kwa kuwa nina D ya english ya olevel,eti nilitakiwa kuwa na angalau C ingawa kwenye kigezo cha hesabu nimefaulu kwani nina B ya olevel na kufanya vizuri kwenye kozi za hesabu za chuo,na pia uwezo wa kufanya kazi ninao kwakweli,ila sbb ya D ya english nimekosa kupewa nafasi!!!!yaani nimeshangaa sana na kuona kuwa wapo wengi wanakosa kazi kwa sbb tu hawa ma-hr ni mbumbumbu wa kutosha!!!!!!sijielewi mpaka sasa maana nikikumbuka nacheka mwenyewe!!!


    2. #2
      JERYSON's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 265
      Rep Power : 435
      Likes Received
      69
      Likes Given
      2

      Default Re: Niletee CV yako haraka!!!!!!!nikafurahi

      Afadhali kumbe kama unacheka! Mi nilijua utakuwa umehuzunika kwa kukosa job opp.

    3. #3
      The Listener's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2012
      Posts : 483
      Rep Power : 468
      Likes Received
      99
      Likes Given
      18

      Default Re: Niletee CV yako haraka!!!!!!!nikafurahi

      hata kupata kazi hapa kwetu Tanzania leo hii ni kazi. Pole sana mkuu ila endelea kupambana
      msani likes this.

    4. #4
      Ndachuwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2006
      Location : ARUSHA
      Posts : 2,685
      Rep Power : 1222
      Likes Received
      551
      Likes Given
      425

      Default Re: Niletee CV yako haraka!!!!!!!nikafurahi

      msani usicheke mwenyewe; kama mpo kumi kwenye nafasi moja na degree moja njia ya kuwapunguza ndiyo hiyo
      msani likes this.
      "Effective leadership is not about making speeches or being liked; leadership is defined by results not attributes" Peter Drucker

    5. #5
      Wingu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 4,063
      Rep Power : 1239
      Likes Received
      257
      Likes Given
      41

      Default Re: Niletee CV yako haraka!!!!!!!nikafurahi

      We hujui tuu hata kama ungekuwa na hiyo c ungeambiwa inatakiwa b yaani ni full maumivu labda alishindwa kukuomba rushwa hapo.


    6. #6
      Abdulhalim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Location : Taipei 101
      Posts : 15,866
      Rep Power : 3799
      Likes Received
      1230
      Likes Given
      593

      Default Re: Niletee CV yako haraka!!!!!!!nikafurahi

      Huna vigezo, ndio bottom line wakati wenzako wako class wakula kingredha wewe unazungukia mademu na kuvuta bange..sasa huu ndio wakati wa mavuno.
      Mentor and Likwanda like this.
      Moola's the motive

    7. #7
      msani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : Kitaa
      Posts : 307
      Rep Power : 467
      Likes Received
      53
      Likes Given
      95

      Default Re: Niletee CV yako haraka!!!!!!!nikafurahi

      Quote By JERYSON View Post
      Afadhali kumbe kama unacheka! Mi nilijua utakuwa umehuzunika kwa kukosa job opp.
      siwezi kuhuzunika ndg yangu,ila nimecheka kwa sbb zilizotolewa utadhani nilikuwa nimetuma maombi ya kujiunga na chuo,kazi nitapata tu hata kama sio leo basi kesho,sioni sbb ya kuhuzunika kwani kuhuzunika hakunipi kazi mkuu
      Foundation likes this.

    8. #8
      msani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : Kitaa
      Posts : 307
      Rep Power : 467
      Likes Received
      53
      Likes Given
      95

      Default Re: Niletee CV yako haraka!!!!!!!nikafurahi

      Quote By Abdulhalim View Post
      Huna vigezo, ndio bottom line wakati wenzako wako class wakula kingredha wewe unazungukia mademu na kuvuta bange..sasa huu ndio wakati wa mavuno.
      dah mkuu umenimaliza kabisa,hahahahaahah yaani hiyo kitu siijui kabisa na sijawahi,sait kayumba labda!!!!
      acha kuua namna hiyo bana mie ishakosa kazi kwa hiyo kiigeresaaaa
      Abdulhalim and Likwanda like this.

    9. #9
      msani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : Kitaa
      Posts : 307
      Rep Power : 467
      Likes Received
      53
      Likes Given
      95

      Default Re: Niletee CV yako haraka!!!!!!!nikafurahi

      Quote By Mzinga View Post
      We hujui tuu hata kama ungekuwa na hiyo c ungeambiwa inatakiwa b yaani ni full maumivu labda alishindwa kukuomba rushwa hapo.
      siwezi kutoa rushwa kaka,labda hapo ndio pagumu,nitaendelea na shughuli zangu za kitaa mpaka nitakapopata kazi halali ambayo nitaridhika nayo na kuifanya kwa amani
      TOKOMEZA RUSHWA KUIJENGA TANZANIA SAFI

    10. #10
      msani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : Kitaa
      Posts : 307
      Rep Power : 467
      Likes Received
      53
      Likes Given
      95

      Default Re: Niletee CV yako haraka!!!!!!!nikafurahi

      Quote By The Listener View Post
      hata kupata kazi hapa kwetu Tanzania leo hii ni kazi. Pole sana mkuu ila endelea kupambana
      asante mkuu.hizi ndio changamoto za ajira

    11. #11
      Elli's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 9,022
      Rep Power : 2645
      Likes Received
      2321
      Likes Given
      2103

      Default Re: Niletee CV yako haraka!!!!!!!nikafurahi

      Unaongea kiingeresa mbofu mbofu pole mpwa
      Pakawa and msani like this.

    12. #12
      Tausi Mzalendo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd May 2010
      Location : Solomon Island
      Posts : 1,457
      Rep Power : 891
      Likes Received
      681
      Likes Given
      865

      Default Re: Niletee CV yako haraka!!!!!!!nikafurahi

      Quote By Abdulhalim View Post
      Huna vigezo, ndio bottom line wakati wenzako wako class wakula kingredha wewe unazungukia mademu na kuvuta bange..sasa huu ndio wakati wa mavuno.
      Pamoja na kutoukubaliana na "lugha" uliyotumia hapo kwenye bold, kumfikishia ujumbe huyu mwenzetu, nimefurahi kuwa umegusa penyewe haswa! HANA SIFA/VIGEZO full stop!
      Aache kulalamika kama vile ana haki kupanga vigezo vya mwajiri!
      Asome zaidi hapa:
      Ugumu wa kupata kazi partly tunajitakia wenyewe.........
      "You were born an original. Don't die a copy." —John Mason

    13. #13
      Gwankaja Gwakilingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th January 2012
      Location : Masoko Busisya
      Posts : 1,230
      Rep Power : 619
      Likes Received
      338
      Likes Given
      34

      Default Re: Niletee CV yako haraka!!!!!!!nikafurahi

      da comrade nami nina D ya english nimeshtuka sana lakini usijali comrade wataisha wenye c tutabaki wenye D na tutapata kazi tu
      msani likes this.
      kwa pamoja ni lazima twende mbali zaidi ya maneno yetu...........039.mac

    14. #14
      Ndechumia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2011
      Posts : 793
      Rep Power : 559
      Likes Received
      137
      Likes Given
      326

      Default Re: Niletee CV yako haraka!!!!!!!nikafurahi

      dah pole kamanda, endelea kupambana usichoke
      msani likes this.

    15. #15
      msani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : Kitaa
      Posts : 307
      Rep Power : 467
      Likes Received
      53
      Likes Given
      95

      Default Re: Niletee CV yako haraka!!!!!!!nikafurahi

      Quote By Elli View Post
      Unaongea kiingeresa mbofu mbofu pole mpwa
      hii engeresa yangu ipo mbovu mkuu,mpaka nikapata D,hii noma ila nshukuru ardhi university walinikubali na kumaliza huku nikijibu mitihani yao yote ndani ya miaka mi4 kwa hii engeresa yangu mbovu....hahahahah pamoja ila ndo changamoto

    16. #16
      Abdulhalim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Location : Taipei 101
      Posts : 15,866
      Rep Power : 3799
      Likes Received
      1230
      Likes Given
      593

      Default Re: Niletee CV yako haraka!!!!!!!nikafurahi

      Quote By Tausi Mzalendo View Post
      Pamoja na kutoukubaliana na "lugha" uliyotumia hapo kwenye bold, kumfikishia ujumbe huyu mwenzetu, nimefurahi kuwa umegusa penyewe haswa! HANA SIFA/VIGEZO full stop!
      Aache kulalamika kama vile ana haki kupanga vigezo vya mwajiri!
      Asome zaidi hapa:
      Ugumu wa kupata kazi partly tunajitakia wenyewe.........
      Tausi,

      Nilikuwa namtania tu huyu mleta uzi, hata yeye mwenyewe ameelewa kuwa ni utani.
      Kwa jinsi nilivyomuelewa huyu mtu aliyechukua vyeti na CV ya jamaa ni another msanii tu. Nimeshakutana nao wengi sana kipindi kile nasota kitaa na mavyeti yangu. Kuna watu wanapenda waonekane wanaouezo wa kufukuza na kuajiri ili wapate sifa za kijinga kwa mashori, etc, wakati they don't call shots, ni vidampa tu. Nimeshapotezewa muda na pesa na watu kama hao mara kibao, wengine tena ni ndugu na marafiki. Ndo bongo darisalama, mdau ashukuru tu hakutolewa upepo au hakutapeliwa chochote.
      TANMO and msani like this.
      Moola's the motive

    17. #17
      king'amuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th January 2011
      Location : Tanzania
      Posts : 420
      Rep Power : 512
      Likes Received
      88
      Likes Given
      129

      Default Re: Niletee CV yako haraka!!!!!!!nikafurahi

      hapo alimaanisha tafuta fungu la kusafisha kiingereza uingie kazini mkono mtupu hailambwi
      usipoteze muda Kuwasha moto juu ya Maji!

    18. #18
      Penguin-1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2012
      Location : Kyannumbu Avenue
      Posts : 349
      Rep Power : 429
      Likes Received
      48
      Likes Given
      283

      Default Re: Niletee CV yako haraka!!!!!!!nikafurahi

      Yai Gumu jamani
      "Be not afraid!" Giovanni Paolo Segundo

    19. #19
      msani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : Kitaa
      Posts : 307
      Rep Power : 467
      Likes Received
      53
      Likes Given
      95

      Default Re: Niletee CV yako haraka!!!!!!!nikafurahi

      Quote By Penguin-1 View Post
      Yai Gumu jamani
      unamaanisha nini Penguin?

    20. #20
      msani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : Kitaa
      Posts : 307
      Rep Power : 467
      Likes Received
      53
      Likes Given
      95

      Default Re: Niletee CV yako haraka!!!!!!!nikafurahi

      Quote By king'amuzi View Post
      hapo alimaanisha tafuta fungu la kusafisha kiingereza uingie kazini mkono mtupu hailambwi
      dah mbona hata hela sina ya kuhonga!!!!!

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...