Kwa wale walioomba nafasi mbalimbali za kazi katika wizara ya afya na ustawi wa jamii (kada za afya),majina na vituo vya kazi yametolewa kwenye tovuti ya wizara hiyo ambayo ni www.moh.go.tz
Kwa wale walioomba nafasi mbalimbali za kazi katika wizara ya afya na ustawi wa jamii (kada za afya),majina na vituo vya kazi yametolewa kwenye tovuti ya wizara hiyo ambayo ni www.moh.go.tz
"THE REVOLUTION IS NOT AN APPLE THAT FALLS WHEN IT IS RIPE,YOU HAVETO MAKE IT FALL" (CHE GUEVARA)
tunashukuru kwa taarifa mkuu
"The person who says it cannot be done should not interrupt the person doing it."
Thanks mkuu
Asante kwa taarifa! Ila tangazo lina mapungufu mengi tu... Ni vigumu kuamini kama limeandalikwa kutoka wizarani???!
Ubarikiwe mkuu
"Makalio ya sufuria hayaogopi moto"
Poa mkuu.
poa mkuu
Asante mkuu, mbona nimecheki sijapat hiyo orodha?
mbona hakuna hayo majina unayosema kwenye website ya wizara ya afya? tuweke wazi ili tujue basi
..wakubwa kazi hamna kwa sasa wizara haihitaji wafanyakazi
kama kweli ingekuwa inahitaji tokea wengine mmemaliza internship zenu tokea mwaka juzi mngekuwa mpo mtaani bila kazi??dah hii ndo tanzania liwalo na liwe ndo mana ya ule msemo aliosema bungeni
Follow Us Here