Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Waajiri wanaotaka pasipoti kwanza

    Report Post
    Results 1 to 6 of 6
    1. #1
      luck's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd October 2009
      Posts : 162
      Rep Power : 522
      Likes Received
      19
      Likes Given
      6

      Default Waajiri wanaotaka pasipoti kwanza

      kumekuwa na katabia ka waajiri walio wengi hasa wa mashirika/taasisi ya serikali kudai mwombaji aweke picha (mara nyingi picha moja au mbili) pindi wanapotangaza nafasi za kazi kwenye vyombo ivyo. mi nashindwa kuelewa hizo picha ni za nini hasa ukizingatia kuwa waombaji walio wengi huchujwa na kuachwa ktk hatua za awali tu. Hi sio ni kuchezea hela za watu tu?

      Kumtaka mtu alete picha ni kumnyima haki mwombaji kwa sababu ya gharama ya pesa na muda wa upatikanaji wa picha hasa ukizingatia wanataka pia umwone mwanasheria wa kuhakiki vyeti.

      Labda mnisaidie wadau hizo ndo sheria za uajili au ni utaratibu tu ambao mtu anaamka nao. Mtazamo wangu hii sio haki kabisa hasa kwa mtu aliye mtaani na anatafuta kazi.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Lokissa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Location : Goba
      Posts : 4,091
      Rep Power : 5807
      Likes Received
      1024
      Likes Given
      2876

      Default Re: waajiri wanaotaka pasipoti kwanza

      picha ni kama utambulisho wako, ni muhimu sana hasa unapoomba kazi
      ni utaratibu mzuri unachohofia ni nn? hata vyuo nk lazima uweke picha
      kuepuka kudanganya.labda kama ww una historia mbaya ya makosa ya jinai ndio unahofia ama sivo? acha woga hiyo sera ktk sekta ya utumishi.
      You may know me but you have no Idea who I am !

    4. #3
      Sita Sita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th August 2008
      Location : Jamii Forums
      Posts : 871
      Rep Power : 722
      Likes Received
      91
      Likes Given
      99

      Default Re: waajiri wanaotaka pasipoti kwanza

      Kama hutaki kazi usiweke Picha.
      If You Get Them by Their Balls,
      Their Minds and Hearts will Follow


    5. #4
      JamboJema's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 14th June 2011
      Location : Mwanza
      Posts : 742
      Rep Power : 550
      Likes Received
      75
      Likes Given
      216

      Default Re: Waajiri wanaotaka pasipoti kwanza

      Kwa akili ya kawaida tu, picha inasaidia kufuatilia kujua huyu anayeomba kazi ndiye tunayemfanyia usaili na ndiye tutakayemwajiri. Picha muhimu hasa katika kipindi hiki mnachojitahidi kuchakachua kila kitu. Usigome...live your life!
      Uchakavu wa Mahakama si nafuu ya hukumu!

    6. #5
      Norshady's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 3rd December 2011
      Posts : 8
      Rep Power : 378
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Waajiri wanaotaka pasipoti kwanza

      Wanamaliza passport photograph zetu hawa, bora tuwetunapeleka hz pcha pale tunapoitwa kwnye interview.

    7. Miaka 50

    8. #6
      shizukan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th January 2011
      Posts : 1,160
      Rep Power : 843
      Likes Received
      533
      Likes Given
      219

      Default Re: Waajiri wanaotaka pasipoti kwanza

      Hakuna sheria yeyote ya kazi inayomtaka mwombaji aweke picha yake kwenye barua ya maombi. Ikiwa mwajiri anahitaji picha basi hilo hutakiwa kufanywa na wale walio short-listed au, wanaoajiriwa tayari. Na tukumbuke kwa sheria za nchi nyingine, ni makosa kuweka picha yako kwenye CV kama unaomba clerical post ambayo si yenye kuhusika na customer care. The employer should not be attracted to ones personal appearance.

      Labda nachoweza kukisia ktk hili ni udhibiti wa umri. Japo sioni kama ndio njia, lkn kwa akili zetu za kupandisha bei ya mafuta ya taa kuzuia uchakachuaji lolote laweza kuwa jibu sahihi. Kwa hiyo niconclude tu kuwa huo ni ufukunyuku wa kutaka kuwaangalia watu sura. Ole wetu wenye sura kama Sikamona
      "You know you are in Tanzania whenyour president believes traffic jam is anindicator of development!" Dr. Wilbrod Peter Slaa

    Similar Topics

    1. Wanaotaka Muungano Uvunjike watoke kwanza Bungeni na BLW
      By Mzee Mwanakijiji in forum Great Thinkers
      Replies: 152
      Last Post: 21st July 2011, 12:17
    2. Wanaotaka Muungano Uvunjike watoke kwanza Bungeni na BLW
      By Mzee Mwanakijiji in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 152
      Last Post: 21st July 2011, 12:17
    3. Angalia waajiri hawa
      By damian marijani in forum Jokes/Utani + Udaku/Gossips
      Replies: 1
      Last Post: 7th April 2011, 07:45
    4. Pasipoti zetu
      By Ogah in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 8
      Last Post: 17th August 2009, 19:34
    5. Kupata pasipoti ya kusafiria
      By Sipo in forum Matangazo madogo
      Replies: 21
      Last Post: 1st August 2009, 11:43

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...