Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nimeitwa interview kupitia zoom , lakini wizi mtupu

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 45
    1. #1
      Tychicus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2010
      Posts : 1,057
      Rep Power : 642
      Likes Received
      152
      Likes Given
      154

      Default Nimeitwa interview , lakini wizi mtupu

      HONGERA!KIBACHA COMPUTER TRAINING CENTER IMEKUCHAGUA KUINGIA KATIKA SHORT LIST YA WATU WATAKAO FANYA INTERVIEW TAR 1/12/2011.Baada ya kufanya uchambuzi wa kina, wewe umukua miongoni mwa watu sabini (70) tulioona kua wana vigezo vyote kuja kufanya kazi katika chuo chetu kama system analyst kama ulivyo omba. Hata hivyo miongoni mwa hao sabini, watu kumi na nane tu ndio watakaoajiriwa baada ya kupita interview yetu. Interview itafanyika ta 1/12/2011 kama ifuatavyo1/12/2011 – saa 2:00 asubuhi hadi saa 4: 00 asubuhi ;interview ya kuandika (writing interview). Saa 6:00 mchana hadi saa 8:00 mchana; interview ya mahijioano (oral interiew)2/12/2011 – saa 2:00 asubuhi hadi saa 10:00 jioni; interview ya vitendo (practical interview)3/12/2011 – kila alishiriki kwenye interview atapewa barua yenye matokeo ya interview pamoja na “kifuta jasho”.Watakaopita interview watatakiwa kureport kwa human resource manager jumatatu tar 5/12/2011saa 2:00 asubuhi ili kupewa maelekezo yote jinsi gani ya kuaanza kazi. Aidha, watakao pita interview watapewa wiki mbili kwa ajili ya kujiandaa pamoja na pesa ya kujikimu.Kwa kutambua kwamba wapo candidates wanao toka mbali, na ili kuepuka usumbufu ambao ulishawahi tokea awali, chuo kimeandaa hifadhi kwa interviewers wote katika hotel ya impala. Ili kuonyesha ukubali wako kwa wito wetu utatakiwa kufanya yafuatayo KABLA ya tar 30/11/2011 saa 10:30 jioni.Tuma jina lako kamili ulilotimia katika vyeti vyako, Namaba yako ya simu amabyo itapatikana muda wote pamoja na Tsh.10 000/- kwenye nama 0757 547874(pesa itumwe kwa M-pesa). Baada ya kufanya hayo utatumiwa SMS kukujulisha kwamba jina lako limekua recorded kwa interview. Utapigiwa simu jumanne tar 29/11 ili kukupa taratibu na namna gani ya kufika ARUSHA(pesa iliotajwa hapo juu itatumika kucover costs ndogo-ndogo ambazo hazikua kwenya badget yetu kama usafiri kutoka hotelini hadi interview center)Utatuwia radhi kwa kukushtukiza na uharaka wa namna hii. Tumefanya hivi ili kukimbizana na muda.Wako, S. K. Kihiyo 255 757 547874Human resource manager KIBACHA COMPUTER TRAINING CENTERZOOM TANZANIA KIBOKO.
      Last edited by Tychicus; 3rd December 2011 at 19:01.
      Craziness is doing the same thing and expecting a different result.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Sokwe Mjanja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th July 2009
      Posts : 473
      Rep Power : 12063
      Likes Received
      205
      Likes Given
      29

      Default

      Makubwa haki!

      Wajibu, waambie wakate hiyo elfu kumi katika zile laki 2 na hivyo utakapokwenda wakupatie laki na tisini tu
      Kadada, Matola and shizukan like this.

    4. #3
      Kingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th May 2009
      Posts : 372
      Rep Power : 585
      Likes Received
      54
      Likes Given
      108

      Default

      Hebu weka sawa maelezo ya heading na content. "Kwamba uliomba kazi kupitia tangazo la zoom ndo ukaitwa kwa usaili au ni zoom ndo wamekutumia ujumbe uende kwenye hiyo interview?
      Please ondoa ambiguity hiyo tuelewe.
      Tychicus likes this.
      GOOD TIMBER DOES NOT GROW WITH EASE. THE STRONGER THE WIND THE STRONGER THE TREES.

    5. #4
      kichwat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2010
      Posts : 1,044
      Rep Power : 692
      Likes Received
      215
      Likes Given
      24

      Default

      kuna dalili kibao za wizi. Buyer beware!
      Tychicus likes this.

    6. #5
      Tychicus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2010
      Posts : 1,057
      Rep Power : 642
      Likes Received
      152
      Likes Given
      154

      Default

      Quote By Kingo
      Hebu weka sawa maelezo ya heading na content. "Kwamba uliomba kazi kupitia tangazo la zoom ndo ukaitwa kwa usaili au ni zoom ndo wamekutumia ujumbe uende kwenye hiyo interview?
      Please ondoa ambiguity hiyo tuelewe.
      Hakuna kitu kigumu hapo mzee, hutaki kuelewa tuu.
      Matola likes this.
      Craziness is doing the same thing and expecting a different result.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Tychicus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2010
      Posts : 1,057
      Rep Power : 642
      Likes Received
      152
      Likes Given
      154

      Default

      Quote By kichwat
      kuna dalili kibao za wizi. Buyer beware!
      Utapeli mtupu, barua utafikili unaalikwa kwenye tamasha la taarabu??
      Craziness is doing the same thing and expecting a different result.

    9. #7
      Pitz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2011
      Posts : 4,969
      Rep Power : 1411
      Likes Received
      519
      Likes Given
      48

      Default

      Huo wizi wa wazi kabisa mkuu.

    10. #8
      CtVKiLaZA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2011
      Posts : 305
      Rep Power : 450
      Likes Received
      28
      Likes Given
      0

      Default

      Hao matapeli, achana nao

    11. #9
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,516
      Rep Power : 19751
      Likes Received
      5449
      Likes Given
      3641

      Default

      Miaka ya 80 utapeli huo walikuwa kwenye tangazo lao gazetini wanakuambia kwenye baruwa ya maombi uambatanishe na stempu kwa ajili ya kutumiwa majibu, kwahiyo watoto wa mjini walikuwa wanapokea maelfu ya baruwa na kuuzichana ila wao shida yao ni zile stempu tu na wanaenda kuziuza posta kwa mtu wao ambaye wamesuka wote dili.
      Kumtapeli MATOLA yahitaji uwe na extra skills.
      zumbemkuu and wa kutambua like this.
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    12. #10
      Narubongo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 1,886
      Rep Power : 811
      Likes Received
      842
      Likes Given
      680

      Default

      Quote By Tychicus
      Hata hivyo miongoni mwa hao sabini,watu kumi na nane tu ndio watakao ajiriwa baada ya kupita interview yetu.
      nacheka tu hapa
      "Chadema kinatumia alama ya vidole viwili kama manati, manati kamwe haiwezi kuua tembo" Livingstone Lusinde (2012)

    13. #11
      Mpangamji's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th May 2010
      Posts : 483
      Rep Power : 555
      Likes Received
      117
      Likes Given
      70

      Default Re: Nimeitwa interview kupitia zoom , lakini wizi mtupu

      Zoom! zoom akili yako

    14. #12
      NasDaz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2009
      Location : Ushenzini
      Posts : 3,104
      Rep Power : 5354
      Likes Received
      1469
      Likes Given
      1685

      Default Re: Nimeitwa interview kupitia zoom , lakini wizi mtupu

      Quote By Matola
      Miaka ya 80 utapeli huo walikuwa kwenye tangazo lao gazetini wanakuambia kwenye baruwa ya maombi uambatanishe na stempu kwa ajili ya kutumiwa majibu, kwahiyo watoto wa mjini walikuwa wanapokea maelfu ya baruwa na kuuzichana ila wao shida yao ni zile stempu tu na wanaenda kuziuza posta kwa mtu wao ambaye wamesuka wote dili.
      Kumtapeli MATOLA yahitaji uwe na extra skills.
      Dah!! Nakumbuka niliwahi kutapeliwa buku 6 nilipomaliza form six na jamaa fulani walikuwa wanajiita Metro Joblink pale Mtaa wa Pemba-Kariakoo kwenye jengo la Atecos. Nakumbuka form six kibao walipigwa changa macho hususani wale wa hapa dar.

      Nilikuja kushituka kwamba nimeliwa baada ya kurudi nyumbani na kujiuliza wale jamaa mbona wamechukua mpunga wangu (6,000/=) halafu hawajanipa risiti?! Siku ya pili nikarudi pale na kukuta washikaji na mademu kibao "wanasubiri ajira".

      Nikapita kimya kimya hadi ofisini kwao na kuanza kudai hela yangu na kuwatishia wakinizingua tu, namwaga sumu kwa washikaji hapo chini kwamba nyinyi ni matapeli!!!! Jamaa, kucheki sura yenyewe ngumu ikiwa na dalili zote za kutoka Tandika, wakaona mnh, jamaa atatuharibia huyu hivyo ikabidi wanirudishie mkwanja wangu.....taratiiiiiibu, nikasepa zangu!!!!
      I am a free thinker! It's only my free thinking that leads me, to what am commenting. Thus, I've no doubt that today I can be your fellow but tomorrow your enemy, and the agent between us being my comments!! So, If today we agree with cheers, tomorrow we'd not disagree with jeers!


    15. #13
      shizukan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th January 2011
      Posts : 1,160
      Rep Power : 843
      Likes Received
      533
      Likes Given
      219

      Default Re: Nimeitwa interview kupitia zoom , lakini wizi mtupu

      Quote By Tychicus
      Hakuna kitu kigumu hapo mzee, hutaki kuelewa tuu.
      Jambo gumu hapa ni kuelewa hizi lawama unaelekeza kwa nani, zoom tanzania (ambao kwa maoni yangu, tarishi hauwawi) au KIBACHA PC LONGOLONGO. It seems like huelewi kuwa sio zoom ndio waliokuita na kwa namna ulivyomaliza 'ZOOM TANZANIA KIBOKO' ni kuwachafua bila sababu.

      Hebu kuwa makini kidogo mdau, unaweza kufungwa in future.
      "You know you are in Tanzania whenyour president believes traffic jam is anindicator of development!" Dr. Wilbrod Peter Slaa

    16. #14
      shizukan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th January 2011
      Posts : 1,160
      Rep Power : 843
      Likes Received
      533
      Likes Given
      219

      Default Re: Nimeitwa interview kupitia zoom , lakini wizi mtupu

      Quote By NasDaz
      Dah!! Nakumbuka niliwahi kutapeliwa buku 6 nilipomaliza form six na jamaa fulani walikuwa wanajiita Metro Joblink pale Mtaa wa Pemba-Kariakoo kwenye jengo la Atecos. Nakumbuka form six kibao walipigwa changa macho hususani wale wa hapa dar. Nilikuja kushituka kwamba nimeliwa baada ya kurudi nyumbani na kujiuliza wale jamaa mbona wamechukua mpunga wangu (6,000/=) halafu hawajanipa risiti?! Siku ya pili nikarudi pale na kukuta washikaji na mademu kibao "wanasubiri ajira". Nikapita kimya kimya hadi ofisini kwao na kuanza kudai hela yangu na kuwatishia wakinizingua tu, namwaga sumu kwa washikaji hapo chini kwamba nyinyi ni matapeli!!!! Jamaa, kucheki sura yenyewe ngumu ikiwa na dalili zote za kutoka Tandika, wakaona mnh, jamaa atatuharibia huyu hivyo ikabidi wanirudishie mkwanja wangu.....taratiiiiiibu, nikasepa zangu!!!!
      Na ukakosa ajira
      "You know you are in Tanzania whenyour president believes traffic jam is anindicator of development!" Dr. Wilbrod Peter Slaa

    17. #15
      NasDaz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2009
      Location : Ushenzini
      Posts : 3,104
      Rep Power : 5354
      Likes Received
      1469
      Likes Given
      1685

      Default Re: Nimeitwa interview kupitia zoom , lakini wizi mtupu

      Quote By Tychicus
      HONGERA!

      KIBACHA COMPUTER TRAINING CENTER IMEKUCHAGUA KUINGIA KATIKA SHORT LIST YA WATU WATAKAO FANYA INTERVIEW TAR 1/12/2011.
      ................
      Wako,
      S. K. Kihiyo
      255 757 547874
      Human resource manager
      KIBACHA COMPUTER TRAINING CENTER

      ZOOM TANZANIA KIBOKO.
      Tatizo sio Zoom bana, tatizo ni wewe mwenyewe! We ushaona, jina lenyewe tu KIBACHA; wht's KIBACHA!!! Jina hata kuvutia halivutii!! Kwa jina kama hilo nisingehangaika hata kuangalia wametangaza nini. Hebu nitajie kampuni ya maana moja yenye jina la hovyo kama hilo!!! kwa watu ambao ni serious lazima wawe na Business/company name ambayo ipo sexy! Hivi wewe unaweza kutarajia demu anayeitwa Nantungwe awe mzuri?! Halafu abt Zoom, huna haja ya kuwalaumu....kwanza ushaambiwa "zoom"! kwani hujui ku-zoom ni ku-magnify image?! ukiona job post, just zoom it na ukijiridhisha kwamba ipo ok hata baada ya ku-zoom upo 1000% then apply it, otherwise, don't!

      totolucky likes this.
      I am a free thinker! It's only my free thinking that leads me, to what am commenting. Thus, I've no doubt that today I can be your fellow but tomorrow your enemy, and the agent between us being my comments!! So, If today we agree with cheers, tomorrow we'd not disagree with jeers!


    18. #16
      NasDaz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2009
      Location : Ushenzini
      Posts : 3,104
      Rep Power : 5354
      Likes Received
      1469
      Likes Given
      1685

      Default Re: Nimeitwa interview kupitia zoom , lakini wizi mtupu

      Quote By shizukan
      Na ukakosa ajira
      Nikakosa ajira lakini nikatoka na mkwanja wangu! Buku 6 man, unafanya masihara nini!!!
      totolucky likes this.
      I am a free thinker! It's only my free thinking that leads me, to what am commenting. Thus, I've no doubt that today I can be your fellow but tomorrow your enemy, and the agent between us being my comments!! So, If today we agree with cheers, tomorrow we'd not disagree with jeers!


    19. #17
      wa kutambua's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th November 2011
      Location : dar & njombe
      Posts : 25
      Rep Power : 386
      Likes Received
      3
      Likes Given
      3

      Default Re: Nimeitwa interview kupitia zoom , lakini wizi mtupu

      Quote By Matola
      Miaka ya 80 utapeli huo walikuwa kwenye tangazo lao gazetini wanakuambia kwenye baruwa ya maombi uambatanishe na stempu kwa ajili ya kutumiwa majibu, kwahiyo watoto wa mjini walikuwa wanapokea maelfu ya baruwa na kuuzichana ila wao shida yao ni zile stempu tu na wanaenda kuziuza posta kwa mtu wao ambaye wamesuka wote dili.
      Kumtapeli MATOLA yahitaji uwe na extra skills.
      mjini shule kwa staili hiyo!

    20. #18
      Vin Diesel's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st March 2011
      Posts : 5,866
      Rep Power : 19947
      Likes Received
      2792
      Likes Given
      1615

      Default Re: Nimeitwa interview kupitia zoom , lakini wizi mtupu

      Njaa huleta akili....
      Simulated Automated Breakthroughs....

    21. #19
      wa kutambua's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th November 2011
      Location : dar & njombe
      Posts : 25
      Rep Power : 386
      Likes Received
      3
      Likes Given
      3

      Default Re: Nimeitwa interview kupitia zoom , lakini wizi mtupu

      Quote By NasDaz
      Dah!! Nakumbuka niliwahi kutapeliwa buku 6 nilipomaliza form six na jamaa fulani walikuwa wanajiita Metro Joblink pale Mtaa wa Pemba-Kariakoo kwenye jengo la Atecos. Nakumbuka form six kibao walipigwa changa macho hususani wale wa hapa dar. Nilikuja kushituka kwamba nimeliwa baada ya kurudi nyumbani na kujiuliza wale jamaa mbona wamechukua mpunga wangu (6,000/=) halafu hawajanipa risiti?! Siku ya pili nikarudi pale na kukuta washikaji na mademu kibao "wanasubiri ajira". Nikapita kimya kimya hadi ofisini kwao na kuanza kudai hela yangu na kuwatishia wakinizingua tu, namwaga sumu kwa washikaji hapo chini kwamba nyinyi ni matapeli!!!! Jamaa, kucheki sura yenyewe ngumu ikiwa na dalili zote za kutoka Tandika, wakaona mnh, jamaa atatuharibia huyu hivyo ikabidi wanirudishie mkwanja wangu.....taratiiiiiibu, nikasepa zangu!!!!
      wewe ni nouma ila ulifanya ya msingi ungewaambia na wenzio bana hao jamaa matapel siwataki kabisa, mi mwenyewe natafuta kazi nimekuwa kama jinga yaan unaweza nitapeli hivi hivi, afu wanajamvi msijidanganye kuitwa kwenye kazi zinazotangazwa maana nimeona wanaitana kiundugu tuu, wanatangaza kama danganya toto tuu

    22. #20
      Husninyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th October 2010
      Posts : 17,201
      Rep Power : 24908
      Likes Received
      4197
      Likes Given
      638

      Default Re: Nimeitwa interview kupitia zoom , lakini wizi mtupu

      Mjini shule yombo darasa.

    Page 1 of 3 123 LastLast

    Similar Topics

    1. Wizi Mtupu!
      By klorokwini in forum JF Chit-Chat
      Replies: 98
      Last Post: 18th August 2011, 15:07
    2. wizi mtupu
      By omuka in forum Celebrities Forum
      Replies: 24
      Last Post: 23rd November 2010, 21:28
    3. Wizi Mtupu
      By Mndundu in forum Entertainment
      Replies: 1
      Last Post: 16th May 2010, 15:23
    4. Wizi mtupu
      By Shy in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 1
      Last Post: 14th March 2009, 11:22

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...