Kwa wale walioomba nafasi za kazi kupitia sekretariet ya Ajira zikiwemo nafasi za kazi za Mamlaka ya vitambulisho,check majina yenu,then nawatakieni kila la heri katika usaili.Mnatakiwa kujiandaa vizuri,usije ukadhani tayari umepata kazi.Fuatilieni threads kadhaa katika jukwaa hili zinazohusu mambo ya kuzingatia wakati wa usaili.
sekretarieti Usaili Machi -2[1].pdf

Reply With Quote



Follow Us Here