ujue ni wazi kuwa vichaa wanaongezeka siku hadi siku suala la uelewa wa mtu msilete kwenye chama kwani huo ni uelewa wake na hata hivyo kwa sasa bado hatujaona wa kushindana na ccm
huo ni ukweli chadema ni chama cha vurugu tena watu wa kuhadaa wananchi hata hivyo kwa sasa hakuna chama kinachoonekana kumuda uongoz wa nchi hii zaidi ya ccm
mbona mnatoka nje ya mada hivi ikitokea ccm imechukua urais mwezi wa kumi tareh 30 mwaka huu itakuwaje ila sishangai kwani kwenye kitongoji changu chadadema ilishinda wiki kabla ya uchaguzi hatima tukawacharaza tatu bila
. e bwana wabishi ni wengi mno ila kuna bwana alisema majibu baada ya mtihani hivyo wakiwa wamekodoa macho watamwona lowasa ikulu sijui siku watasemaje kazi kwenu mazee
kwanza usiweke mwanaume mbele kuliko mtt wako kwani hata ukiolewa huyo mwanaume atakaye kuoa atakutukana na huyo mtt mpk ndoa itakuwa chungu jipange kimaisha hayo mengine ni matokeo
nafikiri tatizo ni tamaa 2 na c vinginevyo hata hivyo kila moja ahakikishe mwenza wake kafurahia tendo kila wafanyapo mpnz ili kuepuka malalamiko yasiyo ya msingi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.