duuh jaman mume ongea yote ayo kwa udhaifu,ukamilifu na mapungufu ya mwanadamu kila mtu katoa kasoro ya mwenzie bt cjaona mkigusia sheria like watu wawili 2 ndo wameigusia kdogo so let us back to sheria aya wanasheria wasomi tuambieni chochote apo
jaman sheria ya kifo Tz ni bora isiwepo just imagine kama ndio wew umesomewa leo hukumu ya kifo alafu unaenda kuwekwa in custody ukisubiri unyongwe yan na kila cku hunyongwi ila uko pale ukijua kua unatakiwa unyongwe afu unakuja kunyongwa after 20years iv uyo mtu kipindi chote icho anachosubiri...
jaman wapendwa m nauhakika ata baadhi ya polisi wageni izo sheria hawazijui so wanajifunza kutoka kw waliowatangulia coz ukiwambia polisi kuwa ooh ibara ya 13, ibara ndogo ya 6/c ya katiba wanakwambia unajifanya msomi ndo wanazidisha nguvu yao! Ufanyike uchunguz jaman kwa ao polisi kama kweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.