JamiiForums |The Home of Great Thinkers - View Profile: Mtanzania

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Members List


Mtanzania has much to be proud ofMtanzania has much to be proud ofMtanzania has much to be proud ofMtanzania has much to be proud ofMtanzania has much to be proud ofMtanzania has much to be proud ofMtanzania has much to be proud ofMtanzania has much to be proud of

Mtanzania Mtanzania is offline

Mtanzania has no status.

JF Premium Member

Visitor Messages

Showing Visitor Messages 1 to 6 of 6
  1. Mtanzania
    7th April 2009 11:09 AM - permalink
    Mtanzania
    Uwiano Maalum,

    Mimi sasa nimejitambulisha kwa zaidi ya asilimia 80. Mtu yeyote ambaye nimewahi kufahamiana naye, akisoma maandishi yangu anajua mtanzania ni nani. Hata kwenye hili nilivyoandika mwanzoni ni wazi Dr. Apiyo na wengine wanajua mimi ndiye nimeandika. In fact hata amewasiliana na kusema asante kwa ku clarify baadhi ya mambo pale mwanzoni kuhusu uhusiano wa Dr. Apiyo na babake.

    Msimamo wangu juu ya hili nimeuandika hapa JF mara nyingi sana. Ni mpinzani wa kuua huduma zetu na kukimbilia nje.

    Hicho ndio nilitaka kukuambia kwamba naunga mkono mawazo yako lakini kwenye hili sitatoa comments kule kwasababu ya kutokumwumiza Dr. Apiyo ambaye tunafahamiana na anauguliwa na kufiwa na dadake. Nitaendelea kuandika wakati mwingine.

    Hicho tu ndio nilitaka kukuambia mkuu. Unaweza usikubaliane na mawazo yangu.
  2. Uwiano Maalum
    7th April 2009 01:06 AM - permalink
    Uwiano Maalum
    Nimeona visitor message yako kwangu kuhusu Kiongozi mstaafu aneugulia kule kwa Zuma.

    Kwanza, nafurahi kuona kuna watu wanaelewa kwamba sio vizuri viongozi wakiwa wanakimbilia kutibiwa nje wakiwaacha wananchi wanakufa kwa kukosa dawa za magonjwa yanayotibika kama Malaria.

    Lakini Mtanzania, sikuelewi unaposema unafahamiana na ndugu za yule Mzee kwa hiyo usingependa kuwaongezea masikitiko ndio maana umeficha mawazo yako huku. Jamaa wanajua wewe ndio "Mtanzania"?

    Kama hawajui ila tu unawaonea huruma basi huna uchungu wa kweli na mali za umma zinavyotumika kuhudumia wachache. Wengine pia tuna jamaa na marafiki uongozini huko wanakamua na tunawasema nyuma ya hizi pseudo names zetu. Sasa kama tunatumia majina bandia na bado tunaogopa hapo sasa hatuna uzalendo.

    Viongozi wanapojipatia luxury ya matibabu nje ambayo wananchi hawapati huo sio utu.
  3. FairPlayer
    17th March 2009 07:37 PM - permalink
    FairPlayer
    Kaka za masiku? upo? sie wazima naona unakata issue kwa kwenda mbele, safi sana.
  4. Kibunango
    25th December 2008 04:49 AM - permalink
    Kibunango
    Happy Holidays...
  5. SteveD
    25th December 2008 03:43 AM - permalink
    SteveD
    Wasalim wote hapo home kaka.... Nawatakia sikukuu njema wote. steve
  6. Mwathirika
    20th December 2008 12:05 PM - permalink
    Mwathirika
    Do you realize how vital you were on 2008? To friends! To family! To co-workers! And mostly to God?
    I wish you the best 2009 and all your goals be attained. I pray... Amen

About Me

  • About Mtanzania
    Location
    UK

Statistics

Total Posts
Visitor Messages
Total Thanks
General Information
  • Last Activity: Yesterday 07:24 PM
  • Join Date: 4th May 2006
  • Referrals: 6

Friends

Showing Friends 1 to 5 of 5

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 01:58 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com