Uwiano Maalum,
Mimi sasa nimejitambulisha kwa zaidi ya asilimia 80. Mtu yeyote ambaye nimewahi kufahamiana naye, akisoma maandishi yangu anajua mtanzania ni nani. Hata kwenye hili nilivyoandika mwanzoni ni wazi Dr. Apiyo na wengine wanajua mimi ndiye nimeandika. In fact hata amewasiliana na kusema asante kwa ku clarify baadhi ya mambo pale mwanzoni kuhusu uhusiano wa Dr. Apiyo na babake.
Msimamo wangu juu ya hili nimeuandika hapa
JF mara nyingi sana. Ni mpinzani wa kuua huduma zetu na kukimbilia nje.
Hicho ndio nilitaka kukuambia kwamba naunga mkono mawazo yako lakini kwenye hili sitatoa comments kule kwasababu ya kutokumwumiza Dr. Apiyo ambaye tunafahamiana na anauguliwa na kufiwa na dadake. Nitaendelea kuandika wakati mwingine.
Hicho tu ndio nilitaka kukuambia mkuu. Unaweza usikubaliane na mawazo yangu.