Kabla ya Gwaride halijaanza jana mida ya saa kumi alfajiri huku kwetu kwao tisa mchana... ilifangulia hotuba ya kuionya Marekani kuwa jaribio lolote la kuishambulia DPK litajibiwa kwa Shambulio la Nyuklia hapo ilikua bado hawajaonesha hayo makombora yao. Baada ya gwaride kila mtu akashika kidevu...
Ndio Break News kwa sasa all over the World ila Kim mjeuri jaman khaa..!!
America won't do anything as even themselves were aatonished and suprised to see North Korea had missiles tena Submarine capable of being launched to every corner of Washington! Wamekiri hawakuwa wanafahamu so Trump no...
Ukisema Satellite mbona kuna nchi muhimu kmaa France unaiacha, China, Italy, kwa kifupi nchi nyingi zina Satellites halafu kama nia yako ni kuzungumzia Silaha za Nyuklia basi tuondolee Ukraine kwenye list na ukiacha USA na Russia hakuna mwingine mwingine aliyefanya Independntly.
Kuna tofauti...
Malawi developing nuclear weapons kwa uchumi gani walionao..?? kwa technolojia gani waliyonayo..?? kwa wataalamu gani walionao..?? Iran wenyewe ilibidi waombe kibali IAA kununua technology Russia.. China did the same... Pakistan and India also same sasa hawa Malawi wana struggle na Mahindi...
Ndege zimenunuliwa kupandisha soko la utalii ili tushindane na wenzetu wa afrika mashariki Rwanda na Kenya... Utalii ni.moja ya vyanzo vizur vya mapato ya uchumi wetu.. serikali inaangalia return ya pesa in relation to ukuaji wa uchumi ukiwekeza kwenye maji hufanyi biashara trillion 1 itakulipa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.