JamiiForums |The Home of Great Thinkers - View Profile: Mkora

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Members List


Mkora will become famous soon enoughMkora will become famous soon enoughMkora will become famous soon enoughMkora will become famous soon enoughMkora will become famous soon enoughMkora will become famous soon enoughMkora will become famous soon enoughMkora will become famous soon enough

Mkora Mkora is online now

Mkora has no status.

Senior Member

Visitor Messages

Showing Visitor Messages 1 to 2 of 2
  1. IBRA
    20th August 2009 11:21 AM
    IBRA
    inakuaj mtu mzima
  2. Mkora
    11th October 2008 04:22 PM
    Mkora
    bandari salama hatarini kukosa tenda
    Na Irene Bwire, Nambia
    BANDARI ya Dar es Salaam iko hatarini kupoteza wateja wa nchi zisizo na bandari kama haitamaliza tatizo la msongamano wa mizigo bandarini.

    Hayo yamebainika jana wakati Waziri Mkuu Mizengo Pinda alipotembelea Mamlaka ya Bandari Namibia (NAMPORT) katika bandari ya Walvis Bay iliyopo Namibia na kuelezwa mpango wa bandari hiyo kuhudumia nchi zote za SADC ifikapo mwaka 2015.

    Meneja Mauzo wa bandari hiyo, Bw. Elias Mwenyo alimweleza Waziri Mkuu kwamba mamlaka hiyo ya bandari iliyoanzishwa mwaka 1994 imepata hadhi ya kimataifa na kuweza kutoa huduma kwa nchi za Amerika Kusini, Amerika Kaskazini, Afrika Magharibi, Ulaya na Asia.

    Alisema mwanzoni bandari hiyo ilikuwa ni uchochoro tu wa kuupitisha bidhaa lakini sasa inahudumia nchi za Zambia, Malawi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Botswana, na Zimbabwe ambazo hazina bandari.

    “Urahisi wa mawasiliano ya barabara, reli na ndege kwenda nchi za SADC umetuwezesha kuhudumia nchi hizo tunakatisha jangwa la Kalahari badala ya kwenda Durban au Capetown, Afrika Kusini na hivyo kuokoa siku saba hadi 11 za mizigo kukaa njiani,” alisema.

    Alipoulizwa na Waziri Mkuu Pinda ni muda gani meli zinatumia kukaa majini tangu zinapofika hadi kutia nanga bandarini hapo, Bw. Mwenyo alisema hakuna meli zinazokawizwa kwa sababu wanapopewa notisi ya saa 72 kabla meli haijafika maeneo ya kwao wanaanza maandalizi ya kuipokea na hivyo kuwa tayari kuzihudumia pindi tu zinapofika.

    Alisema bandari hiyo ambayo haijawahi kupoteza mzigo hata mmoja ina uwezo wa kuhudumia tani milioni nne za mizigo kwa mwaka na uwezo wa kupokea meli za mizigo 350 kwa mwezi. Pia ina vitengo vya kukarabati meli zinapoharibika tofauti na zamani zilipokuwa zikilazimika kupelekwa Cape Town, Afrika Kusini.

    Taarifa hizi zimekuja wakati Rais Jakaya Kikwete amemwagiza Waziri wa Miundombinu, Dk. Shukuru Kawambwa ampe jibu la siku kamili za mtu kusubiri mzigo bandarini na kumtaka apunguze siku hizo kutoka siku 23 za sasa hadi 10.

    Taarifa ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) ambayo alisomewa Waziri Mkuu wa Kenya, Raila Odinga Septemba 24, mwaka huu, inasema bandari za mwambao ambazo ni Dar es Salaam, Tanga na Mtwara zina uwezo wa kuhudumia tani milioni 11 kwa mwaka lakini katika mwaka 2007/8 ziliweza kuhudumia tani milioni 6.2 ambayo ni sawa na asilimia 58 ya uwezo wa bandari.

    “Shehena ya kontena katika kipindi hiki ilikuwa makontena 325,000 ambayo ni asilimia 30 juu ya uwezo wa kitengo [WINDOWS-1252?]hicho,” ilisema sehemu ya taarifa hiyo.

    Waziri Mkuu kesho (Ijumaa) atakutana na Rais Hifikepunye Pohamba wa Namibia na baadaye kutembelea mradi wa maji wa Goreangab ulioko eneo la Katutura na mchana anatajiwa kuondoka Namibia kurejea nchini.

Statistics

Total Posts
Visitor Messages
Total Thanks
General Information
  • Last Activity: Today 07:01 PM
  • Join Date: 11th April 2008
  • Referrals: 1

Experience

Experience
  • Points: 90,179
  • Level: 100
  • Points: 90,179, Level: 100 Points: 90,179, Level: 100 Points: 90,179, Level: 100
  • Level up: 0%
  • Points needed: 0
  • Level up: 0% - 0 Points needed Level up: 0% Level up: 0% - 0 Points needed
  • Activity: 2%
  • Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
Points for user
  • Points for User: 71,354
  • Reputation: 50,000
  • Per day: 21,253
  • Visitormessages: 2
  • Referrals: 100
Points for threads
  • Points for threads: 13,925
  • Threads: 210
  • Tags: 190
  • Replies: 350
  • Views: 13,175
Points for posts
  • Points for Posts: 4,900
  • Posts: 4,900
  • Average Posts per Day: 0.28
Activities 20th March 2010
   01:10 PM Mkora has earned 62 Experience points

19th March 2010
   07:40 PM Mkora has earned 2 Experience points
   06:20 PM Mkora has earned 31 Experience points
   05:40 PM Mkora has earned 172 Experience points

18th March 2010
   11:30 PM Mkora has earned 25 Experience points
   11:20 PM Mkora has earned 264 Experience points

13th March 2010
   07:40 PM Mkora has earned 25 Experience points
   07:30 PM Mkora has earned 41 Experience points

12th March 2010
   10:50 PM Mkora has earned 25 Experience points
   10:40 PM Mkora has earned 1248 Experience points

8th March 2010
   08:40 PM Mkora has earned 70 Experience points
   08:20 PM Mkora has earned 28 Experience points
   06:10 PM Mkora has earned 364 Experience points

28th February 2010
   10:20 PM Mkora has earned 26 Experience points
   10:10 PM Mkora has earned 707 Experience points

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 07:48 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com