I would like to take this opportunity to wish you and your loved ones a very Merry Xmas and a happy and prosperous New Year. Also I wish you good health, happiness and good luck during the coming year of 2009.
Reverand naomba uachane na mimi na mimi nitafanya the same!
Wewe sio baba yangu kunieleza nimekuja kukusikiliza wewe hapa!
Mkubwa ama mdogo..Mwanakijiji ma mwana mjini...Wote tunamichango yetu na tunasikilizwa bila kukemewa!
Unaniudhi sana na tabia yako ya kunikemea all the time!
Ulipokuja, ulionekana kuwa ni makini, ukajijenge heshima. Lakini unaleta ubishi na kung'ang'ania mambbo bila kuwa na facts za kutosha na si msikivu au mwanafunzi mwema. Your methods to try and solve the puzzle or connect the dots are completely backwards and ice aged.