Mvua ? Una uhakika ? Mvua inaweza kuzuia kutandaza tracks au njia yake lakini haizuii kumalizia stations husika.
Au kuna tatizo jengine ?
Sent from my iPad using JamiiForums
Sasa hicho cha juu ni kituo cha Train au police station ? Yaani mmefuja kila kitu ...tamaa ya kuwa na Rail classic with international amenities imepotea.
Mnatujengea vituo bya polisi
Sent from my iPad using JamiiForums
Tuki mbie kitu ganiwakati matakimbia nyinyi? SGR Tanzania iko Miezi 8 nyuma sasa.
Stations zinapunguzwa Ukubwa na style kupunguza gharama.
Tunakimbizana almradi tumalize
3 yrs sasa kwa 176 Kms
1.5 yrs kwa 600 kms ya Nairobi
Kwenye ujenzi ukichelewa kumaliza kwa wakati maana yake gharama...
Mtabaki kupiga picha Gizani kama wanga ....sasa hio over pass inahusu nini na SGR ?
Tushavurugwa tusubiri maumivi tu...
Sent from my iPad using JamiiForums
Wengine wezi.
Gari ninalotumia lina pima kioa mafuta unayoseka ni lita ngapi zinaingia....Puma ni wezi.
Total ni afadhali
Ewura wakague hizi pumps kuna wizi mkubwa sana unafanyika
Sent from my iPad using JamiiForums
Pascal Mayalla Kutokana na Uzoefu wangu TOTAL angalau wafanyakazi wao waaminifu. Hakuna wizi kwenye Pump zao.
EWURA Nao sasa hawakagui tena wame wekwa sawa .
Kuna wakati nilimwambia usoni mmiliki wa Puma ya Uhutu heights...sheikh kanzu kubwa lakini unapunja watu kwenye niashara ? Hakika hio ni...
Hizo ni njozi za kujifurahisha tu ukweli utabaki SGR Rail haikuwemo kwenda Port.
Mnazungumzia kipande utafikiri kipande cha embe.
Unachora mstari utafikiri ni rahisi hivo
Tume kurupuka sasa mbatafuta vipande.
Mradiwa reli hii ya kisasa wazo ilikua Kutoka Bandari ya Tanga ndio iende Mwanza...
Na kwa vile mradi uko nyuma sana kuliko ratiba yake. Ni vema sasa mradi uka simamishwa na fedha zikaelekezaa kupambana na Corona.
Sent from my iPad using JamiiForums
Kupitisha reli chini hakuzuii kupitisha daraja juu.
SGR imepita sehemu nyingi ambako kuna barabra.
Mshalikoroga sasa panga pangua. Tatizo ya kutoshaurika wala kuambilika.
Hakuna lolote la pamoja . Sasa tutabaki flyover sijui mara hio ni daraja lenyewe ndio la SGR.
Hebu mkubali tumeingizaa choo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.