jamani kama matokeo yalivyoonyesha wadogo zetu wamefeli sana hasa katika shule za kata,,je,wote waliofeli wataenda wapi??naombeni mchango wenu wanajamii...![]()
jamani kama matokeo yalivyoonyesha wadogo zetu wamefeli sana hasa katika shule za kata,,je,wote waliofeli wataenda wapi??naombeni mchango wenu wanajamii...![]()
With no plan wataishia vijiweni na wengine kuingia kwenye bongo fleva na wengine ndo kuishia kuwa wezi wa mitaani maana waliopata zero hata cheti cha kuombea kazi au kujiendeleza hawana
Kuna zaidi ya tatizo kwenye matokeo haya na tusifikiri vijana hawa wanaishia tuu majumbani mwao
Ni bomu ambalo linasubiri kulipuka wakati wowote la vijana ambao hawana kazi na hawana hata vyeti vya kuombea kazi yoyote
Wanajilundika mtaani bila mpango wowote
When you are in Love you can't fall asleep because reality is better than your dreams
hii ni hukumu ya hichi chama tawala walau wamepata elimu ya uraia itakuwa raisi kuwaelimisha
tunaongeza idadi ya mawakala wa upinzani vijijini maana kwenye chaguzi za mwanzo ilikuwa nadra hata kupata msimamizi wa uchaguzi maeneo ya kijijini kwetu
inaumiza sana upande mwingine wamewapotezea dira kabisa hawajielewi kabisa naunga na wewe hili
time bomb
LIKE NOTHING HAPPENED.... AND LIFE GOES ON...
MHANDISI WA MFUMO WA UMEME /POWER SYSTEM ENGINEER -ANY ELECTRICAL ENGINEERING ISSUE YOU CAN CONSULT ME..
Shule za Kata si chochote, si lolote.
NAKUSHUKURU MUNGU KWA KUIADHIBU CCM MCHANA KWEUPE, BABA NINAKUOMBA UZIDI KUWAUMBUA, KWA KUYAWEKA WAZI MCHANA WANAYOYAFANYA USIKU. OMBI KWA MUNGU: MUNGU WEWE NI MWEZA WA YOTE, NA SIKU ZOTE UNAYASIKILIZA MAOMBI YA WAKUCHAO, NAKUOMBA UKAFUNGE NGUVU ZA GIZA ZINAZOINYEMELEA M4C; NA UVUNJE MIPANGO YOTE YA MASHETANI WALIOPO NDANI YA CHADEMA. AMINA
Follow Us Here