Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Usanii wa serikali na uchakachuaji mitihani, kurudi f2.

    Report Post
    Results 1 to 3 of 3
    1. #1
      Paul Kijoka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th October 2010
      Location : KIMARA, DAR
      Posts : 1,337
      Rep Power : 702
      Likes Received
      226
      Likes Given
      172

      Default Usanii wa serikali na uchakachuaji mitihani, kurudi f2.

      Tumewahi kusema sana kuwa Serikali ya kisanii ni hatari katika
      kuendeleza mfumo wa elimu hapa nchi.

      Ni takribani miaka mitatu prof. Maghembe alisimama kwa mbwembwe na kulitangazia taifa kuwa
      mtihani wa f2 hautachuja wanafunzi tena. Akaendelea kuwa pia utakuwa ni bure kwa shule za serikali.

      Alisema kuwa kila mwanafunzi ana haki ya kumaliza f4.

      Huu haukuwa uchizi tu bali ilikuwa ni hakili ya kiprof. uchwara iliyochanganyika na uchu mambo yafuatayo:
      1. kuzuga wananchi ili washinde uchaguzi 2010
      2. kudhani kuwa mbinu hiyo ingeziokoa shule zao za kata ambazo zina utitiri wa matatizo zaidi ya 80%
      sasa kwanini wamerudisha mtihani huu kuwa na makali na kurudisha ada? sababu ni nyingi ila chache ni hizi:
      1. wameshindwa kulipa washihishaji wa mitihani ya kidato cha pili kwani malipo yamekaa kuwa 200/ kwa karatasi na wamekumbana na upinzani kutoka kwa wasahihishaji
      2. wameshashinda uchaguzi uliopita na wataondoa tena ikikaribia uchaguzi ujao
      3. shule zao zimeshindwa sana ( hii si sababu ya msingi)
      4. wanatafuta chanzo cha pesa kipya baadala ya kuishiwa
      Matokeo yake yatakuwa nini sasa?
      1. kuna uwezekano mkubwa shule za kata zikakosa wanafunzi wa kupanda kidato cha 3 na hivyo kuwahamishia shule jirani (tusubiri tuone)
      2. kuna uwezekano mwingine wa kutunga mtihani mwepesi ili wapitishe shule za kata
      Mhimu:

      1. serikali iwalipe wale waliofanya vibaya kidato cha 4 kwa kuwa imekiri kuwa kuondoka kwa kwa mtihani kumefelisha watu wengi
      2. Prof. Maghembe afukuzwe serikalini kwakuwa hafai na hana ubunifu wa kuisaidia serikali
      3. tuondoe ccm madarakani kwakuwa inachezea maisha ya watanzania kila idara

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Msafiri Kasian's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Posts : 1,119
      Rep Power : 612
      Likes Received
      113
      Likes Given
      72

      Default

      Quote By Paul Kijoka
      Tumewahi kusema sana kuwa Serikali ya kisanii ni hatari katika
      kuendeleza mfumo wa elimu hapa nchi.

      Ni takribani miaka mitatu prof. Maghembe alisimama kwa mbwembwe na kulitangazia taifa kuwa
      mtihani wa f2 hautachuja wanafunzi tena. Akaendelea kuwa pia utakuwa ni bure kwa shule za serikali.

      Alisema kuwa kila mwanafunzi ana haki ya kumaliza f4.

      Huu haukuwa uchizi tu bali ilikuwa ni hakili ya kiprof. uchwara iliyochanganyika na uchu mambo yafuatayo:
      1. kuzuga wananchi ili washinde uchaguzi 2010
      2. kudhani kuwa mbinu hiyo ingeziokoa shule zao za kata ambazo zina utitiri wa matatizo zaidi ya 80%
      sasa kwanini wamerudisha mtihani huu kuwa na makali na kurudisha ada? sababu ni nyingi ila chache ni hizi:
      1. wameshindwa kulipa washihishaji wa mitihani ya kidato cha pili kwani malipo yamekaa kuwa 200/ kwa karatasi na wamekumbana na upinzani kutoka kwa wasahihishaji
      2. wameshashinda uchaguzi uliopita na wataondoa tena ikikaribia uchaguzi ujao
      3. shule zao zimeshindwa sana ( hii si sababu ya msingi)
      4. wanatafuta chanzo cha pesa kipya baadala ya kuishiwa
      Matokeo yake yatakuwa nini sasa?
      1. kuna uwezekano mkubwa shule za kata zikakosa wanafunzi wa kupanda kidato cha 3 na hivyo kuwahamishia shule jirani (tusubiri tuone)
      2. kuna uwezekano mwingine wa kutunga mtihani mwepesi ili wapitishe shule za kata
      Mhimu:

      1. serikali iwalipe wale waliofanya vibaya kidato cha 4 kwa kuwa imekiri kuwa kuondoka kwa kwa mtihani kumefelisha watu wengi
      2. Prof. Maghembe afukuzwe serikalini kwakuwa hafai na hana ubunifu wa kuisaidia serikali
      3. tuondoe ccm madarakani kwakuwa inachezea maisha ya watanzania kila idara
      Naona kuna ukweli hapo ulipo andika,maghembe ana mambo ya kisanii.

    4. #3
      Lyahanda's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 20th January 2012
      Posts : 2
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Usanii wa serikali na uchakachuaji mitihani, kurudi f2.

      kuhusu kufeli ka kwa wanafunzi sababu ni nyingi kama walivyoziainisha walio wengi, Ila serikali isijidanganye kuwa kuongeza idadi ya walimu tu mashulen ndio kutawafanya vijana wafaulu. Kwakweli ukweli ni kwamba walimu wengi wa shule za serikali hasa za sekondari wapo katika mgomo uliotangazwa mioyoni mwao pasipo posipo jamii kujua kwasabu ya maslahi duni wanayoyapata , yasiyoendana na mfumuko wa bei uliopo.

    5. Miaka 50

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...