Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Matokeo ya Kidato cha pili-2011

    Report Post
    Results 1 to 9 of 9
    1. #1
      Msambaa mkweli's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st December 2011
      Posts : 152
      Rep Power : 403
      Likes Received
      26
      Likes Given
      1

      Default Matokeo ya Kidato cha pili-2011

      Inaonekana mpaka sasa, swala la form2 kuvuka kidato cha 3 kwa wastani ni kiini macho. Serikali inatakiwa kuwa makini, elimu ya Tanzania inashuka kiwango kwa kuwa na watu ambao taaluma yao haina viwango. Tunahitaji wataalamu makini. Mungu ibariki Tanzania.
      togolai likes this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Msafiri Kasian's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Posts : 1,119
      Rep Power : 612
      Likes Received
      113
      Likes Given
      72

      Default Re: Matokeo ya Kidato cha pili-2011

      Kwa nini umesema hvyo? Na vp kuhusu matokeo ya form 2?

    4. #3
      Mayaya's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 9th August 2011
      Posts : 3
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Matokeo ya Kidato cha pili-2011

      Kusema ukweli baraza la mitihani Tanzania haliko responsible pamoja na serikali kwa ujumla. Haiwezekani mpaka shule zinafunguliwa matokeo ya f 2 hawaja yatangaza haiingii akilini, ushauri wafanye kazi ipasavyo na sio wanavyofanya sasa.

    5. #4
      togolai's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th January 2012
      Posts : 64
      Rep Power : 381
      Likes Received
      20
      Likes Given
      45

      Default Re: Matokeo ya Kidato cha pili-2011

      Quote By Msambaa mkweli
      Inaonekana mpaka sasa, swala la form2 kuvuka kidato cha 3 kwa wastani ni kiini macho. Serikali inatakiwa kuwa makini, elimu ya Tanzania inashuka kiwango kwa kuwa na watu ambao taaluma yao haina viwango. Tunahitaji wataalamu makini. Mungu ibariki Tanzania.
      oshie, nzeze?
      wanasiasa na viongozi wa dini siwaamini hata kidogo.

    6. #5
      Mubii's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th July 2008
      Posts : 129
      Rep Power : 577
      Likes Received
      8
      Likes Given
      52

      Default Re: Matokeo ya Kidato cha pili-2011

      Nasikia matokeo ya form two yametoka na shule zina matokeo. Source ni wanafunzi.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      dr chris's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd September 2011
      Posts : 73
      Rep Power : 401
      Likes Received
      10
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Mubii
      Nasikia matokeo ya form two yametoka na shule zina matokeo. Source ni wanafunzi.
      ni kweli tangu j3 yapo mashuleni.

    9. #7
      Sizinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2007
      Location : Mars
      Posts : 3,937
      Rep Power : 1431
      Likes Received
      1507
      Likes Given
      1615

      Default Re: Matokeo ya Kidato cha pili-2011

      Hayajatoka bado...yamezuiwa
      Storm likes this.
      GESI KWANZA KOROSHO BAADAE!!

    10. #8
      princehancy's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 19th December 2012
      Posts : 2
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Matokeo ya Kidato cha pili-2011

      sizinga jamezuiwa????

    11. #9
      mary mary's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2012
      Posts : 437
      Rep Power : 409
      Likes Received
      122
      Likes Given
      115

      Default Re: Matokeo ya Kidato cha pili-2011

      Ndugu zangu natafuta matokeo ya kidato cha pili 2011. Je kuna mahali pengine wanayatoa tofauti na shuleni? nisaidie tafadhali

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...