Mimi kwa mtazamo wangu si vizuri kwamba kila mwaka watahiniwa wa kujitegemea huwa hawaambulii kitu.,naona dhana hii imekaririwa sana. Naomba wizara ibadilishe utaratibu huo.
Mimi kwa mtazamo wangu si vizuri kwamba kila mwaka watahiniwa wa kujitegemea huwa hawaambulii kitu.,naona dhana hii imekaririwa sana. Naomba wizara ibadilishe utaratibu huo.
Mitihan aisahihishwi vizur!
Necta wanataka hela tu.NOTHING!
maandalizi hafifu....na hili ni tatizo la watahiniwa wenyewe,hawajiandai but wanataka matokeo!
Kupasha kiporo kazi ndugu! Acha tu.
Au hujma ?
Pure Matrimony >> Purity starts here (Quran 24:26)
My loyalty is to reason,and as a reasonable person I reserve the right to change my mind when presented with new information that alters my perspective" Njiwa"ᵀᴴᴱ'ᴼᴿᴵᴳᴵᴻᴬᴸ✯
watahiniwa wa PC huwa sio wazuri na huwwa na maandalizi hafifu.
NAKUSHUKURU MUNGU KWA KUIADHIBU CCM MCHANA KWEUPE, BABA NINAKUOMBA UZIDI KUWAUMBUA, KWA KUYAWEKA WAZI MCHANA WANAYOYAFANYA USIKU. OMBI KWA MUNGU: MUNGU WEWE NI MWEZA WA YOTE, NA SIKU ZOTE UNAYASIKILIZA MAOMBI YA WAKUCHAO, NAKUOMBA UKAFUNGE NGUVU ZA GIZA ZINAZOINYEMELEA M4C; NA UVUNJE MIPANGO YOTE YA MASHETANI WALIOPO NDANI YA CHADEMA. AMINA
Mmmh ! Lakini nahic siyo hujma bali PC hawana maandalizi ya kutosha huku wakibakia kuwa walalamishi tu. Mi naamini NECTA wako fair.
Hujui kuwa pass mark yao iko juu zaidi halafu wao wenyewe hawjiandai vizuri wakat mwingine wanasoma ili mradi kusoma tu hawaangalii hata syllabus inataka nini na kusoma kwenyewe wanasoma past paper na wala sio kuelewa somo husika
Sababu nyingine kubwa ni kwamba Private Candidates hawana Course Work au tuziite Taarifa ya Mwanafunzi kama wengine ambao taarifa zao za kila mwaka zinatumwa NECTA. Na hizo Course zina nafasi katika mtihani wa mwisho. Kwa Private Candidate, akipata A au D basi ndiyo hicho alichokipata kwenye Paper.
Follow Us Here