| Find/Invite Friends | Register | Calendar | Search | Today's Posts | Mark Forums Read |
| FAQ | Members List | Bongo Flava | Zilipendwa | Taarab | Injili |
|
|
#1 | |||||||||||
|
||||||||||||
|
Views: 7481
|
||||||||||||
|
#2
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Majuto Mjukuu...
__________________
Any man who reads too much and uses his own brain too little falls into lazy habits of thinking - Einstein |
|
#3
|
|||||||||||
|
|||||||||||
![]() |
|
#5
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Huyo Kikwete sio mwanachama hapa JF ukitaka kumuomba msamaha mpigie simu, mtumie email, barua au njia nyingine ili apate huo "msamaha"
Halafu unaomba msamaha au unatoa kejeli? picha hakuna na unang'ang'ania unazo, kama unazo ushapewa rukhsa mwaga hapa... Nilisema mapema Watson is right....
__________________
Mkulima kala Mbegu...... |
|
#6
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Umesamehewa Mwafrika, ingawa niliambulia X pamoja na kukaa muda mrefu nikisubiri
|
|
#7
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
That is great mwafrika wa kike, japokuwa wengine hatukuona hizi picha. I am so pleased with your words. Huo ndio utanzania, umeonyesha njia, Tuendelee na kazi, ile ya kutafakari!
__________________
Utii bila Uhuru wa Kufikiri ni Utumwa |
|
#8
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
__________________
Utii bila Uhuru wa Kufikiri ni Utumwa |
|
#9
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Huyu anategea kupata kazi ya kudizaini website ya Ikulu na serikali sasa anajulikana kama ni frequent member humu lakini for unknown reason naona pamoja na kumkiss Mwanakijiji's ass lakini Mwanakijiji jana kamruka sasa kilichobaki anajaribu kusalvage whats remained...shame really...this Dude was in LOVE na MWANAKIJIJI sometimes back na ushahidi huu
![]() |
|
#10
|
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
Mwafrika wa kike, wewe umeshatekeleza wajibu wako, wasiotaka haya wabaki na kinyongo chao, wanaweza pia wakameza... By the way, you just showed your civilisation, you would have just kept quite as many do! Lakini wapo watakaokubeza, nawe wabeze. Otherwise, endelea kumkoma nyani hapa, tayari wengine tume-miss mchango wako in the last 24h that we didnt see u here!
__________________
Utii bila Uhuru wa Kufikiri ni Utumwa
«
Previous Thread
|
Next Thread
»
Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako! All times are GMT +3. The time now is 11:24 AM.
Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com | |||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||