Samahani kwa Kikwete na wana JF - Page 9 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Matangazo madogomadogo


Matangazo madogomadogo Matangazo ya misiba, mikutano n.k yawekwe hapa. ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.


Closed Thread
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 1st November 2007, 10:50 PM  
Samahani kwa Kikwete na wana JF
Mwafrika wa Kike Mwafrika wa Kike is offline 1st November 2007, 10:50 PM

Ok,

Jamani, nimepokea email na PM nyingi sana kuliko uwezo wa server yangu kubeba kuhusu hili swala la kuweka picha hapa za Rais.

Naomba niseme kuwa, wingi wa email za kusikitishwa na kitendo cha kuweka zile picha hapa umezidi uwezo wangu wa kufanya kiburi cha ujana. Nakubaliana na wengi kuwa hakukuwa na maana yoyote ya kuweka zile picha hapa kwenye jamvi la jumuia.

Ni kweli kuwa Kikwete ni rais wa Tanzania na pia ni Rais wangu.
Nakiri kuwa nilikosea kuunga mkono uamuzi wa kuweka picha hapa na pia kuzisambaza kwa baadhi ya watu. Natumia bandiko hili kumuomba rais Kikwete msamaha rasmi kwa kuweka hapa mambo yake binafsi na yasiyostahili kuonyeshwa hadharani.

Ikumbukwe kuwa huu msamaha ni kwa ajili ya picha na hizi habari za ngono na sio upungufu wa Kikwete wa kisiasa na kiuongozi.

Jamani, naomba sana kwa wale niliowatumia picha wazitunze na wala wasizisambaze. Naomba pia samahani kwa wale waliopoteza muda wao kuja kuona picha hapa na kukuta kuwa server imezidiwa.

Samahani kwa wana JF kwa kuwa mmoja wa watu waliosababisha JF kupotea kwa muda fulani. Nakubaliana na wale walioshauri from the begining kuwa nisiweke mambo hayo hapa na samahani sana kwa kutofuata ushauri wenu.

Nimejifunza mengi kutokana na hili na natumaini kuwa wengi wetu tumejifunza kuwa makini. Mimi ni binadamu na kama kawaida ya binadamu, nakiri kukosea.

Namuomba pia msamaha Mwanakijiji kwa yote yaliyotokea kwa upande wangu. Inasikitisha kuwa muda mwingi sana ulipotea wa kujadili maisha ya watoto wanaokufa kwa magonjwa yanayotibika na badala yake ukatumika kumjadili mtu binafsi na mambo yake afanyayo sirini.

Masaa 24 yaliyopita yamekuwa mazito sana kuhimili. Naahidi tena kuwa sitatumia muda wangu wa thamani kujadili masuala ya binafsi na ya ngono za watu wazima.

Naomba msamaha na nategemea kusamehewa. Hata hivyo nitaelewa pia kama wengine watachukua muda mrefu kunisamehe. Nawakumbusha wale wanaofikiri kuwa mimi ni mwendesha mambo hapa JF kuwa sina hata hisa moja ya kumiliki au kuendesha JF ingawa nasikitika iwapo chombo hiki kitazidiwa nguvu kwa mambo ambayo nimesababisha mimi.

Kwa hili nawaomba msamaha rasmi Invisible na wenzake wanaofanya kazi hii bila kulipwa na yeyote. Invisible tafadhali sikiliza message yangu nimekuachia kwenye simu yako.

Asante, na naomba tuendelee kumkoma Nyani giladi hapa hapa JF.
__________________
Well Behaved Women Never Make History

Mwafrika wa kike is now asking President Kikwete to resign his presidency effective immediately for the sake of our nation

Mwafrika wa Kike
JF Premium Member
Points: 795,495, Level: 100 Points: 795,495, Level: 100 Points: 795,495, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
Join Date: Thu Jul 2007
Posts: 5,840
Thanks: 0
Thanked 8 Times in 5 Posts
Views: 7488
  #81  
Old 3rd November 2007, 07:58 AM
Kasheshe's Avatar
Kasheshe Kasheshe is offline
Kasheshe a responsible citizen!
JF Premium Member
Points: 300,757, Level: 100 Points: 300,757, Level: 100 Points: 300,757, Level: 100
Activity: 13% Activity: 13% Activity: 13%
 
Join Date: Fri Jun 2007
Location: Bububu
Posts: 2,575
Thanks: 219
Thanked 204 Times in 114 Posts
Rep Power: 28
Kasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enough
Default

KadaMpinzani na Mwafrika wa Kike,

Waheshimiwa kumbukeni hii sio MSN/AOL/Yahoo Chat, hii ni forum ambayo watu wengi wenye muda mfupi wa kupita huku kwa muda then waendelee na shughuli zao wanakuja kuangalia mambo ya maana ya ujenzi wa taifa hili maskini kabisa...

Cha kusikitisha mmeamua KUBAKA na KUNAJISI na KUFISAD forum hii... Acheni jamani... mengine endelezeni kwenye PM, mtakubaliana tu!!! Hapa hamtakubaliana maana kuna watu wanatia chumvi..

Narudia tena, "Jamani naamba tuache huu mjadala"
  #82  
Old 5th November 2007, 01:54 PM
bulugu bulugu is offline
bulugu has no status.
Junior Member
Points: 70,298, Level: 100 Points: 70,298, Level: 100 Points: 70,298, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Fri Oct 2007
Posts: 3
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
bulugu will become famous soon enoughbulugu will become famous soon enoughbulugu will become famous soon enoughbulugu will become famous soon enoughbulugu will become famous soon enoughbulugu will become famous soon enoughbulugu will become famous soon enoughbulugu will become famous soon enough
Default

naamini mtu aombaye msamaha husamehewa
  #83  
Old 5th November 2007, 02:42 PM
mandilo mandilo is offline
mandilo has no status.
Member
Points: 74,823, Level: 100 Points: 74,823, Level: 100 Points: 74,823, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Fri Sep 2007
Posts: 15
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
mandilo will become famous soon enoughmandilo will become famous soon enoughmandilo will become famous soon enoughmandilo will become famous soon enoughmandilo will become famous soon enoughmandilo will become famous soon enoughmandilo will become famous soon enoughmandilo will become famous soon enough
Default

mwafrika wa kike bwana wewe umeeleweka, wasiotaka kuelewa wameze sumu wafe!!!! hata huyojk akiona msg yako naamini atakusamehe.. kwani nani hana makosa kati yetu????wacha wachonge tafadhali songa mbele.
  #84  
Old 5th November 2007, 05:29 PM
Mzee Mwanakijiji's Avatar
Mzee Mwanakijiji Mzee Mwanakijiji is online now
Mzee Mwanakijiji anawashangaa wanaoitetea sheria mbovu
JF Premium Member
Points: 12,959,501, Level: 100 Points: 12,959,501, Level: 100 Points: 12,959,501, Level: 100
Activity: 93% Activity: 93% Activity: 93%
 
Join Date: Fri Mar 2006
Location: Kijijini
Posts: 18,446
Thanks: 8,421
Thanked 4,614 Times in 1,292 Posts
Rep Power: 44
Mzee Mwanakijiji is on a distinguished roadMzee Mwanakijiji is on a distinguished road
Send a message via MSN to Mzee Mwanakijiji Send a message via Skype™ to Mzee Mwanakijiji
Default

si mmesikia yaliyosemwa kwenye Mkutano Mkuu.. ?
__________________
Nchi hii imewahi kung' oa masultani wa kila aina. Tukianza kuvumilia masultani wakuchaguliwa tutapanda mbegu ya masultani wa kuzaliwa. - Nyerere katika "Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania"
  #85  
Old 5th November 2007, 06:17 PM
Ben Ben is offline
Ben The Little Boy among Men
JF Senior Expert Member
Points: 647,909, Level: 100 Points: 647,909, Level: 100 Points: 647,909, Level: 100
Activity: 55% Activity: 55% Activity: 55%
 
Join Date: Thu Jan 2007
Posts: 2,186
Thanks: 252
Thanked 268 Times in 170 Posts
Rep Power: 68
Ben is a jewel in the roughBen is a jewel in the roughBen is a jewel in the roughBen is a jewel in the roughBen is a jewel in the roughBen is a jewel in the roughBen is a jewel in the roughBen is a jewel in the roughBen is a jewel in the roughBen is a jewel in the roughBen is a jewel in the rough
Default

Hivi kama mtu hutaki kusamehe si uache tu kumwaga emotions zako hapa?Na kama umesamehe si unakaa kimya?mbona tunapenda kufanya mambo madogo kuwa makubwa sana
  #86  
Old 5th November 2007, 06:53 PM
PanguPakavu PanguPakavu is offline
PanguPakavu has no status.
Senior Member
Points: 100,683, Level: 100 Points: 100,683, Level: 100 Points: 100,683, Level: 100
Activity: 8% Activity: 8% Activity: 8%
 
Join Date: Sat Jul 2007
Posts: 223
Thanks: 3
Thanked 36 Times in 13 Posts
Rep Power: 23
PanguPakavu will become famous soon enoughPanguPakavu will become famous soon enoughPanguPakavu will become famous soon enoughPanguPakavu will become famous soon enoughPanguPakavu will become famous soon enoughPanguPakavu will become famous soon enoughPanguPakavu will become famous soon enoughPanguPakavu will become famous soon enough
Default

mbona hasara yuko kimya???wasn't he supposed to apologize??if my memory is right huyu ndugu ndiye alianzisha hii habari ya picha za kikwete!!au yeye bado anashikilia wembe ule ule wa kuziweka??au yeye na mwafrika wa kike ni mtu mmoja??anamaanisha nini kukaa kimya??am curious!!
hasara vipi??una mtazamo gani???
  #87  
Old 10th November 2007, 01:13 AM
Msavila Msavila is offline
Msavila has no status.
Senior Member
Points: 82,180, Level: 100 Points: 82,180, Level: 100 Points: 82,180, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Wed Jul 2007
Posts: 135
Thanks: 5
Thanked 2 Times in 1 Post
Rep Power: 23
Msavila will become famous soon enoughMsavila will become famous soon enoughMsavila will become famous soon enoughMsavila will become famous soon enoughMsavila will become famous soon enoughMsavila will become famous soon enoughMsavila will become famous soon enoughMsavila will become famous soon enough
Default Re: Samahani kwa Kikwete na wana JF

Hizi picha si nzuri kuwekwa hadharani lakini ni fundisho tu kwa public figures wetu. Nakumbuka rais wa kwanza wa Czechoslovakia baada ya kutoka kwenye ukomunisti alisema kuwa"he has come to realise that for a public figure he can only enjoy his privacy in the toilet". Ni vema basi mtu anapofikiria kuingia kwenye siasa vema afagie njia yake huko nyuma au aache tabia hizo anapokuwa madarakani. There is always a price Tag.
  #88  
Old 10th November 2007, 03:31 AM
KadaMpinzani's Avatar
KadaMpinzani KadaMpinzani is offline
KadaMpinzani has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 773,793, Level: 100 Points: 773,793, Level: 100 Points: 773,793, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Wed Jan 2007
Location: Chadema Restaurant
Posts: 5,013
Thanks: 2
Thanked 12 Times in 9 Posts
Rep Power: 33
KadaMpinzani will become famous soon enoughKadaMpinzani will become famous soon enoughKadaMpinzani will become famous soon enoughKadaMpinzani will become famous soon enoughKadaMpinzani will become famous soon enoughKadaMpinzani will become famous soon enoughKadaMpinzani will become famous soon enoughKadaMpinzani will become famous soon enough
Default Re: Samahani kwa Kikwete na wana JF

Quote:
View Post
si mmesikia yaliyosemwa kwenye Mkutano Mkuu.. ?
na wewe UMESOMA/UMESIKIA aliyosema zitto kuhusiana na kifo cha mama mbatia, yeye hakulengwa kama mlivyodai wewe na mwafrika wa kike !
  #89  
Old 10th November 2007, 09:46 AM
Invisible's Avatar
Invisible Invisible is offline
Invisible is around but busy!
Robot
Points: 6,323,727, Level: 100 Points: 6,323,727, Level: 100 Points: 6,323,727, Level: 100
Activity: 10% Activity: 10% Activity: 10%
 
Join Date: Sat Feb 2006
Location: Here...!
Posts: 6,045
Thanks: 505
Thanked 1,445 Times in 430 Posts
Rep Power: 100000
Invisible is a glorious beacon of lightInvisible is a glorious beacon of lightInvisible is a glorious beacon of lightInvisible is a glorious beacon of lightInvisible is a glorious beacon of lightInvisible is a glorious beacon of lightInvisible is a glorious beacon of lightInvisible is a glorious beacon of lightInvisible is a glorious beacon of lightInvisible is a glorious beacon of lightInvisible is a glorious beacon of light
Send a message via MSN to Invisible
Default Re: Samahani kwa Kikwete na wana JF

Quote:
View Post
Cha kusikitisha mmeamua KUBAKA na KUNAJISI na KUFISAD forum hii... Acheni jamani... mengine endelezeni kwenye PM, mtakubaliana tu!!! Hapa hamtakubaliana maana kuna watu wanatia chumvi..

Narudia tena, "Jamani naamba tuache huu mjadala"
Ahsante kwa hekima yako. Topic closed!

Thanks
__________________
Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!

Thank you for supporting JF! <---(click to support us)
Waliochangia 2010: <--- (click to read)
JINSI YA KUCHANGIA JF<---(click to read)

24/7 Email SUPPORT: support@jamiiforums.com

Closed Thread

Bookmarks

Tags
jf, kikwete, samahani, wana


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Nini Hatma ya Upinzani Tanzania? Field Marshall ES Jamii Intelligence 517 16th July 2009 06:49 PM
Ujumbe Kwa Rais Kikwete Mwendapole Jukwaa la Siasa 17 17th July 2007 06:12 PM
Prof Yunnus: Kuondoa umaskini kwa TZ ni uamuzi tu Mtu wa Pwani Jukwaa la Siasa 5 17th July 2007 08:09 AM
Miaka 10 Ya Safari Ya Kuelekea Ikulu Mafuchila Jukwaa la Siasa 11 8th March 2007 07:14 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 06:33 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com