Samahani kwa Kikwete na wana JF - Page 5 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Matangazo madogomadogo


Matangazo madogomadogo Matangazo ya misiba, mikutano n.k yawekwe hapa. ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.


Closed Thread
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 1st November 2007, 10:50 PM  
Samahani kwa Kikwete na wana JF
Mwafrika wa Kike Mwafrika wa Kike is offline 1st November 2007, 10:50 PM

Ok,

Jamani, nimepokea email na PM nyingi sana kuliko uwezo wa server yangu kubeba kuhusu hili swala la kuweka picha hapa za Rais.

Naomba niseme kuwa, wingi wa email za kusikitishwa na kitendo cha kuweka zile picha hapa umezidi uwezo wangu wa kufanya kiburi cha ujana. Nakubaliana na wengi kuwa hakukuwa na maana yoyote ya kuweka zile picha hapa kwenye jamvi la jumuia.

Ni kweli kuwa Kikwete ni rais wa Tanzania na pia ni Rais wangu.
Nakiri kuwa nilikosea kuunga mkono uamuzi wa kuweka picha hapa na pia kuzisambaza kwa baadhi ya watu. Natumia bandiko hili kumuomba rais Kikwete msamaha rasmi kwa kuweka hapa mambo yake binafsi na yasiyostahili kuonyeshwa hadharani.

Ikumbukwe kuwa huu msamaha ni kwa ajili ya picha na hizi habari za ngono na sio upungufu wa Kikwete wa kisiasa na kiuongozi.

Jamani, naomba sana kwa wale niliowatumia picha wazitunze na wala wasizisambaze. Naomba pia samahani kwa wale waliopoteza muda wao kuja kuona picha hapa na kukuta kuwa server imezidiwa.

Samahani kwa wana JF kwa kuwa mmoja wa watu waliosababisha JF kupotea kwa muda fulani. Nakubaliana na wale walioshauri from the begining kuwa nisiweke mambo hayo hapa na samahani sana kwa kutofuata ushauri wenu.

Nimejifunza mengi kutokana na hili na natumaini kuwa wengi wetu tumejifunza kuwa makini. Mimi ni binadamu na kama kawaida ya binadamu, nakiri kukosea.

Namuomba pia msamaha Mwanakijiji kwa yote yaliyotokea kwa upande wangu. Inasikitisha kuwa muda mwingi sana ulipotea wa kujadili maisha ya watoto wanaokufa kwa magonjwa yanayotibika na badala yake ukatumika kumjadili mtu binafsi na mambo yake afanyayo sirini.

Masaa 24 yaliyopita yamekuwa mazito sana kuhimili. Naahidi tena kuwa sitatumia muda wangu wa thamani kujadili masuala ya binafsi na ya ngono za watu wazima.

Naomba msamaha na nategemea kusamehewa. Hata hivyo nitaelewa pia kama wengine watachukua muda mrefu kunisamehe. Nawakumbusha wale wanaofikiri kuwa mimi ni mwendesha mambo hapa JF kuwa sina hata hisa moja ya kumiliki au kuendesha JF ingawa nasikitika iwapo chombo hiki kitazidiwa nguvu kwa mambo ambayo nimesababisha mimi.

Kwa hili nawaomba msamaha rasmi Invisible na wenzake wanaofanya kazi hii bila kulipwa na yeyote. Invisible tafadhali sikiliza message yangu nimekuachia kwenye simu yako.

Asante, na naomba tuendelee kumkoma Nyani giladi hapa hapa JF.
__________________
Well Behaved Women Never Make History

Mwafrika wa kike is now asking President Kikwete to resign his presidency effective immediately for the sake of our nation

Mwafrika wa Kike
JF Premium Member
Points: 795,495, Level: 100 Points: 795,495, Level: 100 Points: 795,495, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
Join Date: Thu Jul 2007
Posts: 5,840
Thanks: 0
Thanked 8 Times in 5 Posts
Views: 7482
  #41  
Old 2nd November 2007, 01:06 PM
Kasheshe's Avatar
Kasheshe Kasheshe is offline
Kasheshe a responsible citizen!
JF Premium Member
Points: 300,667, Level: 100 Points: 300,667, Level: 100 Points: 300,667, Level: 100
Activity: 13% Activity: 13% Activity: 13%
 
Join Date: Fri Jun 2007
Location: Bububu
Posts: 2,574
Thanks: 216
Thanked 203 Times in 113 Posts
Rep Power: 28
Kasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enough
Default

Huu ndio Ushauri niliotoa ukapuuzwa na kuambiwa nina mawazo ya kitoto! Nenda page 16 ya majadiliano

Quote:
Mwafrika wa Kike,

Kama wewe ni Mzalendo halisi wa nchi yetu hii, ambaye unaitakia mema nchi hii,,, think Again, and then think Again, once you finish to think think again, Try to convience yourself... kwamba utakuwa umefanya kwa masilahi ya nani?

I assure you the moment unaweka huo upuuzi hapa,,, kama mzalendo halisi utaanza kujuta muda huo huo... mimi sio mtu wa kupiga ramli but kwa hekima mwenyezi mungu alizonipa hakika hili nina hakika nalo utajuta!!!

Fuatilia tu washabiki wako... but this is simply nonsense; simply kama rais ni symbol ya taifa, akitukanwa nimetukanwa na mimi pia! Never compare president na mwenyekiti wa Chama!
  #42  
Old 2nd November 2007, 01:58 PM
FDR Jr FDR Jr is offline
FDR Jr has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 126,675, Level: 100 Points: 126,675, Level: 100 Points: 126,675, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Thu Aug 2007
Posts: 280
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 23
FDR Jr will become famous soon enoughFDR Jr will become famous soon enoughFDR Jr will become famous soon enoughFDR Jr will become famous soon enoughFDR Jr will become famous soon enoughFDR Jr will become famous soon enoughFDR Jr will become famous soon enoughFDR Jr will become famous soon enough
Default

Kumchafua Rais ni kuichafua Tanzania,tovuti siyo chumbani ni mahala peupe kwa walimwengu,itoshe tu kwa kukemea upuuzi huu miongoni mwetu na pia mh.Rais atawaliwe na subira ktk jambo hili.
Mungu ambariki ktk kila jambo alitendalo na sisi tuwe nyuma yake daima kwa uaminifu.
Amen
__________________
"The only thing we have to fear is fear itself." – FDR
  #43  
Old 2nd November 2007, 02:00 PM
FDR Jr FDR Jr is offline
FDR Jr has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 126,675, Level: 100 Points: 126,675, Level: 100 Points: 126,675, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Thu Aug 2007
Posts: 280
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 23
FDR Jr will become famous soon enoughFDR Jr will become famous soon enoughFDR Jr will become famous soon enoughFDR Jr will become famous soon enoughFDR Jr will become famous soon enoughFDR Jr will become famous soon enoughFDR Jr will become famous soon enoughFDR Jr will become famous soon enough
Default

Kumchafua Rais ni kuichafua Tanzania,tovuti siyo chumbani ni mahala peupe kwa walimwengu,itoshe tu kwa kukemea upuuzi huu miongoni mwetu na pia mh.Rais atawaliwe na subira ktk jambo hili.
Mungu ambariki ktk kila jambo alitendalo na sisi tuwe nyuma yake daima kwa uaminifu.
Amen
__________________
"The only thing we have to fear is fear itself." – FDR
  #44  
Old 2nd November 2007, 02:22 PM
Kasheshe's Avatar
Kasheshe Kasheshe is offline
Kasheshe a responsible citizen!
JF Premium Member
Points: 300,667, Level: 100 Points: 300,667, Level: 100 Points: 300,667, Level: 100
Activity: 13% Activity: 13% Activity: 13%
 
Join Date: Fri Jun 2007
Location: Bububu
Posts: 2,574
Thanks: 216
Thanked 203 Times in 113 Posts
Rep Power: 28
Kasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enough
Default

Ndugu zangu,,, huu ulikuwa ujumbe wangu, ambao watu walinidhihaki ni kusema ni maneno ya kitoto

Quote:
Mwafrika wa Kike,

Kama wewe ni Mzalendo halisi wa nchi yetu hii, ambaye unaitakia mema nchi hii,,, think Again, and then think Again, once you finish to think think again, Try to convience yourself... kwamba utakuwa umefanya kwa masilahi ya nani?

I assure you the moment unaweka huo upuuzi hapa,,, kama mzalendo halisi utaanza kujuta muda huo huo... mimi sio mtu wa kupiga ramli but kwa hekima mwenyezi mungu alizonipa hakika hili nina hakika nalo utajuta!!!

Fuatilia tu washabiki wako... but this is simply nonsense; simply kama rais ni symbol ya taifa, akitukanwa nimetukanwa na mimi pia! Never compare president na mwenyekiti wa Chama!
  #45  
Old 2nd November 2007, 02:28 PM
Kasheshe's Avatar
Kasheshe Kasheshe is offline
Kasheshe a responsible citizen!
JF Premium Member
Points: 300,667, Level: 100 Points: 300,667, Level: 100 Points: 300,667, Level: 100
Activity: 13% Activity: 13% Activity: 13%
 
Join Date: Fri Jun 2007
Location: Bububu
Posts: 2,574
Thanks: 216
Thanked 203 Times in 113 Posts
Rep Power: 28
Kasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enoughKasheshe will become famous soon enough
Default

Quote:
View Post
Sometimes you have to think, not only only twice, but several times before you decide to do what you think is viable.
Huu hapa chini ndio uliokuwa ushauri wangu kwa wahusika, nikadhihakiwa na kuambiwa mimi nina maneno ya kitoto angalia page 16 ya thread ile!
Quote:

Mwafrika wa Kike,

Kama wewe ni Mzalendo halisi wa nchi yetu hii, ambaye unaitakia mema nchi hii,,, think Again, and then think Again, once you finish to think think again, Try to convience yourself... kwamba utakuwa umefanya kwa masilahi ya nani?

I assure you the moment unaweka huo upuuzi hapa,,, kama mzalendo halisi utaanza kujuta muda huo huo... mimi sio mtu wa kupiga ramli but kwa hekima mwenyezi mungu alizonipa hakika hili nina hakika nalo utajuta!!!

Fuatilia tu washabiki wako... but this is simply nonsense; simply kama rais ni symbol ya taifa, akitukanwa nimetukanwa na mimi pia! Never compare president na mwenyekiti wa Chama!
  #46  
Old 2nd November 2007, 02:45 PM
Bubu Msemaovyo's Avatar
Bubu Msemaovyo Bubu Msemaovyo is offline
Bubu Msemaovyo a psychologist
JF Senior Expert Member
Points: 352,922, Level: 100 Points: 352,922, Level: 100 Points: 352,922, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Wed May 2007
Location: All around the World
Posts: 895
Thanks: 0
Thanked 3 Times in 3 Posts
Rep Power: 24
Bubu Msemaovyo will become famous soon enoughBubu Msemaovyo will become famous soon enoughBubu Msemaovyo will become famous soon enoughBubu Msemaovyo will become famous soon enoughBubu Msemaovyo will become famous soon enoughBubu Msemaovyo will become famous soon enoughBubu Msemaovyo will become famous soon enoughBubu Msemaovyo will become famous soon enough
Exclamation

Quote:
View Post
Ok,

Jamani, nimepokea email na PM nyingi sana kuliko uwezo wa server yangu kubeba kuhusu hili swala la kuweka picha hapa za Rais.

Naomba niseme kuwa, wingi wa email za kusikitishwa na kitendo cha kuweka zile picha hapa umezidi uwezo wangu wa kufanya kiburi cha ujana. Nakubaliana na wengi kuwa hakukuwa na maana yoyote ya kuweka zile picha hapa kwenye jamvi la jumuia.

Ni kweli kuwa Kikwete ni rais wa Tanzania na pia ni Rais wangu.
Nakiri kuwa nilikosea kuunga mkono uamuzi wa kuweka picha hapa na pia kuzisambaza kwa baadhi ya watu. Natumia bandiko hili kumuomba rais Kikwete msamaha rasmi kwa kuweka hapa mambo yake binafsi na yasiyostahili kuonyeshwa hadharani.

Ikumbukwe kuwa huu msamaha ni kwa ajili ya picha na hizi habari za ngono na sio upungufu wa Kikwete wa kisiasa na kiuongozi.

Jamani, naomba sana kwa wale niliowatumia picha wazitunze na wala wasizisambaze. Naomba pia samahani kwa wale waliopoteza muda wao kuja kuona picha hapa na kukuta kuwa server imezidiwa.

Samahani kwa wana JF kwa kuwa mmoja wa watu waliosababisha JF kupotea kwa muda fulani. Nakubaliana na wale walioshauri from the begining kuwa nisiweke mambo hayo hapa na samahani sana kwa kutofuata ushauri wenu.

Nimejifunza mengi kutokana na hili na natumaini kuwa wengi wetu tumejifunza kuwa makini. Mimi ni binadamu na kama kawaida ya binadamu, nakiri kukosea.

Namuomba pia msamaha Mwanakijiji kwa yote yaliyotokea kwa upande wangu. Inasikitisha kuwa muda mwingi sana ulipotea wa kujadili maisha ya watoto wanaokufa kwa magonjwa yanayotibika na badala yake ukatumika kumjadili mtu binafsi na mambo yake afanyayo sirini.

Masaa 24 yaliyopita yamekuwa mazito sana kuhimili. Naahidi tena kuwa sitatumia muda wangu wa thamani kujadili masuala ya binafsi na ya ngono za watu wazima.

Naomba msamaha na nategemea kusamehewa. Hata hivyo nitaelewa pia kama wengine watachukua muda mrefu kunisamehe. Nawakumbusha wale wanaofikiri kuwa mimi ni mwendesha mambo hapa JF kuwa sina hata hisa moja ya kumiliki au kuendesha JF ingawa nasikitika iwapo chombo hiki kitazidiwa nguvu kwa mambo ambayo nimesababisha mimi.

Kwa hili nawaomba msamaha rasmi Invisible na wenzake wanaofanya kazi hii bila kulipwa na yeyote. Invisible tafadhali sikiliza message yangu nimekuachia kwenye simu yako.

Asante, na naomba tuendelee kumkoma Nyani giladi hapa hapa JF.
Slogan yako inapingana na uamuzi wako kwahiyo you have made history and that history may have many interpritation to the readers never ever give up easily like that au umebanwa na SO wake ikabidi u-give up.
__________________
"If you talk to a man in a language he understands, that goes to his head. If you talk to him in his language, that goes to his heart." Nelson Mandela
  #47  
Old 2nd November 2007, 02:50 PM
Nungunungu's Avatar
Nungunungu Nungunungu is offline
Nungunungu has no status.
Senior Member
Points: 91,422, Level: 100 Points: 91,422, Level: 100 Points: 91,422, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Tue Feb 2007
Posts: 182
Thanks: 0
Thanked 1 Time in 1 Post
Rep Power: 24
Nungunungu will become famous soon enoughNungunungu will become famous soon enoughNungunungu will become famous soon enoughNungunungu will become famous soon enoughNungunungu will become famous soon enoughNungunungu will become famous soon enoughNungunungu will become famous soon enoughNungunungu will become famous soon enough
Default

"Well Behaved Women Never Make History"

Nawe umo katika hao Well Behaved Women?

Ukijibu swali hilo ndipo nitafikiria juu ya msamaha uliotuomba.
  #48  
Old 2nd November 2007, 02:53 PM
FairPlayer's Avatar
FairPlayer FairPlayer is offline
FairPlayer is rolling ball fairly
JF Premium Member
Points: 721,188, Level: 100 Points: 721,188, Level: 100 Points: 721,188, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Mon Feb 2006
Location: UK
Posts: 3,359
Thanks: 50
Thanked 178 Times in 121 Posts
Rep Power: 30
FairPlayer will become famous soon enoughFairPlayer will become famous soon enoughFairPlayer will become famous soon enoughFairPlayer will become famous soon enoughFairPlayer will become famous soon enoughFairPlayer will become famous soon enoughFairPlayer will become famous soon enoughFairPlayer will become famous soon enough
Default

Achaneni nao, dawa ni kuwazomea tu kama wanavyozomewa viongozi mafisadi.

Akina Mwafrika na Mwanakijiji
Wamehishiwa Hoja wanatoa Vioja!
__________________
A positive thinker!
  #49  
Old 2nd November 2007, 02:55 PM
Masanilo's Avatar
Masanilo Masanilo is offline
Masanilo is alcoholic
JF Premium Member
Points: 825,434, Level: 100 Points: 825,434, Level: 100 Points: 825,434, Level: 100
Activity: 50% Activity: 50% Activity: 50%
 
Join Date: Tue Oct 2007
Location: Swat valley
Posts: 7,030
Thanks: 1,045
Thanked 1,098 Times in 716 Posts
Rep Power: 77
Masanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the rough
Wink

Quote:
View Post
Achaneni nao, dawa ni kuwazomea tu kama wanavyozomewa viongozi mafisadi.Akina Mwafrika na Mwanakijiji
Wamehishiwa Hoja wanatoa Vioja!
FD unataka kutuambia Mwafrika wa K na Mwanakijiji ni wanamtandao?
__________________
To be able to do everything by knowing nothing is dangerous

E-mail:
masanilo@jamiiforums.com
  #50  
Old 2nd November 2007, 03:10 PM
FairPlayer's Avatar
FairPlayer FairPlayer is offline
FairPlayer is rolling ball fairly
JF Premium Member
Points: 721,188, Level: 100 Points: 721,188, Level: 100 Points: 721,188, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Mon Feb 2006
Location: UK
Posts: 3,359
Thanks: 50
Thanked 178 Times in 121 Posts
Rep Power: 30
FairPlayer will become famous soon enoughFairPlayer will become famous soon enoughFairPlayer will become famous soon enoughFairPlayer will become famous soon enoughFairPlayer will become famous soon enoughFairPlayer will become famous soon enoughFairPlayer will become famous soon enoughFairPlayer will become famous soon enough
Default

Mtandao wa Chadema!
__________________
A positive thinker!
Closed Thread

Bookmarks

Tags
jf, kikwete, samahani, wana


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Nini Hatma ya Upinzani Tanzania? Field Marshall ES Jamii Intelligence 517 16th July 2009 06:49 PM
Ujumbe Kwa Rais Kikwete Mwendapole Jukwaa la Siasa 17 17th July 2007 06:12 PM
Prof Yunnus: Kuondoa umaskini kwa TZ ni uamuzi tu Mtu wa Pwani Jukwaa la Siasa 5 17th July 2007 08:09 AM
Miaka 10 Ya Safari Ya Kuelekea Ikulu Mafuchila Jukwaa la Siasa 11 8th March 2007 07:14 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 03:03 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com