Matangazo madogomadogoMatangazo ya misiba, mikutano n.k yawekwe hapa.
ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Jamani, nimepokea email na PM nyingi sana kuliko uwezo wa server yangu kubeba kuhusu hili swala la kuweka picha hapa za Rais.
Naomba niseme kuwa, wingi wa email za kusikitishwa na kitendo cha kuweka zile picha hapa umezidi uwezo wangu wa kufanya kiburi cha ujana. Nakubaliana na wengi kuwa hakukuwa na maana yoyote ya kuweka zile picha hapa kwenye jamvi la jumuia.
Ni kweli kuwa Kikwete ni rais wa Tanzania na pia ni Rais wangu.
Nakiri kuwa nilikosea kuunga mkono uamuzi wa kuweka picha hapa na pia kuzisambaza kwa baadhi ya watu. Natumia bandiko hili kumuomba rais Kikwete msamaha rasmi kwa kuweka hapa mambo yake binafsi na yasiyostahili kuonyeshwa hadharani.
Ikumbukwe kuwa huu msamaha ni kwa ajili ya picha na hizi habari za ngono na sio upungufu wa Kikwete wa kisiasa na kiuongozi.
Jamani, naomba sana kwa wale niliowatumia picha wazitunze na wala wasizisambaze. Naomba pia samahani kwa wale waliopoteza muda wao kuja kuona picha hapa na kukuta kuwa server imezidiwa.
Samahani kwa wana JF kwa kuwa mmoja wa watu waliosababisha JF kupotea kwa muda fulani. Nakubaliana na wale walioshauri from the begining kuwa nisiweke mambo hayo hapa na samahani sana kwa kutofuata ushauri wenu.
Nimejifunza mengi kutokana na hili na natumaini kuwa wengi wetu tumejifunza kuwa makini. Mimi ni binadamu na kama kawaida ya binadamu, nakiri kukosea.
Namuomba pia msamaha Mwanakijiji kwa yote yaliyotokea kwa upande wangu. Inasikitisha kuwa muda mwingi sana ulipotea wa kujadili maisha ya watoto wanaokufa kwa magonjwa yanayotibika na badala yake ukatumika kumjadili mtu binafsi na mambo yake afanyayo sirini.
Masaa 24 yaliyopita yamekuwa mazito sana kuhimili. Naahidi tena kuwa sitatumia muda wangu wa thamani kujadili masuala ya binafsi na ya ngono za watu wazima.
Naomba msamaha na nategemea kusamehewa. Hata hivyo nitaelewa pia kama wengine watachukua muda mrefu kunisamehe. Nawakumbusha wale wanaofikiri kuwa mimi ni mwendesha mambo hapa JF kuwa sina hata hisa moja ya kumiliki au kuendesha JF ingawa nasikitika iwapo chombo hiki kitazidiwa nguvu kwa mambo ambayo nimesababisha mimi.
Kwa hili nawaomba msamaha rasmi Invisible na wenzake wanaofanya kazi hii bila kulipwa na yeyote. Invisible tafadhali sikiliza message yangu nimekuachia kwenye simu yako.
Asante, na naomba tuendelee kumkoma Nyani giladi hapa hapa JF.
__________________ Well Behaved Women Never Make History
Mwafrika wa kike is now asking President Kikwete to resign his presidency effective immediately for the sake of our nation
Huu ndio Ushauri niliotoa ukapuuzwa na kuambiwa nina mawazo ya kitoto! Nenda page 16 ya majadiliano
Quote:
Mwafrika wa Kike,
Kama wewe ni Mzalendo halisi wa nchi yetu hii, ambaye unaitakia mema nchi hii,,, think Again, and then think Again, once you finish to think think again, Try to convience yourself... kwamba utakuwa umefanya kwa masilahi ya nani?
I assure you the moment unaweka huo upuuzi hapa,,, kama mzalendo halisi utaanza kujuta muda huo huo... mimi sio mtu wa kupiga ramli but kwa hekima mwenyezi mungu alizonipa hakika hili nina hakika nalo utajuta!!!
Fuatilia tu washabiki wako... but this is simply nonsense; simply kama rais ni symbol ya taifa, akitukanwa nimetukanwa na mimi pia! Never compare president na mwenyekiti wa Chama!
Kumchafua Rais ni kuichafua Tanzania,tovuti siyo chumbani ni mahala peupe kwa walimwengu,itoshe tu kwa kukemea upuuzi huu miongoni mwetu na pia mh.Rais atawaliwe na subira ktk jambo hili.
Mungu ambariki ktk kila jambo alitendalo na sisi tuwe nyuma yake daima kwa uaminifu.
Amen
__________________ "The only thing we have to fear is fear itself." – FDR
Kumchafua Rais ni kuichafua Tanzania,tovuti siyo chumbani ni mahala peupe kwa walimwengu,itoshe tu kwa kukemea upuuzi huu miongoni mwetu na pia mh.Rais atawaliwe na subira ktk jambo hili.
Mungu ambariki ktk kila jambo alitendalo na sisi tuwe nyuma yake daima kwa uaminifu.
Amen
__________________ "The only thing we have to fear is fear itself." – FDR
Ndugu zangu,,, huu ulikuwa ujumbe wangu, ambao watu walinidhihaki ni kusema ni maneno ya kitoto
Quote:
Mwafrika wa Kike,
Kama wewe ni Mzalendo halisi wa nchi yetu hii, ambaye unaitakia mema nchi hii,,, think Again, and then think Again, once you finish to think think again, Try to convience yourself... kwamba utakuwa umefanya kwa masilahi ya nani?
I assure you the moment unaweka huo upuuzi hapa,,, kama mzalendo halisi utaanza kujuta muda huo huo... mimi sio mtu wa kupiga ramli but kwa hekima mwenyezi mungu alizonipa hakika hili nina hakika nalo utajuta!!!
Fuatilia tu washabiki wako... but this is simply nonsense; simply kama rais ni symbol ya taifa, akitukanwa nimetukanwa na mimi pia! Never compare president na mwenyekiti wa Chama!
Sometimes you have to think, not only only twice, but several times before you decide to do what you think is viable.
Huu hapa chini ndio uliokuwa ushauri wangu kwa wahusika, nikadhihakiwa na kuambiwa mimi nina maneno ya kitoto angalia page 16 ya thread ile!
Quote:
Mwafrika wa Kike,
Kama wewe ni Mzalendo halisi wa nchi yetu hii, ambaye unaitakia mema nchi hii,,, think Again, and then think Again, once you finish to think think again, Try to convience yourself... kwamba utakuwa umefanya kwa masilahi ya nani?
I assure you the moment unaweka huo upuuzi hapa,,, kama mzalendo halisi utaanza kujuta muda huo huo... mimi sio mtu wa kupiga ramli but kwa hekima mwenyezi mungu alizonipa hakika hili nina hakika nalo utajuta!!!
Fuatilia tu washabiki wako... but this is simply nonsense; simply kama rais ni symbol ya taifa, akitukanwa nimetukanwa na mimi pia! Never compare president na mwenyekiti wa Chama!
Jamani, nimepokea email na PM nyingi sana kuliko uwezo wa server yangu kubeba kuhusu hili swala la kuweka picha hapa za Rais.
Naomba niseme kuwa, wingi wa email za kusikitishwa na kitendo cha kuweka zile picha hapa umezidi uwezo wangu wa kufanya kiburi cha ujana. Nakubaliana na wengi kuwa hakukuwa na maana yoyote ya kuweka zile picha hapa kwenye jamvi la jumuia.
Ni kweli kuwa Kikwete ni rais wa Tanzania na pia ni Rais wangu.
Nakiri kuwa nilikosea kuunga mkono uamuzi wa kuweka picha hapa na pia kuzisambaza kwa baadhi ya watu. Natumia bandiko hili kumuomba rais Kikwete msamaha rasmi kwa kuweka hapa mambo yake binafsi na yasiyostahili kuonyeshwa hadharani.
Ikumbukwe kuwa huu msamaha ni kwa ajili ya picha na hizi habari za ngono na sio upungufu wa Kikwete wa kisiasa na kiuongozi.
Jamani, naomba sana kwa wale niliowatumia picha wazitunze na wala wasizisambaze. Naomba pia samahani kwa wale waliopoteza muda wao kuja kuona picha hapa na kukuta kuwa server imezidiwa.
Samahani kwa wana JF kwa kuwa mmoja wa watu waliosababisha JF kupotea kwa muda fulani. Nakubaliana na wale walioshauri from the begining kuwa nisiweke mambo hayo hapa na samahani sana kwa kutofuata ushauri wenu.
Nimejifunza mengi kutokana na hili na natumaini kuwa wengi wetu tumejifunza kuwa makini. Mimi ni binadamu na kama kawaida ya binadamu, nakiri kukosea.
Namuomba pia msamaha Mwanakijiji kwa yote yaliyotokea kwa upande wangu. Inasikitisha kuwa muda mwingi sana ulipotea wa kujadili maisha ya watoto wanaokufa kwa magonjwa yanayotibika na badala yake ukatumika kumjadili mtu binafsi na mambo yake afanyayo sirini.
Masaa 24 yaliyopita yamekuwa mazito sana kuhimili. Naahidi tena kuwa sitatumia muda wangu wa thamani kujadili masuala ya binafsi na ya ngono za watu wazima.
Naomba msamaha na nategemea kusamehewa. Hata hivyo nitaelewa pia kama wengine watachukua muda mrefu kunisamehe. Nawakumbusha wale wanaofikiri kuwa mimi ni mwendesha mambo hapa JF kuwa sina hata hisa moja ya kumiliki au kuendesha JF ingawa nasikitika iwapo chombo hiki kitazidiwa nguvu kwa mambo ambayo nimesababisha mimi.
Kwa hili nawaomba msamaha rasmi Invisible na wenzake wanaofanya kazi hii bila kulipwa na yeyote. Invisible tafadhali sikiliza message yangu nimekuachia kwenye simu yako.
Asante, na naomba tuendelee kumkoma Nyani giladi hapa hapa JF.
Slogan yako inapingana na uamuzi wako kwahiyo you have made history and that history may have many interpritation to the readers never ever give up easily like that au umebanwa na SO wake ikabidi u-give up.
__________________
"If you talk to a man in a language he understands, that goes to his head. If you talk to him in his language, that goes to his heart." Nelson Mandela