Samahani kwa Kikwete na wana JF - Page 2 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Matangazo madogomadogo


Matangazo madogomadogo Matangazo ya misiba, mikutano n.k yawekwe hapa. ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.


Closed Thread
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 1st November 2007, 10:50 PM  
Samahani kwa Kikwete na wana JF
Mwafrika wa Kike Mwafrika wa Kike is offline 1st November 2007, 10:50 PM

Ok,

Jamani, nimepokea email na PM nyingi sana kuliko uwezo wa server yangu kubeba kuhusu hili swala la kuweka picha hapa za Rais.

Naomba niseme kuwa, wingi wa email za kusikitishwa na kitendo cha kuweka zile picha hapa umezidi uwezo wangu wa kufanya kiburi cha ujana. Nakubaliana na wengi kuwa hakukuwa na maana yoyote ya kuweka zile picha hapa kwenye jamvi la jumuia.

Ni kweli kuwa Kikwete ni rais wa Tanzania na pia ni Rais wangu.
Nakiri kuwa nilikosea kuunga mkono uamuzi wa kuweka picha hapa na pia kuzisambaza kwa baadhi ya watu. Natumia bandiko hili kumuomba rais Kikwete msamaha rasmi kwa kuweka hapa mambo yake binafsi na yasiyostahili kuonyeshwa hadharani.

Ikumbukwe kuwa huu msamaha ni kwa ajili ya picha na hizi habari za ngono na sio upungufu wa Kikwete wa kisiasa na kiuongozi.

Jamani, naomba sana kwa wale niliowatumia picha wazitunze na wala wasizisambaze. Naomba pia samahani kwa wale waliopoteza muda wao kuja kuona picha hapa na kukuta kuwa server imezidiwa.

Samahani kwa wana JF kwa kuwa mmoja wa watu waliosababisha JF kupotea kwa muda fulani. Nakubaliana na wale walioshauri from the begining kuwa nisiweke mambo hayo hapa na samahani sana kwa kutofuata ushauri wenu.

Nimejifunza mengi kutokana na hili na natumaini kuwa wengi wetu tumejifunza kuwa makini. Mimi ni binadamu na kama kawaida ya binadamu, nakiri kukosea.

Namuomba pia msamaha Mwanakijiji kwa yote yaliyotokea kwa upande wangu. Inasikitisha kuwa muda mwingi sana ulipotea wa kujadili maisha ya watoto wanaokufa kwa magonjwa yanayotibika na badala yake ukatumika kumjadili mtu binafsi na mambo yake afanyayo sirini.

Masaa 24 yaliyopita yamekuwa mazito sana kuhimili. Naahidi tena kuwa sitatumia muda wangu wa thamani kujadili masuala ya binafsi na ya ngono za watu wazima.

Naomba msamaha na nategemea kusamehewa. Hata hivyo nitaelewa pia kama wengine watachukua muda mrefu kunisamehe. Nawakumbusha wale wanaofikiri kuwa mimi ni mwendesha mambo hapa JF kuwa sina hata hisa moja ya kumiliki au kuendesha JF ingawa nasikitika iwapo chombo hiki kitazidiwa nguvu kwa mambo ambayo nimesababisha mimi.

Kwa hili nawaomba msamaha rasmi Invisible na wenzake wanaofanya kazi hii bila kulipwa na yeyote. Invisible tafadhali sikiliza message yangu nimekuachia kwenye simu yako.

Asante, na naomba tuendelee kumkoma Nyani giladi hapa hapa JF.
__________________
Well Behaved Women Never Make History

Mwafrika wa kike is now asking President Kikwete to resign his presidency effective immediately for the sake of our nation

Mwafrika wa Kike
JF Premium Member
Points: 795,495, Level: 100 Points: 795,495, Level: 100 Points: 795,495, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
Join Date: Thu Jul 2007
Posts: 5,840
Thanks: 0
Thanked 8 Times in 5 Posts
Views: 7494
  #11  
Old 1st November 2007, 11:14 PM
Samvulachole Samvulachole is offline
Samvulachole has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 985,986, Level: 100 Points: 985,986, Level: 100 Points: 985,986, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Sun Oct 2006
Posts: 741
Thanks: 0
Thanked 2 Times in 1 Post
Rep Power: 25
Samvulachole will become famous soon enoughSamvulachole will become famous soon enoughSamvulachole will become famous soon enoughSamvulachole will become famous soon enoughSamvulachole will become famous soon enoughSamvulachole will become famous soon enoughSamvulachole will become famous soon enoughSamvulachole will become famous soon enough
Default

Quote:
View Post
Umesamehewa Mwafrika, ingawa niliambulia X pamoja na kukaa muda mrefu nikisubiri
Quote:
View Post
That is great mwafrika wa kike, japokuwa wengine hatukuona hizi picha. I am so pleased with your words. Huo ndio utanzania, umeonyesha njia, Tuendelee na kazi, ile ya kutafakari!
Quote:
View Post
Hapana bwana,NO way!
Quote:
View Post
Mwafrika wa kike, wewe umeshatekeleza wajibu wako, wasiotaka haya wabaki na kinyongo chao, wanaweza pia wakameza... By the way, you just showed your civilisation, you would have just kept quite as many do! Lakini wapo watakaokubeza, nawe wabeze. Otherwise, endelea kumkoma nyani hapa, tayari wengine tume-miss mchango wako in the last 24h that we didnt see u here!
  #12  
Old 1st November 2007, 11:15 PM
Kibunango's Avatar
Kibunango Kibunango is offline
Kibunango Mapinduzi Daima...! CCM Damu.
JF Senior Expert Member
Points: 10,820,469, Level: 100 Points: 10,820,469, Level: 100 Points: 10,820,469, Level: 100
Activity: 39% Activity: 39% Activity: 39%
 
Join Date: Tue Aug 2006
Location: Tampere
Posts: 4,870
Thanks: 351
Thanked 207 Times in 169 Posts
Rep Power: 4033
Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!
Send a message via MSN to Kibunango Send a message via Yahoo to Kibunango
Default

barua kwa mh. kikwete unaweza kupost hapa
"naombamsamahamheshimiwakikwete.co.tz"

Zaidi ni vema ulivyojirudi
__________________
Save Water Drink Beer. "Alcohol doesn't solve any problems,
But, if you think again, neither does milk."
Vituko Vya Zenj
  #13  
Old 1st November 2007, 11:20 PM
Kitila Mkumbo's Avatar
Kitila Mkumbo Kitila Mkumbo is offline
Kitila Mkumbo Thinking independently, deciding collectively!
JF Premium Member
Points: 544,694, Level: 100 Points: 544,694, Level: 100 Points: 544,694, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Sat Feb 2006
Posts: 3,492
Thanks: 25
Thanked 224 Times in 72 Posts
Rep Power: 31
Kitila Mkumbo will become famous soon enoughKitila Mkumbo will become famous soon enoughKitila Mkumbo will become famous soon enoughKitila Mkumbo will become famous soon enoughKitila Mkumbo will become famous soon enoughKitila Mkumbo will become famous soon enoughKitila Mkumbo will become famous soon enoughKitila Mkumbo will become famous soon enough
Default

Quote:
View Post
I am afraid, the thread could be worthier than your "paste!"
__________________
Utii bila Uhuru wa Kufikiri ni Utumwa
  #14  
Old 1st November 2007, 11:25 PM
Nzokanhyilu's Avatar
Nzokanhyilu Nzokanhyilu is offline
Nzokanhyilu has no status.
JF Premium Member
Points: 215,077, Level: 100 Points: 215,077, Level: 100 Points: 215,077, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Mon Feb 2007
Location: Nyamainza
Posts: 1,212
Thanks: 22
Thanked 33 Times in 23 Posts
Rep Power: 26
Nzokanhyilu will become famous soon enoughNzokanhyilu will become famous soon enoughNzokanhyilu will become famous soon enoughNzokanhyilu will become famous soon enoughNzokanhyilu will become famous soon enoughNzokanhyilu will become famous soon enoughNzokanhyilu will become famous soon enoughNzokanhyilu will become famous soon enough
Default

Quote:
View Post
barua kwa mh. kikwete unaweza kupost hapa
"naombamsamahamheshimiwakikwete.co.tz"

Zaidi ni vema ulivyojirudi
Kelewiiikelewiii, yesu na maria....!!
__________________
’’I came to this country (Tanzania) without a single penny; a beggar. True, I had not a single penny, but I was not a beggar. I came with a brain worth millions of dollars ... supported by education and exposure.’’
  #15  
Old 1st November 2007, 11:27 PM
Samvulachole Samvulachole is offline
Samvulachole has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 985,986, Level: 100 Points: 985,986, Level: 100 Points: 985,986, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Sun Oct 2006
Posts: 741
Thanks: 0
Thanked 2 Times in 1 Post
Rep Power: 25
Samvulachole will become famous soon enoughSamvulachole will become famous soon enoughSamvulachole will become famous soon enoughSamvulachole will become famous soon enoughSamvulachole will become famous soon enoughSamvulachole will become famous soon enoughSamvulachole will become famous soon enoughSamvulachole will become famous soon enough
Default

Quote:
View Post
I am afraid, the thread could be worthier than your "paste!"
  #16  
Old 1st November 2007, 11:35 PM
DAR si LAMU DAR si LAMU is offline
DAR si LAMU has no status.
JF Premium Member
Points: 176,724, Level: 100 Points: 176,724, Level: 100 Points: 176,724, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Sat Mar 2007
Posts: 2,519
Thanks: 0
Thanked 8 Times in 6 Posts
Rep Power: 28
DAR si LAMU will become famous soon enoughDAR si LAMU will become famous soon enoughDAR si LAMU will become famous soon enoughDAR si LAMU will become famous soon enoughDAR si LAMU will become famous soon enoughDAR si LAMU will become famous soon enoughDAR si LAMU will become famous soon enoughDAR si LAMU will become famous soon enough
Default really?

Quote:
View Post
Huyu anategea kupata kazi ya kudizaini website ya Ikulu na serikali sasa anajulikana kama ni frequent member humu lakini for unknown reason naona pamoja na kumkiss Mwanakijiji's ass lakini Mwanakijiji jana kamruka sasa kilichobaki anajaribu kusalvage whats remained...shame really...this Dude was in LOVE na MWANAKIJIJI sometimes back na ushahidi huu


..nimekumbuka lamu ghafla!hasa enzi zile chakachaka lilipovuma!
__________________
Dar na Lamu yote ni miji ya pwani,lakini haifanani!
  #17  
Old 1st November 2007, 11:51 PM
Kithuku Kithuku is offline
Kithuku has successfully completed his PhD
JF Senior Expert Member
Points: 251,877, Level: 100 Points: 251,877, Level: 100 Points: 251,877, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Sun Nov 2006
Posts: 1,165
Thanks: 2
Thanked 19 Times in 8 Posts
Rep Power: 26
Kithuku will become famous soon enoughKithuku will become famous soon enoughKithuku will become famous soon enoughKithuku will become famous soon enoughKithuku will become famous soon enoughKithuku will become famous soon enoughKithuku will become famous soon enoughKithuku will become famous soon enough
Default

Tangu nijiunge na hii JamboForums, sijakutana na thread niliyoshindwa kuelewa mantiki yake kama hiyo mnayodai ya kashfa ya ngono ya JK ambayo watu wamefanyamo mambo ya matusi makubwa kuliko wanayemtuhumu. Sijui ndio kumkoma nani wapi sijui! Upumbavu mkubwa, sijapata kuona, mnisamehe tu kwa maneno haya lakini hakika nimeudhika.
  #18  
Old 1st November 2007, 11:57 PM
KadaMpinzani's Avatar
KadaMpinzani KadaMpinzani is offline
KadaMpinzani has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 773,793, Level: 100 Points: 773,793, Level: 100 Points: 773,793, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Wed Jan 2007
Location: Chadema Restaurant
Posts: 5,013
Thanks: 2
Thanked 12 Times in 9 Posts
Rep Power: 33
KadaMpinzani will become famous soon enoughKadaMpinzani will become famous soon enoughKadaMpinzani will become famous soon enoughKadaMpinzani will become famous soon enoughKadaMpinzani will become famous soon enoughKadaMpinzani will become famous soon enoughKadaMpinzani will become famous soon enoughKadaMpinzani will become famous soon enough
Default

hapo ^^ binafsi nakuelewa !
  #19  
Old 1st November 2007, 11:59 PM
DAR si LAMU DAR si LAMU is offline
DAR si LAMU has no status.
JF Premium Member
Points: 176,724, Level: 100 Points: 176,724, Level: 100 Points: 176,724, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Sat Mar 2007
Posts: 2,519
Thanks: 0
Thanked 8 Times in 6 Posts
Rep Power: 28
DAR si LAMU will become famous soon enoughDAR si LAMU will become famous soon enoughDAR si LAMU will become famous soon enoughDAR si LAMU will become famous soon enoughDAR si LAMU will become famous soon enoughDAR si LAMU will become famous soon enoughDAR si LAMU will become famous soon enoughDAR si LAMU will become famous soon enough
Default kithuku...

Quote:
View Post
Tangu nijiunge na hii JamboForums, sijakutana na thread niliyoshindwa kuelewa mantiki yake kama hiyo mnayodai ya kashfa ya ngono ya JK ambayo watu wamefanyamo mambo ya matusi makubwa kuliko wanayemtuhumu. Sijui ndio kumkoma nani wapi sijui! Upumbavu mkubwa, sijapata kuona, mnisamehe tu kwa maneno haya lakini hakika nimeudhika.
..usiumize kichwa kwa issue ile iliyopita!

..yawezekana kulikuwa na pepo mbaya angani!
__________________
Dar na Lamu yote ni miji ya pwani,lakini haifanani!
  #20  
Old 2nd November 2007, 12:10 AM
YournameisMINE YournameisMINE is offline
YournameisMINE OUT OF TOUCH!
JF Senior Expert Member
Points: 121,117, Level: 100 Points: 121,117, Level: 100 Points: 121,117, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Wed Aug 2007
Location: New England
Posts: 3,794
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
YournameisMINE is infamous around these parts
Default

Mambo mengine bwana, bure ghali!!!!.Mmesema haya ni mapambano ya kifikra, kumbe watu wenyewe fikra zenu zipo kwenye crisis.
Closed Thread

Bookmarks

Tags
jf, kikwete, samahani, wana


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Nini Hatma ya Upinzani Tanzania? Field Marshall ES Jamii Intelligence 517 16th July 2009 06:49 PM
Ujumbe Kwa Rais Kikwete Mwendapole Jukwaa la Siasa 17 17th July 2007 06:12 PM
Prof Yunnus: Kuondoa umaskini kwa TZ ni uamuzi tu Mtu wa Pwani Jukwaa la Siasa 5 17th July 2007 08:09 AM
Miaka 10 Ya Safari Ya Kuelekea Ikulu Mafuchila Jukwaa la Siasa 11 8th March 2007 07:14 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 09:42 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com