Matangazo madogomadogoMatangazo ya misiba, mikutano n.k yawekwe hapa.
ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Viwanja vya ukubwa wa 30 x30 vinauzwa bei 4.5m kama kawaida maongezi yapo
viko barabarani kabisa
haya changamkeni
tel 0713 240967
Vimepimwa rasmi (vina Hati miliki) au ni makadirio?...wapi hiyo mivumoni?
__________________ "Life is not measured by the breaths we take, but by the moments that take our breath away, Keep smiling, it makes people wonder what you're up to."
Mivumoni ni kule juu ya tegeta-teta kupita kidogo uwanja wa mpira wa panga kama unaelekea madale! walikuwa wanapima viwanja ila sijui kama hilo zoezi limemalizika!
hahaaa kumbe kaka wewe ni jirani yangu kule.....tupeane lifti bana kuja pale china town kupiga kitimoto na taska baridiiiiiiiii
__________________
_______________________________ Kagatui kamusii atiagwako ageni=The Oilskin of the house is not for rubbing on the skin of strangers
nyie mnataka hati za nini?...nchi yote hii haina hati nyie mpewe hati za kufanyia nini??...kama mnataka kununua nunueni..jengeni serikali ikija kubomoa mnalipwa millioni tatu kama wenzenu wa kipawa na kurasini maisha yanaendelea....
__________________ if we die the next generation will fight them too..and the one after them untill the victory is on our side
nyie mnataka hati za nini?...nchi yote hii haina hati nyie mpewe hati za kufanyia nini??...kama mnataka kununua nunueni..jengeni serikali ikija kubomoa mnalipwa millioni tatu kama wenzenu wa kipawa na kurasini maisha yanaendelea....
Umenifurahisha sana!! Nchi hii......Inawezekana hata magogoni hapajapimwa!
__________________ Ukipewa kazi ya kurina asali, mikono yako ikatapakaa asali, je utaisugua mikono kwenye vumbi ili kujisafisha au utailamba?
Umenifurahisha sana!! Nchi hii......Inawezekana hata magogoni hapajapimwa!
Hayo kaka ndo maeneo ya wenye inji bana, apime nani na kwa nini?... Mkulu yupo hapo na Wizara ya Mipango mizi na vizizi ni hapo hapo, Mahakama kulu na Rufani, Banki Kulu na Wizara ya Mambo ya "Out na ushirikina kimataifa " ni hapo, Wavutia "uhamishaji rasilimali za taifa (TIC); Wizara ya Fwezeha na Buuunge la jam huuri ya mungano, Mwana Shaaria Mkulu pia ni hapo hapo, mpaka wakubwa wa Mageresa ya inji nzima na Wizara ya Utumiskishaji wa umma wapo hapo sasa unataka papimwe iweje?....
Kuna ule mradi wa Ardhi, hawa jamaa wa ardhi walijiuzia viwanja kwa laki sita sita wakaenda kubabua kwa milioni tatu tatu, isiwe na huko Mivumoni ndo same buzy?.
__________________ "Life is not measured by the breaths we take, but by the moments that take our breath away, Keep smiling, it makes people wonder what you're up to."
The Following User Says Thank You to ngoshwe For This Useful Post:
Hayo kaka ndo maeneo ya wenye inji bana, apime nani na kwa nini?... Mkulu yupo hapo na Wizara ya Mipango mizi na vizizi ni hapo hapo, Mahakama kulu na Rufani, Banki Kulu na Wizara ya Mambo ya "Out na ushirikina kimataifa " ni hapo, Wavutia "uhamishaji rasilimali za taifa (TIC); Wizara ya Fwezeha na Buuunge la jam huuri ya mungano, Mwana Shaaria Mkulu pia ni hapo hapo, mpaka wakubwa wa Mageresa ya inji nzima na Wizara ya Utumiskishaji wa umma wapo hapo sasa unataka papimwe iweje?....
Kuna ule mradi wa Ardhi, hawa jamaa wa ardhi walijiuzia viwanja kwa laki sita sita wakaenda kubabua kwa milioni tatu tatu, isiwe na huko Mivumoni ndo same buzy?.
walikuja wakasavei na kuweka bicon na nondo imebaki njoo kesho huko municipal