| Find/Invite Friends | Register | Calendar | Search | Today's Posts | Mark Forums Read |
| FAQ | Members List | Bongo Flava | Zilipendwa | Taarab | Injili |
|
|
#1 | |||||||||||
|
||||||||||||
|
Views: 814
|
||||||||||||
|
#2
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Aisee Kitomai ee ..hii gari imetembea kilometa au maili ngapi? Je una picha za ndani? Ya mwaka gani? Mimi hizi 110 nazizimia sana hivyo naweza kukupa deal!!
__________________
“An advantage of poverty, your relatives gain nothing by your death” ...Hebrew's quote |
|
#3
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
yap yap yap.....umeamua kutusogezea yard ndani ya JF. Ungeanzisha thread moja halafu magari yote uwe unayapanga hapo, mtu akiingia anapata nafasi ya kuyaona yote na kuchagua analohitaji. Pia ungeweka link ya kwenda kwenye website yako...maana mzee unaonekana ni dalali na umeingia JF kwa kazi hiyo tu si vinginevyo
__________________
It's been long since I've lost all fears and concerns. I don't worry, I calculate |
|
#4
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Ukiwa kuna mtu unamjua anahitaji kununua magari niliyoyatangaza ukamwambia akanunua utapata kamisheni. karibu sana
|
|
#5
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Ile starlet vipi ushachukuliwa..? Kuna mtu jioni hii alikuwa aliniulizia ana 4.0 m
__________________
It's been long since I've lost all fears and concerns. I don't worry, I calculate |
|
#6
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Kazana mkuu unaweza kamata 10%....ha!ha!ha!
__________________
“Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning - GLORIA STEINEM. |
|
#7
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
LANDLOVER mzee?
|
|
#8
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Mkuu hii naona kama Landlover Defender 110 hii sio kama ile inayo tafutwa ya kizamani 109.
__________________
Ukiuza utumbo usiogope nzi. Chuda Raha Email: fidel80@jamiiforums.com |
|
#9
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Asante
|
|
#10
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
yes iwant to sell my MARKII CHASER GX 100 (4CYL) so that i buy one 109
«
Previous Thread
|
Next Thread
»
Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako! All times are GMT +3. The time now is 12:33 AM.
Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com | ||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||