Gari ya kazi inauzwa kama unavyoiona katika picha. Ina injini ya diesel.
Nzima inatembea ipo katika hali nzuri. Bei yake 4.5mil. Inapatikana Dar es Salaam. kwa maelezo zaidi tuwasiliane.
0717114409
Gari ya kazi inauzwa kama unavyoiona katika picha. Ina injini ya diesel.
Nzima inatembea ipo katika hali nzuri. Bei yake 4.5mil. Inapatikana Dar es Salaam. kwa maelezo zaidi tuwasiliane.
0717114409
Aisee Kitomai ee ..hii gari imetembea kilometa au maili ngapi? Je una picha za ndani? Ya mwaka gani? Mimi hizi 110 nazizimia sana hivyo naweza kukupa deal!!
"Only Faith Can Guarantee The Blessings That We Hope For, Or Prove The Existence Of The Realities That At Present Remain Unseen" . Heb 11:1 - 2.8-19
yap yap yap.....umeamua kutusogezea yard ndani ya JF. Ungeanzisha thread moja halafu magari yote uwe unayapanga hapo, mtu akiingia anapata nafasi ya kuyaona yote na kuchagua analohitaji. Pia ungeweka link ya kwenda kwenye website yako...maana mzee unaonekana ni dalali na umeingia JF kwa kazi hiyo tu si vinginevyo
Kama mapenzi ni pesa..........nikizipata nitakuja!
Ukiwa kuna mtu unamjua anahitaji kununua magari niliyoyatangaza ukamwambia akanunua utapata kamisheni. karibu sana
Ile starlet vipi ushachukuliwa..? Kuna mtu jioni hii alikuwa aliniulizia ana 4.0 m
Kama mapenzi ni pesa..........nikizipata nitakuja!
“When the missionaries came to Africa they had the Bible and we had the land. They said ''Let us pray'' we closed our eyes. When we opened them we had the Bible and they had the land.
- Rev.Bishop Desmond Tutu.
LANDLOVER mzee?
Asante
yes iwant to sell my MARKII CHASER GX 100 (4CYL) so that i buy one 109
kwa hiyo anaweza kupata Toyota Corola
hii ni 110
109 kama ipo iweke hapo ubaoni tuongee biashara
Tuwekee picha za ndani. System zote zinafanya kazi? Vipi kuhusu 4 wheal?
Bado sijajua kwa nini hili Gari Linauzwa Mil 4.5, but why!?, mbona mi naona hali yake mbaya sana? au ni macho yangu.
Embu nisaidieni,
B.
"In Life, Without Taking Risk, No One Will Succeed"
Nzuri kwa kubebea majani ya ng'ombe aisee..
Wakulu nataka kuibana caser ninunue 109 kwa ajili ya kilimo kwanza....!
There are currently 1 users browsing this thread. (0 members and 1 guests)
Bookmarks