| Find/Invite Friends | Register | Calendar | Search | Today's Posts | Mark Forums Read |
| FAQ | Members List | Bongo Flava | Zilipendwa | Taarab | Injili |
|
|
#1 | |||||||||||
|
||||||||||||
|
Views: 405
|
||||||||||||
|
#2
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Tabata Segerea Kubwa Mkuu.
Wapi hasa? Ina hati? |
|
#3
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Halafu weka kama ipo Fenced au vipi, Picha kama ile ya kwanza ingelipa mzee, finishing yake hujaonyesha ndani mkuu
__________________
A positive thinker! |
|
#4
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Segerea karibu na kituo cha mafuta cha oil com. Upimaji umeshafanyika ipo katika hatua za mwisho za kupata hati miliki siyo leseni ya makaazi
|
|
#5
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
|
|
#6
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Mkuu
Dunia imepiga hatua kubwa sana katika maendeleo ya habari na mawasiliano. Ninashauri uwe unaweka na link ya map kwa ajili ya ku-google eneo liliyopo hiyo nyumba. Hii itasaidia kutoa taarifa kamilifu hasa kwa wale ambao wapo nje ya Dar es Salaam.
__________________
'Tough times never last but tough people do' Dr. Robert Schuller |
|
#7
|
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
Nitampa google links mtu ambaye nimeonanaye ana kwa ana kwa sababu za kibiashara. Nilishawi kufanya hivyo jamaa akatumia GPS Coordinates kufika hapo unless otherwise niwe nimesaini na owner mkataba wa kupewa kamisheni hata akiuza yeye, hupo hapo?
«
Previous Thread
|
Next Thread
»
Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako! All times are GMT +3. The time now is 05:46 PM.
Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com | |||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||