Kitabu cha "One by One" - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Matangazo madogomadogo


Matangazo madogomadogo Matangazo ya misiba, mikutano n.k yawekwe hapa. ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 23rd June 2009, 09:31 AM   #1
Kitabu cha "One by One"
Bazobonankira Bazobonankira is offline 23rd June 2009, 09:31 AM

Wazww wa kazi,

Kuna kitabu nilipata kukisoma miaka tele hapo nyuma, kikiandikwa na Mkenya mmoja mtundu sana ambaye kwa bahati mbaya siwezi kukumbuka jina.

Kitabu hicho kinaitwa One By One, basically kinazungumzia binti ambaye alilaanika kwa vitendo vya ngono na hata kuogopwa katika jamii aliyokuwapo. Ilifika hata wakati akawa anaogopwa na watu kwa kuamini kuwa kukutana naye ni mkosi.

Mtindo wa uandishi ulikuwa wa kishairi zaidi.

Tafadhali sana kama kuna mwenye kumbukumbu na taarifa muhimu juu ya mwandishi na kitabu hicho kwa ujumla tusaidiane. Pia ikiwa kuna anyeweza kuweka nakala humu, abarikiwe sana.

Wasalaam!!

Bazooo

Bazobonankira
Member
Points: 90,762, Level: 100 Points: 90,762, Level: 100 Points: 90,762, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
Join Date: Thu Jan 2007
Posts: 44
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Views: 290
Reply With Quote
  #2  
Old 24th June 2009, 02:58 PM
Bazobonankira Bazobonankira is offline
Bazobonankira Nipo Nipo
Member
Points: 90,762, Level: 100 Points: 90,762, Level: 100 Points: 90,762, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Thu Jan 2007
Posts: 44
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
Bazobonankira will become famous soon enoughBazobonankira will become famous soon enoughBazobonankira will become famous soon enoughBazobonankira will become famous soon enoughBazobonankira will become famous soon enoughBazobonankira will become famous soon enoughBazobonankira will become famous soon enoughBazobonankira will become famous soon enough
Default Re: One by One

Sitaki kuamini hata kidogo kuwa hakuna aliyewahi kusoma au kusikia juu ya kitabu hiki.

Msaada jamani!! Lol..
Reply With Quote
  #3  
Old 24th June 2009, 04:43 PM
BabaDesi BabaDesi is offline
BabaDesi has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 136,194, Level: 100 Points: 136,194, Level: 100 Points: 136,194, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Sat Jun 2007
Posts: 641
Thanks: 114
Thanked 54 Times in 36 Posts
Rep Power: 24
BabaDesi will become famous soon enoughBabaDesi will become famous soon enoughBabaDesi will become famous soon enoughBabaDesi will become famous soon enoughBabaDesi will become famous soon enoughBabaDesi will become famous soon enoughBabaDesi will become famous soon enoughBabaDesi will become famous soon enough
Default Re: One by One

Quote:
View Post
Sitaki kuamini hata kidogo kuwa hakuna aliyewahi kusoma au kusikia juu ya kitabu hiki.

Msaada jamani!! Lol..

Tupo. Huyo ni David Maillu ambaye pia alitunga 'After 4.30', 'Unfit for Human Consuption', 'My Dear Bottle' 'One by One' na vingine vingi ambavyo nimevisahau kidogo. Hivyo nilivyotaja hapo vilipigwa marufuku na serikali ya Tanzania kwenye miaka ya 70 kutokana na sexual content zake! Kuhusu namna ya kukipata natumaini wengine watajazia.
Reply With Quote
  #4  
Old 30th June 2009, 11:36 PM
Visenti's Avatar
Visenti Visenti is offline
Visenti mafuta ya ndege
Senior Member
Points: 72,084, Level: 100 Points: 72,084, Level: 100 Points: 72,084, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Thu Jul 2008
Posts: 140
Thanks: 14
Thanked 4 Times in 3 Posts
Rep Power: 22
Visenti will become famous soon enoughVisenti will become famous soon enoughVisenti will become famous soon enoughVisenti will become famous soon enoughVisenti will become famous soon enoughVisenti will become famous soon enoughVisenti will become famous soon enoughVisenti will become famous soon enough
Default Re: One by One

Yes, ni David Maillu, Hata mimi navitafuta sana hivyo vitabu, naungana na Mkuu Bazobonankira, mwenye kujua jinsi ya kuvipata atoe msaada pls!
__________________
"Speed in a wrong direction is irrelevant" - M.Ghandi
Reply With Quote
  #5  
Old 1st July 2009, 03:05 PM
Bazobonankira Bazobonankira is offline
Bazobonankira Nipo Nipo
Member
Points: 90,762, Level: 100 Points: 90,762, Level: 100 Points: 90,762, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Thu Jan 2007
Posts: 44
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
Bazobonankira will become famous soon enoughBazobonankira will become famous soon enoughBazobonankira will become famous soon enoughBazobonankira will become famous soon enoughBazobonankira will become famous soon enoughBazobonankira will become famous soon enoughBazobonankira will become famous soon enoughBazobonankira will become famous soon enough
Default Re: One by One

Babadeci, nimekukubali mkuu. Wallah sikuweza kumbuka kabisa jina la mwandishi wa kitabu hiki. Thanks a lot babake.

Pia by now nimeweza kupata site yake David Gian Maillu - Home .

Sote sasa tunaweza pitia na kufahamu mengi zaidi juu yake na kazi zake.

Sasa naingia porini kusaka nyoka, I hope in few days nitaweza kupata nakala ya kitabu hiki kutoka kwa wadau fulani fulani hapa town.

Punde ntakapokipata, ntajaribu kushea na wadau wote baadhi ya interesting pages from the book.

Wasalaam!!
Reply With Quote
  #6  
Old 1st July 2009, 03:12 PM
Bazobonankira Bazobonankira is offline
Bazobonankira Nipo Nipo
Member
Points: 90,762, Level: 100 Points: 90,762, Level: 100 Points: 90,762, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Thu Jan 2007
Posts: 44
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
Bazobonankira will become famous soon enoughBazobonankira will become famous soon enoughBazobonankira will become famous soon enoughBazobonankira will become famous soon enoughBazobonankira will become famous soon enoughBazobonankira will become famous soon enoughBazobonankira will become famous soon enoughBazobonankira will become famous soon enough
Thumbs up Re: One by One

Pengine, huenda kuna mtu/watu ambao wangependa kumuandikia na hata kumpigia simu na kuuliza juu ya machapisho pamoja ja vitambu mbalimbali vilivyopata kuleta msisimko wa kipekee! kazi kwenu!!

P O Box 20019-00200
City Square
Nairobi, Kenya (EA)

Tel 254 20 2437864
Cel 254 729 505203

E maillu@davidgmaillu.com
Reply With Quote
  #7  
Old 4th July 2009, 01:42 AM
Boma Boma is offline
Boma 1 finger points me 3 pointing you
Senior Member
Points: 70,908, Level: 100 Points: 70,908, Level: 100 Points: 70,908, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Sat Apr 2008
Posts: 193
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 22
Boma will become famous soon enoughBoma will become famous soon enoughBoma will become famous soon enoughBoma will become famous soon enoughBoma will become famous soon enoughBoma will become famous soon enoughBoma will become famous soon enoughBoma will become famous soon enough
Default Re: One by One

Quote:
View Post
babadeci, nimekukubali mkuu. Wallah sikuweza kumbuka kabisa jina la mwandishi wa kitabu hiki. Thanks a lot babake.

Pia by now nimeweza kupata site yake david gian maillu - home .

Sote sasa tunaweza pitia na kufahamu mengi zaidi juu yake na kazi zake.

Sasa naingia porini kusaka nyoka, i hope in few days nitaweza kupata nakala ya kitabu hiki kutoka kwa wadau fulani fulani hapa town.

Punde ntakapokipata, ntajaribu kushea na wadau wote baadhi ya interesting pages from the book.

Wasalaam!!
i salute you for this. I read maillu's books while at ilboru high school, fom six
Reply With Quote
  #8  
Old 4th July 2009, 10:31 PM
Kahinda Kahinda is offline
Kahinda has no status.
Senior Member
Points: 67,756, Level: 100 Points: 67,756, Level: 100 Points: 67,756, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Thu Feb 2009
Posts: 242
Thanks: 12
Thanked 25 Times in 19 Posts
Rep Power: 22
Kahinda will become famous soon enoughKahinda will become famous soon enoughKahinda will become famous soon enoughKahinda will become famous soon enoughKahinda will become famous soon enoughKahinda will become famous soon enoughKahinda will become famous soon enoughKahinda will become famous soon enough
Default Re: One by One

Quote:
View Post
Tupo. Huyo ni David Maillu ambaye pia alitunga 'After 4.30', 'Unfit for Human Consuption', 'My Dear Bottle' 'One by One' na vingine vingi ambavyo nimevisahau kidogo. Hivyo nilivyotaja hapo vilipigwa marufuku na serikali ya Tanzania kwenye miaka ya 70 kutokana na sexual content zake! Kuhusu namna ya kukipata natumaini wengine watajazia.
Vitabu hivyo vilikuwa moto kweli,nakumbuka "son of women" sikumbuki vizuri kama nacho aliandika pia nakumbuka Kiunyu.
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
cha, kitabu, one by one


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Majambazi Arusha: Mabomu, Bunduki, Risasi, Bastola - Hii ni Kashfa JWTZ Hasara Jukwaa la Siasa 225 11th December 2009 03:53 PM
Richmond + TANESCO: The complete deal Invisible Jukwaa la Siasa 121 20th October 2009 04:31 AM
Mkapa above the law?: Allegations Mzee Mwanakijiji Jamii Intelligence 4058 7th October 2009 12:25 PM
Butiku ana hoja! Bubu Ataka Kusema Jukwaa la Siasa 152 19th October 2007 06:15 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 12:00 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com