 |
 |

19th November 2008, 09:23 PM
|
|
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Thu Nov 2006
Location: Tulsa, Oklahoma/MFA-TZ
Posts: 757
Rep Power: 24
Thanks: 582
Thanked 673 Times in 267 Posts
|
|
Mike sikawa afariki dunia
Mwandishi wa Habari wa siku nyingi Mike Sikawa (55) amefariki Dunia,Nyumbani kwake Njiro - Arusha siku ya Jumatatu (17.11.2008).Marehemu Sikawa amefarikiki baada ya kusumbuliwa na Ugonjwa wa Kisukari kwa muda mrefu.
Katika uhai wake amewahi kufanya kazi Katika kampuni ya magazeti ya serikali (TSN),Pia amewahi kuwa Mtangazaji wa BBC Idhaa ya Kiswahili huko Johannesburg - Afrika kusini.Marehemu ameacha mke na watoto wawili.(wanaishi South Afrika).Mazishi ya marehemu yatakuwa kwao Arumeru Arusha...Mwenyezi Mungu amlaze mahali Pema Peponi!!
__________________
Its not enough to do good if you can do better.
|
|
The Following User Says Thank You to Mwawado For This Useful Post:
|
|

19th November 2008, 09:26 PM
|
 |
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Thu Nov 2006
Posts: 2,664
Rep Power: 28
Thanks: 3
Thanked 771 Times in 496 Posts
|
|
Re: Mike sikawa afariki dunia
hata katika magazeti sijaona watu hawatilii mkazo lakini poleni wahusika wa msiba huu , sijui jk akitoka huko alipo ataenda katika msiba ngoja tuone
__________________
Don't assume anything. Take the time to brush up your knowledge because the computer world is always changing , The problem isn't your problems, it's your ridiculous solutions.
|

19th November 2008, 09:31 PM
|
|
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Thu Nov 2006
Location: Tulsa, Oklahoma/MFA-TZ
Posts: 757
Rep Power: 24
Thanks: 582
Thanked 673 Times in 267 Posts
|
|
Re: Mike sikawa afariki dunia
Shy !,Tumeipeleka habari hii kwenye magazeti...itaonekana kama ilivyo chini
Mike Sikawa wa BBC afariki dunia
MTANGAZAJI wa idhaa ya Kiswahili ya Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC), Mike Sikawa (55) ,amefariki dunia jana mchana baada ya kusumbuliwa kwa muda mrefu na ugonjwa wa kisukari.
Sikawa, ambaye pia aliwahi kufanya kazi katika Kampuni ya Tanzania Standard Newspapers (TSN) inayomiliki magazeti ya Daily News na HabariLeo, alifariki dunia juzi majira ya saa 8.47 mchana nyumbani kwake Njiro, nje kidogo ya mji wa Arusha.
Kwa mujibu wa mdogo wake marehemu, Mchungaji Charles Sikawa, ndugu yake alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kisukari kwa muda mrefu na kutokewa na kidonda mguuni.
Mchungaji huyo alisema ndugu yake alipata matibabu katika hospitali mbalimbali hapa nchini ikiwamo AICC, KCMC, St. Thomas na Hospitali ya Rufaa ya Muhimbili iliyoko Dar es Salaam lakini hakupata nafuu yoyote.
Alisema ilifika wakati nusura akatwe mguu uliokuwa na kidonda lakini madaktari walifanikiwa kukwangua nyama ya mguu wa kidonda lakini haikuweza kusaidia.
Mchungaji huyo aliendelea kusema kuwa baada ya kuhangaika kwa muda mrefu katika hospitali mbalimbali hapa nchini na kushindwa kupata nafuu, Sikawa alikuwa akipata matibabu akiwa nyumbani kwake hadi alipofikwa na mauti.
Alizaliwa King’ori wilayani Arumeru mkoani Arusha na kusoma elimu ya msingi katika eneo hilo kabla ya kufaulu na kuendelea na elimu ya sekondari katika shule ya Ilboru na Mzumbe ya mkoani Morogoro.
Katika miaka ya 1970, aliajiriwa katika kampuni ya TSN kama mwandishi wa kawaida na baadaye kujiunga na idhaa ya Kiswahili ya BBC kama mtangazaji. Ameacha mjane na watoto wawili ambao wako Amerika ya Kusini.
Mipango ya maziko inasubiri ndugu, jamaa na marafiki walioko nje ya mkoa wa Arusha na sehemu zote alizofanyia kazi.
Wakati huo huo, Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Dk. Asha-Rose Migiro ametuma salamu za rambimbi kutokana na kifo cha mwandishi huyo na kuelezea jinsi alivyoguswa na msiba huo.
Dk. Migiro alisema alipoteuliwa kushika wadhifa huo katika UN, Sikawa alikuwa mwandishi wa kwanza kumtafuta kwa ajili ya kumhoji juu ya uteuzi huo.
__________________
Its not enough to do good if you can do better.
|
|
The Following User Says Thank You to Mwawado For This Useful Post:
|
|

19th November 2008, 10:07 PM
|
 |
JF Senior & Premium Member
|
|
Join Date: Fri Mar 2006
Location: Kijijini
Posts: 12,987
Rep Power: 51
Thanks: 7,173
Thanked 9,916 Times in 3,688 Posts
|
|
Re: Mike sikawa afariki dunia
Poleni na msiba wafiwa wote, Mungu ailaze roho ya marehemu pema peponi. Amina.
__________________
Ukipewa uchaguzi na adui yako, chagua kile wanachohofia! - M.M. Original
Kijarida cha "Cheche za Fikra" kimetoka! Jipatie nakala yako hapa
|

19th November 2008, 10:07 PM
|
 |
Senior Member
|
|
Join Date: Mon Mar 2008
Location: on planet earth
Posts: 2,535
Rep Power: 4026
Thanks: 1,409
Thanked 1,572 Times in 946 Posts
|
|
Re: Mike sikawa afariki dunia
Rest in peace Mike.
|

19th November 2008, 10:11 PM
|
 |
JF Senior & Premium Member
|
|
Join Date: Tue Oct 2007
Location: Lahore
Posts: 869
Rep Power: 63
Thanks: 203
Thanked 517 Times in 285 Posts
|
|
Re: Mike sikawa afariki dunia
Mungu amrehemu Mike Sikawa na pole wafiwa wote
__________________
""Without knowledge, there is no freedom." — Anon."
|

19th November 2008, 10:17 PM
|
 |
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Fri Jun 2008
Location: Arusha Tanzania
Posts: 417
Rep Power: 21
Thanks: 552
Thanked 177 Times in 124 Posts
|
|
Re: Mike sikawa afariki dunia
Mungu Muumba wa Mbingu na Nchi aliyemuumba Mike Sikawa, hatimaye amemrudisha kwake.
Bwana alitoa na Bwana ametwaa Jina la Bwana libarikiwe. Amen.
Poleni wafiwa wote, Mwenyezi Mungu awape nguvu na uvumilivu wakati huu mgumu wa majonzi.
__________________
Wa-Tanzania tupendane, tushirikiane, tuijenge nchi yetu.
|

19th November 2008, 10:47 PM
|
|
JF Senior & Premium Member
|
|
Join Date: Fri May 2006
Posts: 2,472
Rep Power: 27
Thanks: 3,051
Thanked 1,478 Times in 703 Posts
|
|
Re: Mike sikawa afariki dunia
Mwawado,
Nimeipokea habari hii kwa masikitiko makubwa. Nilimfahamu Mike Sikawa kwa muda mrefu. Katika ziara yake hapa Marekani alinipigia simu akiwa ubalozini na nikamchukua nyumbani kwangu. KInachonisikitisha ni kwamba he died too young. 55 is a very young age, lakini mapenzi ya mwenyezi Mungu hayana makosa. I will miss him and may his family find refuge in the fact that he was loved by many.
|
|
The Following User Says Thank You to Jasusi For This Useful Post:
|
|

19th November 2008, 11:26 PM
|
|
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Tue Aug 2006
Location: Tampere
Posts: 2,482
Rep Power: 4027
Thanks: 541
Thanked 799 Times in 544 Posts
|
|
Re: Mike sikawa afariki dunia
RIP Mike Sikawa
__________________
Save Water Drink Beer "Beer helping ugly people to have sex..."
Vituko Vya Zenj
|

20th November 2008, 12:33 AM
|
 |
JF Senior & Premium Member
|
|
Join Date: Fri Nov 2007
Location: Nyanda za Juu Kusini
Posts: 353
Rep Power: 22
Thanks: 56
Thanked 138 Times in 96 Posts
|
|
Re: Mike sikawa afariki dunia
Ilikuwa inatia raha sana kusikiliza BBC. RIP brother.....
__________________
Wise men talk because they have something to say; fools talk because they have to say something.....
|
|
The Following User Says Thank You to Mwazange For This Useful Post:
|
|
|
Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
|
|
|
| Thread Tools |
|
|
| Display Modes |
Linear Mode
|
Posting Rules
|
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts
HTML code is Off
|
|
|
All times are GMT +3. The time now is 12:26 PM.
|
 |