 |
 |

20th November 2008, 01:49 AM
|
|
JF Senior & Premium Member
|
|
Join Date: Sun Nov 2006
Location: mwanza,/uk/santa clara
Posts: 2,076
Rep Power: 27
Thanks: 137
Thanked 1,206 Times in 583 Posts
|
|
Re: Mike sikawa afariki dunia
he was one of our famous son..sikujuwa kama ni mtanzania...nilifikiri ni m south ..or else...sijuwi alikuwa attached south..?maana yupo muda sana huko tangu enzi pasipoti zetu zimeandikwa kuwa huwezi kwenda south...jamani tupeni wasifu muruwa wa mike.....
R.I.P
__________________
|

20th November 2008, 01:56 AM
|
|
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Tue Jul 2007
Location: Tandale
Posts: 1,502
Rep Power: 25
Thanks: 73
Thanked 590 Times in 347 Posts
|
|
Re: Mike sikawa afariki dunia
Quote:
Originally Posted by Mwawado
Shy !,Tumeipeleka habari hii kwenye magazeti...itaonekana kama ilivyo chini
Mike Sikawa wa BBC afariki dunia
MTANGAZAJI wa idhaa ya Kiswahili ya Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC), Mike Sikawa (55) ,amefariki dunia jana mchana baada ya kusumbuliwa kwa muda mrefu na ugonjwa wa kisukari.
Sikawa, ambaye pia aliwahi kufanya kazi katika Kampuni ya Tanzania Standard Newspapers (TSN) inayomiliki magazeti ya Daily News na HabariLeo, alifariki dunia juzi majira ya saa 8.47 mchana nyumbani kwake Njiro, nje kidogo ya mji wa Arusha.
Kwa mujibu wa mdogo wake marehemu, Mchungaji Charles Sikawa, ndugu yake alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kisukari kwa muda mrefu na kutokewa na kidonda mguuni.
Mchungaji huyo alisema ndugu yake alipata matibabu katika hospitali mbalimbali hapa nchini ikiwamo AICC, KCMC, St. Thomas na Hospitali ya Rufaa ya Muhimbili iliyoko Dar es Salaam lakini hakupata nafuu yoyote.
Alisema ilifika wakati nusura akatwe mguu uliokuwa na kidonda lakini madaktari walifanikiwa kukwangua nyama ya mguu wa kidonda lakini haikuweza kusaidia.
Mchungaji huyo aliendelea kusema kuwa baada ya kuhangaika kwa muda mrefu katika hospitali mbalimbali hapa nchini na kushindwa kupata nafuu, Sikawa alikuwa akipata matibabu akiwa nyumbani kwake hadi alipofikwa na mauti.
Alizaliwa King’ori wilayani Arumeru mkoani Arusha na kusoma elimu ya msingi katika eneo hilo kabla ya kufaulu na kuendelea na elimu ya sekondari katika shule ya Ilboru na Mzumbe ya mkoani Morogoro.
Katika miaka ya 1970, aliajiriwa katika kampuni ya TSN kama mwandishi wa kawaida na baadaye kujiunga na idhaa ya Kiswahili ya BBC kama mtangazaji. Ameacha mjane na watoto wawili ambao wako Amerika ya Kusini.
Mipango ya maziko inasubiri ndugu, jamaa na marafiki walioko nje ya mkoa wa Arusha na sehemu zote alizofanyia kazi.
Wakati huo huo, Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Dk. Asha-Rose Migiro ametuma salamu za rambimbi kutokana na kifo cha mwandishi huyo na kuelezea jinsi alivyoguswa na msiba huo.
Dk. Migiro alisema alipoteuliwa kushika wadhifa huo katika UN, Sikawa alikuwa mwandishi wa kwanza kumtafuta kwa ajili ya kumhoji juu ya uteuzi huo.
|
Mara nyingi hawa ndugu zetu wakati fulani wanapoandika habari huwa hawafanyi research hata kidogo. Ndio maana JF will always be first. Sina hakika kama kweli huyu mheshimiwa ameacha mjane Amerika ya Kusini
|
|
The Following User Says Thank You to Bongolander For This Useful Post:
|
|

20th November 2008, 03:13 AM
|
 |
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Tue Sep 2006
Posts: 4,739
Rep Power: 13
Thanks: 375
Thanked 1,769 Times in 867 Posts
|
|
Re: Mike sikawa afariki dunia
duh! noma tupu
|

20th November 2008, 05:22 AM
|
 |
JF Senior & Premium Member
|
|
Join Date: Sun Feb 2007
Location: Buzwagi
Posts: 7,572
Rep Power: 2057
Thanks: 3,125
Thanked 3,602 Times in 2,051 Posts
|
|
Re: Mike sikawa afariki dunia
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi~AMEN na awape nguvu, subira na faraja wafiwa katika kipindi hiki kigumu kwao.
__________________
I will die poor rather than stealing from Tanzanians through fake contracts and dubious ownership of Tanzanians' Natural Resources
|

20th November 2008, 08:36 AM
|
 |
Senior Member
|
|
Join Date: Mon Nov 2008
Posts: 126
Rep Power: 21
Thanks: 86
Thanked 42 Times in 28 Posts
|
|
Re: Mike sikawa afariki dunia
RIP Man Mike Sikawa...........! Kazi ya Mungu haina makosa, jina la bwana lihimidiwe, Milele na milele amina!
__________________
I'M NOT IN COMPETITION WITH ANYBODY BUT MYSELF...... .... MY GOAL IS TO BEAT MY LAST PERFORMANCE - BILL GATES
|

20th November 2008, 08:46 AM
|
 |
Senior Member
|
|
Join Date: Mon Nov 2008
Posts: 126
Rep Power: 21
Thanks: 86
Thanked 42 Times in 28 Posts
|
|
Re: Mike sikawa afariki dunia
Quote:
Originally Posted by Bongolander
Mara nyingi hawa ndugu zetu wakati fulani wanapoandika habari huwa hawafanyi research hata kidogo. Ndio maana JF will always be first. Sina hakika kama kweli huyu mheshimiwa ameacha mjane Amerika ya Kusini
|
Nafikiri ni Afrika ya Kusini....kidole cha ndugu yetu kiliteleza!
__________________
I'M NOT IN COMPETITION WITH ANYBODY BUT MYSELF...... .... MY GOAL IS TO BEAT MY LAST PERFORMANCE - BILL GATES
|

20th November 2008, 08:55 AM
|
|
Junior Member
|
|
Join Date: Thu Oct 2007
Posts: 4
Rep Power: 0
Thanks: 3
Thanked 1 Time in 1 Post
|
|
Re: Mike sikawa afariki dunia
Mungu aipumzishe kwa Amani Roho ya Marehemu Mike Sikawa na awape nguvu ya Kuhimili Msiba huu ndugu na jamaa zake wote. Aamin.
|

20th November 2008, 08:56 AM
|
|
JF Senior & Premium Member
|
|
Join Date: Tue Apr 2008
Posts: 592
Rep Power: 22
Thanks: 109
Thanked 376 Times in 227 Posts
|
|
Re: Mike sikawa afariki dunia
Poleni wafiwa na wanataaluma wenzake. Aliimudu sana taaluma hii.
|

20th November 2008, 09:07 AM
|
|
Senior Member
|
|
Join Date: Sat Dec 2007
Posts: 113
Rep Power: 22
Thanks: 66
Thanked 34 Times in 27 Posts
|
|
Re: Mike sikawa afariki dunia
They have sayed it all,
rip mike sikawa
|

20th November 2008, 12:31 PM
|
|
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Mon Jan 2007
Location: uwanja wa fisi
Posts: 2,781
Rep Power: 0
Thanks: 238
Thanked 1,321 Times in 755 Posts
|
|
Re: Mike sikawa afariki dunia
RIP Sikawa
__________________
Mambo si mambo mkulima kala mbegu, habari ndio hiyo!
|
|
Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
|
|
|
| Thread Tools |
|
|
| Display Modes |
Linear Mode
|
Posting Rules
|
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts
HTML code is Off
|
|
|
All times are GMT +3. The time now is 11:38 AM.
|
 |