Mike sikawa afariki dunia - Page 3 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Matangazo madogomadogo


Matangazo madogomadogo Matangazo ya misiba, mikutano n.k yawekwe hapa. ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 19th November 2008, 09:23 PM  
Mike sikawa afariki dunia
Mwawado Mwawado is offline 19th November 2008, 09:23 PM

Mwandishi wa Habari wa siku nyingi Mike Sikawa (55) amefariki Dunia,Nyumbani kwake Njiro - Arusha siku ya Jumatatu (17.11.2008).Marehemu Sikawa amefarikiki baada ya kusumbuliwa na Ugonjwa wa Kisukari kwa muda mrefu.

Katika uhai wake amewahi kufanya kazi Katika kampuni ya magazeti ya serikali (TSN),Pia amewahi kuwa Mtangazaji wa BBC Idhaa ya Kiswahili huko Johannesburg - Afrika kusini.Marehemu ameacha mke na watoto wawili.(wanaishi South Afrika).Mazishi ya marehemu yatakuwa kwao Arumeru Arusha...Mwenyezi Mungu amlaze mahali Pema Peponi!!
__________________
Its not enough to do good if you can do better.

 
Mwawado's Avatar
Mwawado
JF Senior Expert Member
Points: 219,786, Level: 100 Points: 219,786, Level: 100 Points: 219,786, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
Join Date: Thu Nov 2006
Location: Tulsa, Oklahoma/MFA-TZ
Posts: 1,075
Thanks: 51
Thanked 73 Times in 33 Posts
Views: 1271
Reply With Quote
  #21  
Old 20th November 2008, 12:56 PM
Yo Yo's Avatar
Yo Yo Yo Yo is offline
Yo Yo is praying
JF Senior Expert Member
Points: 853,756, Level: 100 Points: 853,756, Level: 100 Points: 853,756, Level: 100
Activity: 8% Activity: 8% Activity: 8%
 
Join Date: Sat May 2008
Posts: 5,484
Thanks: 57
Thanked 54 Times in 37 Posts
Rep Power: 32
Yo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enough
Default Re: Mike sikawa afariki dunia

RIP Mike Sikawa.
__________________

Reply With Quote
  #22  
Old 20th November 2008, 12:59 PM
Nyamungo Nyamungo is offline
Nyamungo has no status.
Senior Member
Points: 85,378, Level: 100 Points: 85,378, Level: 100 Points: 85,378, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Wed Aug 2007
Posts: 150
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 23
Nyamungo will become famous soon enoughNyamungo will become famous soon enoughNyamungo will become famous soon enoughNyamungo will become famous soon enoughNyamungo will become famous soon enoughNyamungo will become famous soon enoughNyamungo will become famous soon enoughNyamungo will become famous soon enough
Default Re: Mike sikawa afariki dunia

Quote:
View Post
hata katika magazeti sijaona watu hawatilii mkazo lakini poleni wahusika wa msiba huu , sijui jk akitoka huko alipo ataenda katika msiba ngoja tuone
Sasa hapa JK wa watu anahusika nini na wewe Shy!! jamani mwacheni mtoto wa mwenzenu na yeye kazaliwa kama wewe. mumpumzishe basi. sio kila kitu kumpaka matope. huyu ni rais wa nchi mpe heshima yake. huo msiba unahusika nini!!!! looo ungepewa wewe kuwa rais wa nchi ungeweza? acha hizo. mengine mumpumzishe baba wa watu %#@*&%$#*&%$#@
Reply With Quote
  #23  
Old 20th November 2008, 01:20 PM
Mpita Njia Mpita Njia is offline
Mpita Njia has no status.
JF Premium Member
Points: 737,278, Level: 100 Points: 737,278, Level: 100 Points: 737,278, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Mon Mar 2008
Posts: 3,142
Thanks: 79
Thanked 89 Times in 58 Posts
Rep Power: 29
Mpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enough
Default Re: Mike sikawa afariki dunia

Amoumzike kwa amani
Reply With Quote
  #24  
Old 20th November 2008, 01:26 PM
Mpita Njia Mpita Njia is offline
Mpita Njia has no status.
JF Premium Member
Points: 737,278, Level: 100 Points: 737,278, Level: 100 Points: 737,278, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Mon Mar 2008
Posts: 3,142
Thanks: 79
Thanked 89 Times in 58 Posts
Rep Power: 29
Mpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enough
Default Re: Mike sikawa afariki dunia

Quote:
View Post
Mara nyingi hawa ndugu zetu wakati fulani wanapoandika habari huwa hawafanyi research hata kidogo. Ndio maana JF will always be first. Sina hakika kama kweli huyu mheshimiwa ameacha mjane Amerika ya Kusini
Samahani kwa kuchepuka.
Mkuu Bongolander, ukisoma vema sehemu uliyohighlight utabaini kuwa kuna kiunganisha NA. Hiki kinatenganisha kati ya mjane NA watoto. Hivyo katika fasihi, kiambishi kinachofuata baada ya kiungabnishi hicho kinaweza kumaanisha kinahusisha nomino iliyotajwa baada ya kiunganishi. Kwa maana hiyo, katika habari ulioikosoa. kuna uwezekano kuwa walioko Amerika ya kusini ni watoto, ambayo ni nomino iliyotajwa baada ya kiunganisha.
Asante
Reply With Quote
  #25  
Old 20th November 2008, 02:30 PM
WomanOfSubstance's Avatar
WomanOfSubstance WomanOfSubstance is online now
WomanOfSubstance is counting her blessings
JF Premium Member
Points: 786,469, Level: 100 Points: 786,469, Level: 100 Points: 786,469, Level: 100
Activity: 23% Activity: 23% Activity: 23%
 
Join Date: Fri May 2008
Posts: 3,633
Thanks: 390
Thanked 650 Times in 324 Posts
Rep Power: 29
WomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enough
Default Re: Mike sikawa afariki dunia

RIP Mike!
You have done your bit-kazi yako inatambulika hakuna ubishi.
Kazi kwetu tuliobaki tutakumbukwa kwa lipi?Food for thought!
__________________
Do not dwell in the past, do not dream of the future, concentrate the mind on the present moment. -- Buddha
Reply With Quote
  #26  
Old 20th November 2008, 03:02 PM
BeNoir BeNoir is offline
BeNoir has no status.
JF Premium Member
Points: 72,319, Level: 100 Points: 72,319, Level: 100 Points: 72,319, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue May 2008
Posts: 91
Thanks: 2
Thanked 10 Times in 8 Posts
Rep Power: 22
BeNoir will become famous soon enoughBeNoir will become famous soon enoughBeNoir will become famous soon enoughBeNoir will become famous soon enoughBeNoir will become famous soon enoughBeNoir will become famous soon enoughBeNoir will become famous soon enoughBeNoir will become famous soon enough
Default Re: Mike sikawa afariki dunia

I will miss you Mike. RIP.
__________________
Trust but verify.
Reply With Quote
  #27  
Old 20th November 2008, 03:15 PM
Steve Dii's Avatar
Steve Dii Steve Dii is offline
Steve Dii got far too many trumpcards..!!
JF Premium Member
Points: 1,697,556, Level: 100 Points: 1,697,556, Level: 100 Points: 1,697,556, Level: 100
Activity: 33% Activity: 33% Activity: 33%
 
Join Date: Mon Jun 2007
Location: Kihesa - Iringa
Posts: 4,985
Thanks: 628
Thanked 356 Times in 193 Posts
Rep Power: 152
Steve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to behold
Send a message via ICQ to Steve Dii Send a message via AIM to Steve Dii Send a message via MSN to Steve Dii Send a message via Yahoo to Steve Dii Send a message via Skype™ to Steve Dii
Default Re: Mike sikawa afariki dunia

Roho Yake Ilale Pahali Pema Peponi. Amina.

SteveD.
__________________

Jamii ijuayo uwiano thabiti kati ya dharau, ubinafsi, chuki na ustaarab dhidi ya jamii nyingine na baina ya watu wake ni jamii yenye maendeleo. Isiyojua ni dumazi. SD1-09.

Fikra ni nyenzo endelezi au potofu. Changamoto tuliyonayo ni kuchanganua na kutenganisha kati ya fikra endelevu na fikra potofu, kwani mwisho wa fikra ni matendo pale fikra hazibakii kuwa fikra. SD6-07Rev.2-09.


Reply With Quote
  #28  
Old 26th November 2008, 12:14 AM
PastorPetro PastorPetro is offline
PastorPetro has no status.
Member
Points: 70,320, Level: 100 Points: 70,320, Level: 100 Points: 70,320, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Mon Feb 2008
Location: Boston, MA USA
Posts: 38
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
PastorPetro will become famous soon enoughPastorPetro will become famous soon enoughPastorPetro will become famous soon enoughPastorPetro will become famous soon enoughPastorPetro will become famous soon enoughPastorPetro will become famous soon enoughPastorPetro will become famous soon enoughPastorPetro will become famous soon enough
Default Re: Mike sikawa afariki dunia

Rest in Peace Mike Sikawa. You go down as one of Tanzania's greatest journalists.
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
afariki, dunia, mike, sikawa


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Felix Makene Afariki Dunia! Morani75 Habari na Hoja mchanganyiko 69 29th January 2008 01:50 PM
Dunia Adonis afariki dunia Bubu Ataka Kusema Sports & Entertainment Forum 2 13th November 2007 01:55 AM
Sheikh NURDIN HUSSEIN AL-SHADILY afariki dunia Samvulachole Jukwaa la Siasa 25 27th August 2007 12:46 PM
Chifu Fundikira Afariki Dunia Saidi Yakubu Celebrities Forum 45 14th August 2007 09:23 AM
Dunia Salama shy Habari na Hoja mchanganyiko 1 12th October 2006 07:46 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 12:33 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com