Mike sikawa afariki dunia - Page 2 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Matangazo madogomadogo


Matangazo madogomadogo Matangazo ya misiba, mikutano n.k yawekwe hapa. ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 19th November 2008, 09:23 PM  
Mike sikawa afariki dunia
Mwawado Mwawado is offline 19th November 2008, 09:23 PM

Mwandishi wa Habari wa siku nyingi Mike Sikawa (55) amefariki Dunia,Nyumbani kwake Njiro - Arusha siku ya Jumatatu (17.11.2008).Marehemu Sikawa amefarikiki baada ya kusumbuliwa na Ugonjwa wa Kisukari kwa muda mrefu.

Katika uhai wake amewahi kufanya kazi Katika kampuni ya magazeti ya serikali (TSN),Pia amewahi kuwa Mtangazaji wa BBC Idhaa ya Kiswahili huko Johannesburg - Afrika kusini.Marehemu ameacha mke na watoto wawili.(wanaishi South Afrika).Mazishi ya marehemu yatakuwa kwao Arumeru Arusha...Mwenyezi Mungu amlaze mahali Pema Peponi!!
__________________
Its not enough to do good if you can do better.

 
Mwawado's Avatar
Mwawado
JF Senior Expert Member
Join Date: Thu Nov 2006
Location: Tulsa, Oklahoma/MFA-TZ
Posts: 899
Thanks: 740
Thanked 877 Times in 345 Posts
Views: 1069
Reply With Quote
The Following User Says Thank You to Mwawado For This Useful Post:
SteveD (20th November 2008)
  #11 (permalink)  
Old 20th November 2008, 01:49 AM
Phillemon Mikael has no status.
JF Premium Member
 
Join Date: Sun Nov 2006
Location: mwanza,/uk/santa clara
Posts: 2,471
Thanks: 157
Thanked 1,652 Times in 747 Posts
Rep Power: 27
Phillemon Mikael has much to be proud ofPhillemon Mikael has much to be proud ofPhillemon Mikael has much to be proud ofPhillemon Mikael has much to be proud ofPhillemon Mikael has much to be proud ofPhillemon Mikael has much to be proud ofPhillemon Mikael has much to be proud ofPhillemon Mikael has much to be proud of
Credits: 9,211,460
Default Re: Mike sikawa afariki dunia

he was one of our famous son..sikujuwa kama ni mtanzania...nilifikiri ni m south ..or else...sijuwi alikuwa attached south..?maana yupo muda sana huko tangu enzi pasipoti zetu zimeandikwa kuwa huwezi kwenda south...jamani tupeni wasifu muruwa wa mike.....

R.I.P
__________________
Reply With Quote
Sponsors

Enter your Email


Preview |

Tuma ukurasa huu kwa rafiki yako

  #12 (permalink)  
Old 20th November 2008, 01:56 AM
Bongolander has no status.
JF Senior Expert Member
 
Join Date: Tue Jul 2007
Location: Tandale
Posts: 1,738
Thanks: 85
Thanked 720 Times in 415 Posts
Rep Power: 25
Bongolander has much to be proud ofBongolander has much to be proud ofBongolander has much to be proud ofBongolander has much to be proud ofBongolander has much to be proud ofBongolander has much to be proud ofBongolander has much to be proud ofBongolander has much to be proud of
Credits: 4,936,545
Default Re: Mike sikawa afariki dunia

Quote:
View Post
Shy !,Tumeipeleka habari hii kwenye magazeti...itaonekana kama ilivyo chini
Mike Sikawa wa BBC afariki dunia

MTANGAZAJI wa idhaa ya Kiswahili ya Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC), Mike Sikawa (55) ,amefariki dunia jana mchana baada ya kusumbuliwa kwa muda mrefu na ugonjwa wa kisukari.

Sikawa, ambaye pia aliwahi kufanya kazi katika Kampuni ya Tanzania Standard Newspapers (TSN) inayomiliki magazeti ya Daily News na HabariLeo, alifariki dunia juzi majira ya saa 8.47 mchana nyumbani kwake Njiro, nje kidogo ya mji wa Arusha.

Kwa mujibu wa mdogo wake marehemu, Mchungaji Charles Sikawa, ndugu yake alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kisukari kwa muda mrefu na kutokewa na kidonda mguuni.
Mchungaji huyo alisema ndugu yake alipata matibabu katika hospitali mbalimbali hapa nchini ikiwamo AICC, KCMC, St. Thomas na Hospitali ya Rufaa ya Muhimbili iliyoko Dar es Salaam lakini hakupata nafuu yoyote.

Alisema ilifika wakati nusura akatwe mguu uliokuwa na kidonda lakini madaktari walifanikiwa kukwangua nyama ya mguu wa kidonda lakini haikuweza kusaidia.
Mchungaji huyo aliendelea kusema kuwa baada ya kuhangaika kwa muda mrefu katika hospitali mbalimbali hapa nchini na kushindwa kupata nafuu, Sikawa alikuwa akipata matibabu akiwa nyumbani kwake hadi alipofikwa na mauti.

Alizaliwa King’ori wilayani Arumeru mkoani Arusha na kusoma elimu ya msingi katika eneo hilo kabla ya kufaulu na kuendelea na elimu ya sekondari katika shule ya Ilboru na Mzumbe ya mkoani Morogoro.

Katika miaka ya 1970, aliajiriwa katika kampuni ya TSN kama mwandishi wa kawaida na baadaye kujiunga na idhaa ya Kiswahili ya BBC kama mtangazaji. Ameacha mjane na watoto wawili ambao wako Amerika ya Kusini.

Mipango ya maziko inasubiri ndugu, jamaa na marafiki walioko nje ya mkoa wa Arusha na sehemu zote alizofanyia kazi.

Wakati huo huo, Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Dk. Asha-Rose Migiro ametuma salamu za rambimbi kutokana na kifo cha mwandishi huyo na kuelezea jinsi alivyoguswa na msiba huo.

Dk. Migiro alisema alipoteuliwa kushika wadhifa huo katika UN, Sikawa alikuwa mwandishi wa kwanza kumtafuta kwa ajili ya kumhoji juu ya uteuzi huo.

Mara nyingi hawa ndugu zetu wakati fulani wanapoandika habari huwa hawafanyi research hata kidogo. Ndio maana JF will always be first. Sina hakika kama kweli huyu mheshimiwa ameacha mjane Amerika ya Kusini
Reply With Quote
The Following User Says Thank You to Bongolander For This Useful Post:
WomenofSubstanc (20th November 2008)
  #13 (permalink)  
Old 20th November 2008, 03:13 AM
Game Theory's Avatar
Game Theory has no status.
JF Senior Expert Member
 
Join Date: Tue Sep 2006
Posts: 5,690
Thanks: 485
Thanked 2,296 Times in 1,095 Posts
Rep Power: 15
Game Theory will become famous soon enough
Credits: 14,055,552,710
Default Re: Mike sikawa afariki dunia

duh! noma tupu
Reply With Quote
  #14 (permalink)  
Old 20th November 2008, 05:22 AM
Bubu Ataka Kusema's Avatar
Bubu Ataka Kusema the enemy of corrupt leaders
JF Premium Member
 
Join Date: Sun Feb 2007
Location: Buzwagi
Posts: 9,993
Thanks: 5,006
Thanked 5,368 Times in 2,904 Posts
Rep Power: 2042
Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!
Credits: 7,778,103,805
Default Re: Mike sikawa afariki dunia

Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi~AMEN na awape nguvu, subira na faraja wafiwa katika kipindi hiki kigumu kwao.
__________________
I will die poor rather than stealing from Tanzanians through fake contracts and dubious ownership of Tanzanians' Natural Resources
Reply With Quote
  #15 (permalink)  
Old 20th November 2008, 08:36 AM
Next Level's Avatar
Next Level is optimistic one day yes
JF Premium Member
 
Join Date: Mon Nov 2008
Location: Pwani
Posts: 1,139
Thanks: 465
Thanked 576 Times in 341 Posts
Rep Power: 23
Next Level has much to be proud ofNext Level has much to be proud ofNext Level has much to be proud ofNext Level has much to be proud ofNext Level has much to be proud ofNext Level has much to be proud ofNext Level has much to be proud ofNext Level has much to be proud of
Credits: 2,691,903
Default Re: Mike sikawa afariki dunia

RIP Man Mike Sikawa...........! Kazi ya Mungu haina makosa, jina la bwana lihimidiwe, Milele na milele amina!
__________________
CHANGIA JF: MKONO MTUPU HAULAMBWI- SIKONGE
Reply With Quote
  #16 (permalink)  
Old 20th November 2008, 08:46 AM
Next Level's Avatar
Next Level is optimistic one day yes
JF Premium Member
 
Join Date: Mon Nov 2008
Location: Pwani
Posts: 1,139
Thanks: 465
Thanked 576 Times in 341 Posts
Rep Power: 23
Next Level has much to be proud ofNext Level has much to be proud ofNext Level has much to be proud ofNext Level has much to be proud ofNext Level has much to be proud ofNext Level has much to be proud ofNext Level has much to be proud ofNext Level has much to be proud of
Credits: 2,691,903
Default Re: Mike sikawa afariki dunia

Quote:
View Post
Mara nyingi hawa ndugu zetu wakati fulani wanapoandika habari huwa hawafanyi research hata kidogo. Ndio maana JF will always be first. Sina hakika kama kweli huyu mheshimiwa ameacha mjane Amerika ya Kusini
Nafikiri ni Afrika ya Kusini....kidole cha ndugu yetu kiliteleza!
__________________
CHANGIA JF: MKONO MTUPU HAULAMBWI- SIKONGE
Reply With Quote
  #17 (permalink)  
Old 20th November 2008, 08:55 AM
Iddi Rajab has no status.
Junior Member
 
Join Date: Thu Oct 2007
Posts: 6
Thanks: 3
Thanked 2 Times in 2 Posts
Rep Power: 0
Iddi Rajab has much to be proud ofIddi Rajab has much to be proud ofIddi Rajab has much to be proud ofIddi Rajab has much to be proud ofIddi Rajab has much to be proud ofIddi Rajab has much to be proud ofIddi Rajab has much to be proud ofIddi Rajab has much to be proud of
Credits: 67,110
Default Re: Mike sikawa afariki dunia

Mungu aipumzishe kwa Amani Roho ya Marehemu Mike Sikawa na awape nguvu ya Kuhimili Msiba huu ndugu na jamaa zake wote. Aamin.
Reply With Quote
  #18 (permalink)  
Old 20th November 2008, 08:56 AM
WildCard has no status.
JF Premium Member
 
Join Date: Tue Apr 2008
Posts: 828
Thanks: 138
Thanked 494 Times in 309 Posts
Rep Power: 23
WildCard has much to be proud ofWildCard has much to be proud ofWildCard has much to be proud ofWildCard has much to be proud ofWildCard has much to be proud ofWildCard has much to be proud ofWildCard has much to be proud ofWildCard has much to be proud of
Credits: 1,580,185
Default Re: Mike sikawa afariki dunia

Poleni wafiwa na wanataaluma wenzake. Aliimudu sana taaluma hii.
Reply With Quote
  #19 (permalink)  
Old 20th November 2008, 09:07 AM
Lione has no status.
Senior Member
 
Join Date: Sat Dec 2007
Posts: 115
Thanks: 66
Thanked 35 Times in 28 Posts
Rep Power: 22
Lione has much to be proud ofLione has much to be proud ofLione has much to be proud ofLione has much to be proud ofLione has much to be proud ofLione has much to be proud ofLione has much to be proud ofLione has much to be proud of
Credits: 171,015
Default Re: Mike sikawa afariki dunia

They have sayed it all,
rip mike sikawa
Reply With Quote
  #20 (permalink)  
Old 20th November 2008, 12:31 PM
Masatu Is Magumashi
JF Senior Expert Member
 
Join Date: Mon Jan 2007
Location: Mbagala, Jeshini
Posts: 3,173
Thanks: 250
Thanked 1,537 Times in 889 Posts
Rep Power: 0
Masatu can only hope to improve
Credits: 59,874,680
Default Re: Mike sikawa afariki dunia

RIP Sikawa
__________________
Mambo si mambo mkulima kala mbegu, habari ndio hiyo!
Reply With Quote
Reply

Bookmarks


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are On
Pingbacks are On
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Ngozoma Matunda afariki dunia Bubu Ataka Kusema Michezo (Sports & Games) 9 20th November 2008 03:58 PM
Hadithi - shujaa wa mashariki Shy Jukwaa la Lugha 2 3rd October 2008 01:04 PM
Ofisa ubalozini Nigeria afariki dunia Bubu Ataka Kusema Jukwaa la Siasa 2 3rd July 2008 07:47 AM
Dunia Adonis afariki dunia Bubu Ataka Kusema Michezo (Sports & Games) 2 13th November 2007 01:55 AM
Sheikh NURDIN HUSSEIN AL-SHADILY afariki dunia samvulachole Jukwaa la Siasa 25 27th August 2007 11:46 AM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 01:38 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com

no new posts