TMF|JamiiForums Blog
  • Member Login:
http://www.jamiiforums.com/zain.jpg

+ Reply to Topic
Page 2 of 2 FirstFirst 1 2
Results 21 to 28 of 28
  1. #1
    JF Senior Expert Member Mwawado will become famous soon enough Mwawado will become famous soon enough Mwawado will become famous soon enough Mwawado will become famous soon enough Mwawado will become famous soon enough Mwawado will become famous soon enough Mwawado will become famous soon enough Mwawado will become famous soon enough Mwawado's Avatar
    Join Date
    Thu Nov 2006
    Location
    Tulsa, Oklahoma/MFA-TZ
    Posts
    1,124
    Thanks : 115
    Thanked 187 Times in 61 Posts
    Rep Power
    26

    Default Mike sikawa afariki dunia

    Mwandishi wa Habari wa siku nyingi Mike Sikawa (55) amefariki Dunia,Nyumbani kwake Njiro - Arusha siku ya Jumatatu (17.11.2008).Marehemu Sikawa amefarikiki baada ya kusumbuliwa na Ugonjwa wa Kisukari kwa muda mrefu.

    Katika uhai wake amewahi kufanya kazi Katika kampuni ya magazeti ya serikali (TSN),Pia amewahi kuwa Mtangazaji wa BBC Idhaa ya Kiswahili huko Johannesburg - Afrika kusini.Marehemu ameacha mke na watoto wawili.(wanaishi South Afrika).Mazishi ya marehemu yatakuwa kwao Arumeru Arusha...Mwenyezi Mungu amlaze mahali Pema Peponi!!
    Its not enough to do good if you can do better.

  2. #21
    JF Senior Expert Member Yo Yo will become famous soon enough Yo Yo will become famous soon enough Yo Yo will become famous soon enough Yo Yo will become famous soon enough Yo Yo will become famous soon enough Yo Yo will become famous soon enough Yo Yo will become famous soon enough Yo Yo will become famous soon enough Yo Yo's Avatar
    Join Date
    Sat May 2008
    Posts
    5,484
    Thanks : 57
    Thanked 59 Times in 41 Posts
    Rep Power
    33

    Default Re: Mike sikawa afariki dunia

    RIP Mike Sikawa.


  3. #22
    Senior Member Nyamungo will become famous soon enough Nyamungo will become famous soon enough Nyamungo will become famous soon enough Nyamungo will become famous soon enough Nyamungo will become famous soon enough Nyamungo will become famous soon enough Nyamungo will become famous soon enough Nyamungo will become famous soon enough
    Join Date
    Wed Aug 2007
    Posts
    168
    Thanks : 0
    Thanked 0 Times in 0 Posts
    Rep Power
    24

    Default Re: Mike sikawa afariki dunia

    Quote Originally Posted by Shy View Post
    hata katika magazeti sijaona watu hawatilii mkazo lakini poleni wahusika wa msiba huu , sijui jk akitoka huko alipo ataenda katika msiba ngoja tuone
    Sasa hapa JK wa watu anahusika nini na wewe Shy!! jamani mwacheni mtoto wa mwenzenu na yeye kazaliwa kama wewe. mumpumzishe basi. sio kila kitu kumpaka matope. huyu ni rais wa nchi mpe heshima yake. huo msiba unahusika nini!!!! looo ungepewa wewe kuwa rais wa nchi ungeweza? acha hizo. mengine mumpumzishe baba wa watu %#@*&%$#*&%$#@

  4. #23
    JF Premium Member Mpita Njia will become famous soon enough Mpita Njia will become famous soon enough Mpita Njia will become famous soon enough Mpita Njia will become famous soon enough Mpita Njia will become famous soon enough Mpita Njia will become famous soon enough Mpita Njia will become famous soon enough Mpita Njia will become famous soon enough
    Join Date
    Mon Mar 2008
    Posts
    3,442
    Thanks : 189
    Thanked 226 Times in 149 Posts
    Rep Power
    29

    Default Re: Mike sikawa afariki dunia

    Amoumzike kwa amani

  5. #24
    JF Premium Member Mpita Njia will become famous soon enough Mpita Njia will become famous soon enough Mpita Njia will become famous soon enough Mpita Njia will become famous soon enough Mpita Njia will become famous soon enough Mpita Njia will become famous soon enough Mpita Njia will become famous soon enough Mpita Njia will become famous soon enough
    Join Date
    Mon Mar 2008
    Posts
    3,442
    Thanks : 189
    Thanked 226 Times in 149 Posts
    Rep Power
    29

    Default Re: Mike sikawa afariki dunia

    Quote Originally Posted by Bongolander View Post
    Mara nyingi hawa ndugu zetu wakati fulani wanapoandika habari huwa hawafanyi research hata kidogo. Ndio maana JF will always be first. Sina hakika kama kweli huyu mheshimiwa ameacha mjane Amerika ya Kusini
    Samahani kwa kuchepuka.
    Mkuu Bongolander, ukisoma vema sehemu uliyohighlight utabaini kuwa kuna kiunganisha NA. Hiki kinatenganisha kati ya mjane NA watoto. Hivyo katika fasihi, kiambishi kinachofuata baada ya kiungabnishi hicho kinaweza kumaanisha kinahusisha nomino iliyotajwa baada ya kiunganishi. Kwa maana hiyo, katika habari ulioikosoa. kuna uwezekano kuwa walioko Amerika ya kusini ni watoto, ambayo ni nomino iliyotajwa baada ya kiunganisha.
    Asante

  6. #25
    JF Premium Member WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance's Avatar
    Join Date
    Fri May 2008
    Posts
    4,383
    Thanks : 931
    Thanked 1,423 Times in 694 Posts
    Rep Power
    31

    Default Re: Mike sikawa afariki dunia

    RIP Mike!
    You have done your bit-kazi yako inatambulika hakuna ubishi.
    Kazi kwetu tuliobaki tutakumbukwa kwa lipi?Food for thought!
    You don't write because you want to say something, you write because you've got something to say.

  7. #26
    JF Premium Member BeNoir will become famous soon enough BeNoir will become famous soon enough BeNoir will become famous soon enough BeNoir will become famous soon enough BeNoir will become famous soon enough BeNoir will become famous soon enough BeNoir will become famous soon enough BeNoir will become famous soon enough
    Join Date
    Tue May 2008
    Posts
    94
    Thanks : 2
    Thanked 14 Times in 11 Posts
    Rep Power
    23

    Default Re: Mike sikawa afariki dunia

    I will miss you Mike. RIP.
    Trust but verify.

  8. #27
    JF Premium Member Steve Dii is a splendid one to behold Steve Dii is a splendid one to behold Steve Dii is a splendid one to behold Steve Dii is a splendid one to behold Steve Dii is a splendid one to behold Steve Dii is a splendid one to behold Steve Dii is a splendid one to behold Steve Dii is a splendid one to behold Steve Dii is a splendid one to behold Steve Dii is a splendid one to behold Steve Dii is a splendid one to behold Steve Dii's Avatar
    Join Date
    Mon Jun 2007
    Location
    Kihesa - Iringa
    Posts
    5,299
    Thanks : 1,225
    Thanked 728 Times in 348 Posts
    Rep Power
    154

    Default Re: Mike sikawa afariki dunia

    Roho Yake Ilale Pahali Pema Peponi. Amina.

    SteveD.

    Chagua Mabadiliko,
    Mchague Dk Slaa ili arudishe tunu za taifa letu:
    Uzalendo, Maadili, Uadilifu na Umakini.

    Jamii ijuayo uwiano thabiti kati ya dharau, ubinafsi, chuki na ustaarab dhidi ya jamii nyingine na baina ya watu wake ni jamii yenye maendeleo. Isiyojua ni dumazi. SD1-09.

    Fikra ni nyenzo endelezi au potofu. Changamoto tuliyonayo ni kuchanganua na kutenganisha kati ya fikra endelevu na fikra potofu, kwani mwisho wa fikra ni matendo pale fikra hazibakii kuwa fikra. SD6-07Rev.2-09.



  9. #28
    Member PastorPetro will become famous soon enough PastorPetro will become famous soon enough PastorPetro will become famous soon enough PastorPetro will become famous soon enough PastorPetro will become famous soon enough PastorPetro will become famous soon enough PastorPetro will become famous soon enough PastorPetro will become famous soon enough
    Join Date
    Mon Feb 2008
    Location
    Boston, MA USA
    Posts
    43
    Thanks : 1
    Thanked 0 Times in 0 Posts
    Rep Power
    0

    Default Re: Mike sikawa afariki dunia

    Rest in Peace Mike Sikawa. You go down as one of Tanzania's greatest journalists.


 

Topic Information

Users Browsing this Topic

There are currently 1 users browsing this thread. (0 members and 1 guests)

     

Tags for this Topic

Bookmarks

Posting Permissions

  • You may not post new threads
  • You may not post replies
  • You may not post attachments
  • You may not edit your posts